Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,472
- 6,391
Jamani mbona mapema sanaKwa ufala uliofanyika juzi pale ilulu, tutarajie kuona mengi, binafsi maji yakizidi unga naachana kabisa na ushabiki wenyewe naanza kuangalia game za mbele tu ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani mbona mapema sanaKwa ufala uliofanyika juzi pale ilulu, tutarajie kuona mengi, binafsi maji yakizidi unga naachana kabisa na ushabiki wenyewe naanza kuangalia game za mbele tu ..
Hakuna uhuni hapo mkuu, ni swala la kufanya soka letu na Vilabu vyake viendelee kupata pesa ya kutosha katika kujiendeshaLazima mtu uwe na mashaka tena makubwa.kuna uhuni wa siri unaendelea.
Sa itakuaje?Hakuna lolote hapo zaidi ya kupunguza makali ya kushindwa kesi ya B.M,gsm ni makanjanja kama walivyo wengine
Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
Mkuu, ukijua tofauti iliyopo kati ya KUENDESHA LIGI na KUDHAMINI LIGI, utakua "MTU SANA"Hawa ni wadhamini wa Yanga na kiukweli ndio wamiliki wa Yanga, sasa hii habari kwamba wanaingia mkataba na NBC wa Ushirikiano wa kuendesha ligi kuu ni pigo kubwa sana kwa timu zingine.
Hii ni kwa sababu hawa GSM ni wafia Yanga ambao wako tayari kufanya lolote ili kuibeba Yanga, hawa kwa namna yoyote hawapaswi kudhamini ligi hii, najua kuna baadhi yenu mtasema mbona Azam kadhamini mambo mengi kwenye soka, ni hivi msiifananishe Azam na GSM, hawa GSM ni watu wa mipango ya muda mrefu ya kuibeba Yanga tu, hawawezi kukubali timu nyingine iinuke.
Halafu hawa NBC mbona ni mapema sana kuchemsha, imekuwaje fasta tu waombe kolabo?
Naanza kuutilia shaka mpango huu na naamini hata TFF hawakuujua.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28],umesema ukweli,wamekusikiaCCM wekezeni basi kwenye miundo mbinu na nyie maana viwanja ni vibaya
Au nasema uwongo ndugu zangu. Ayaaaa
Yeye analipa ngapi kwanza tuanzie hapo, milioni 12 kwa milioni 60 sijui nani kaumia hapoKamlipeni wakili msomi milioni 12 zake acheni kelele
Hata tin number huna
Mkajenge kiwanja cha mazoezi sasaYeye analipa ngapi kwanza tuanzie apo,milioni 12 kwa milioni 60 sijui nani kaumia apo
Mkuu unaonekana una hasira sana, Relax, ligi yetu kupata wadhamini wengi isiwe sababu ya wewe kutaka kutapika nyongo, mie napenda sana mpira wa miguu sifungamani na upande wa timu yoyote na ninaona fahari na furaha sana ligi yetu sasa inachanja mbuga kwa kuwa na wadhamini wengi ambapo itapelekea hata timu zetu kuwa na fedha na hata wachezazji watafaidi vipaji vyao kwa kulipwa kwa wakati na timu zao wanazozotumikia,hata uko mbele unapopasema kuna kampuni kibao zinadhamini ligi za huko na ndo maana ligi zao ni bora na hii inatokana na kuwepo kwa udhamini katika hizo ligi,ungekuwa umekasirikia viwanja vyetu ningeungana na wewe maana kuna viwanja miundombinu haipo njema.Kwa ufala uliofanyika juzi pale ilulu, tutarajie kuona mengi, binafsi maji yakizidi unga naachana kabisa na ushabiki wenyewe naanza kuangalia game za mbele tu ..
Kweni hata wasipopunguza makali ya kushindwa kesi hukumu itabadilika?Hakuna lolote hapo zaidi ya kupunguza makali ya kushindwa kesi ya B.M,gsm ni makanjanja kama walivyo wengine
Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
NBC hawajaomba colaboHawa ni wadhamini wa Yanga na kiukweli ndio wamiliki wa Yanga, sasa hii habari kwamba wanaingia mkataba na NBC wa Ushirikiano wa kuendesha ligi kuu ni pigo kubwa sana kwa timu zingine.
Hii ni kwa sababu hawa GSM ni wafia Yanga ambao wako tayari kufanya lolote ili kuibeba Yanga, hawa kwa namna yoyote hawapaswi kudhamini ligi hii, najua kuna baadhi yenu mtasema mbona Azam kadhamini mambo mengi kwenye soka, ni hivi msiifananishe Azam na GSM, hawa GSM ni watu wa mipango ya muda mrefu ya kuibeba Yanga tu, hawawezi kukubali timu nyingine iinuke.
