Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
kuna maswali ?
Hakuna [emoji119][emoji119]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna maswali ?
Nilipigwa sana mawe kwenye uzi huu , sasa leo nashangaa yanayotokea !Hakuna [emoji119][emoji119]
Umewai ona wapi mtumishi ata mmoja a azam kwenye akisajili wachezaji azam fc??AZAM anaidhamini hiyo LIGI lakini hulalamiki, angedhamini MO ungeona sawa.
[emoji38][emoji38][emoji38]Umewai ona wapi mtumishi ata mmoja a azam kwenye akisajili wachezaji azam fc??
Inaonekana kama vile NBC alipewa fedha za udhamini na GSM.Benki yenyewe naona ni mdebwedo,Cha kwanza NBC hajachemsha bali GSM kaingia kama mdhamini mwenza.
Kwahiyo mdhamini mkuu wa ligi ni NBC
Siyo kweli! NBC kaweka mzigo wa uhakika na kila mhusika karidhia na karidhika nao; tofauti na GSM, ambaye kaweka mzigo wa kitoto kwa nia ya kujitangaza yeye zaidi badala ya kuvinufaisha vilabu vyetu. Hivi mzigo wa 2.1b/= alioweka ni wa miaka mingapi! Nikipata jibu sahihi, then nitashusha mahesabu kuonesha "utoto" wa huo udhamini wa GSM! Na wote mtashangaa na hatimaye kukubalina na hao waliogoma kuvaa hichi kinembo cha GSM kwenye level moja na NBC! Nasubiri.Inaonekana kama vile NBC alipewa fedha za udhamini na GSM.Benki yenyewe naona ni mdebwedo,