Napinga GSM kuingia mkataba na NBC ili kuendesha ligi kuu ya soka Tanzania

Napinga GSM kuingia mkataba na NBC ili kuendesha ligi kuu ya soka Tanzania

Hawa ni wadhamini wa Yanga na kiukweli ndio wamiliki wa Yanga, sasa hii habari kwamba wanaingia mkataba na NBC wa Ushirikiano wa kuendesha ligi kuu ni pigo kubwa sana kwa timu zingine.

Hii ni kwa sababu hawa GSM ni wafia Yanga ambao wako tayari kufanya lolote ili kuibeba Yanga, hawa kwa namna yoyote hawapaswi kudhamini ligi hii, najua kuna baadhi yenu mtasema mbona Azam kadhamini mambo mengi kwenye soka, ni hivi msiifananishe Azam na GSM, hawa GSM ni watu wa mipango ya muda mrefu ya kuibeba Yanga tu, hawawezi kukubali timu nyingine iinuke.

Halafu hawa NBC mbona ni mapema sana kuchemsha, imekuwaje fasta tu waombe kolabo?

Naanza kuutilia shaka mpango huu na naamini hata TFF hawakuujua.
Ukiweza kunya hadharani

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hawa ni wadhamini wa Yanga na kiukweli ndio wamiliki wa Yanga, sasa hii habari kwamba wanaingia mkataba na NBC wa Ushirikiano wa kuendesha ligi kuu ni pigo kubwa sana kwa timu zingine.

Hii ni kwa sababu hawa GSM ni wafia Yanga ambao wako tayari kufanya lolote ili kuibeba Yanga, hawa kwa namna yoyote hawapaswi kudhamini ligi hii, najua kuna baadhi yenu mtasema mbona Azam kadhamini mambo mengi kwenye soka, ni hivi msiifananishe Azam na GSM, hawa GSM ni watu wa mipango ya muda mrefu ya kuibeba Yanga tu, hawawezi kukubali timu nyingine iinuke.

Halafu hawa NBC mbona ni mapema sana kuchemsha, imekuwaje fasta tu waombe kolabo?

Naanza kuutilia shaka mpango huu na naamini hata TFF hawakuujua.
Kwenye cheki ya GSM kwa TFF Manara kasimama kama nani?
 
Sasa ikawaje?
Ni kweli NBC hajaomba "colabo" kwa sababu si kazi yake kutafuta mtu, watu, kikundi au kampuni kumsaidia kwenye UDHAMINI WAKE. Mwenye kazi hiyo ni mwenye ligi, yaani TFF; huyu ndiye anayepaswa kuhaha kutafuta wadhamini kwenye ligi yake ili aweze KUIENDESHA VIZURI NA KWA UFANISI. Hawa waliojitokeza, GSM, ni wadhamini tu kama wadhamini wengine, wakiwemo akina AZAM, NBC na TBC. Anaweza kuja mwingine akaamua naye kuidhamini ligi yetu. In fact binafsi nataka kuwa mdhamini na nidhamini ligi hii kwenye eneo la kuzipa timu zote MAJI YA KUNYWA kila zinapo cheza! Ni udhamini murua au vipi!?
 
Tume_ya_Ushindani_wa_Biashara_(FCC)_imesema_imepokea_malalamiko_kutoka_kwa_wadau_wa_mpira_waki...jpg
 
Game za mbele???? sijakusoma ! na game za nyuma ataangalia nani??? hahahahaahaah
Kwa ufala uliofanyika juzi pale ilulu, tutarajie kuona mengi, binafsi maji yakizidi unga naachana kabisa na ushabiki wenyewe naanza kuangalia game za mbele tu ..
 
Back
Top Bottom