Halafu hawa NBC mbona ni mapema sana kuchemsha, imekuwaje fasta tu waombe kolabo?
Naanza kuutilia shaka mpango huu na naamini hata TFF hawakuujua.
Sijui lakini naona hata Ulaya kuna wadhamini wengi tu kwenye ligi moja, hapa suala ni WELEDI tu. Kama GSM wanaingia wakiwa na MALENGO JIFICHI, basi ligi itaharibika licha ya kuwa na mapesa mengi. GSM wanatoa 2.1B/= ambazo wanasema - wao, GSM na TFF - kuwa ni kwa ajili ya wachezaji kupitia kwa viongozi wa hizo timu. Binafsi sioni shida, ila twende nao, kama SI WELEDI tutawaona mapema tu na madudu yao. Subira huvuta heri!Hawa ni wadhamini wa Yanga na kiukweli ndio wamiliki wa Yanga, sasa hii habari kwamba wanaingia mkataba na NBC wa Ushirikiano wa kuendesha ligi kuu ni pigo kubwa sana kwa timu zingine.
Hii ni kwa sababu hawa GSM ni wafia Yanga ambao wako tayari kufanya lolote ili kuibeba Yanga, hawa kwa namna yoyote hawapaswi kudhamini ligi hii, najua kuna baadhi yenu mtasema mbona Azam kadhamini mambo mengi kwenye soka, ni hivi msiifananishe Azam na GSM, hawa GSM ni watu wa mipango ya muda mrefu ya kuibeba Yanga tu, hawawezi kukubali timu nyingine iinuke.
Halafu hawa NBC mbona ni mapema sana kuchemsha, imekuwaje fasta tu waombe kolabo?
Naanza kuutilia shaka mpango huu na naamini hata TFF hawakuujua.
Nadhani kuna tatizo hapa la kuelewa malengo ya GSM na malengo yako, wewe kama shabiiki wa Yanga na GSM! Wewe una malengo yako na GSM ana malengo yake ingawa mnatofautiana kwenye kuyawasilisha kwetu. GSM kafanya kwa vitendo na wewe unafanya kwa maneno ya ushabiki. Hiyo ndiyo tofauti yenu! Nembo, nembo, what is nembo!? Wewe nembo ya GSM pale ilipokuwa HOME SHOPPING CENTRE (HSC) unaijua au ni ushabiki tu?GSM ni Kama maji tu usipoyanywa utayaoga, aya makolo jiandaeni kuwekewa logo ya gsm kwenye jezi zenu, mnabwabwaja na roho zenu za kimaskini wakati amna kitu mfukoni, kutwa nzima kuinanga gsm, sasa yule lopolopo wa fair competition mwambieni ajinyonge maana mzigo ushawekwa kudhamini vilabu vyote au aende fifa kabisa, ukikataa ukatae wewe gsm baba lao
Sasa ikawaje?NBC hawajaomba colabo
Tueleweshe basiMkuu, ukijua tofauti iliyopo kati ya KUENDESHA LIGI na KUDHAMINI LIGI, utakua "MTU SANA"
Anayeendesha ligi ni BODI YA LIGI. Hiki ni chombo kilichoundwa na vilabu ili kuendesha ligi kwa niaba ya shirikisho la mpira Tanzania (TFF).
Ni kweli kila ulichoandika isipokuwa huna jicho la 3Anayeendesha ligi ni BODI YA LIGI. Hiki ni chombo kilichoundwa na vilabu ili kuendesha ligi kwa niaba ya shirikisho la mpira Tanzania (TFF).
Anayedhamini ligi ni mfanyabiashara yeyote aliyeweka fedha yake katika ligi kwa lengo la yeye kupata faida.
Faida hii inaweza kuwa ni in terms of kujitangaza na hivyo kuongeza mauzo yake au kupata fedha kupitia malipo ya vifurushi vya visimbuzi.
Kwa sasa ligi yetu ina wadhamini watatu:-
1. NBC, mdhamini mkuu.
2. Azam TV, Mdhamini mtangazaji.
3. GSM, Mdhamini mwenza.
Bado kuna nafasi kwa makampuni, taasisi au watu binafsi wengine kudhamini ligi yetu.
Watu hao wanaweza kuwa:-
4. Erythrocyte Co. Ltd
5. Mzee Mpili enterprises
6. BongoZozo Sports
7. Tozo & Mgawo Associates
8. Metacha Mnata industries
9.
......
Hawa ni wadhamini na kamwe sio waendeshaji wa ligi.
Nitasikitika sana kama ukitumia maneno "kudhamini ligi" na "kuendesha ligi" interchangeably.