Napinga: Hivi CAG Ana watu wenye utaalamu na hydropower stations, hakupaswa kutoa msimamo katika Mambo ya kitaalamu

Du! hii kweli kali yani Watanzania
tufanye replacement ya engine mpya wala
tusiwapelekee boeing.
huyo engineer wenu wan ndege alifanya kazi kampuni gani ya kutengeneza ndege?.ivi ndege unachukulia kama vile kutengeneza V8.
 
Du! hii kweli kali yani Watanzania
tufanye replacement ya engine mpya wala
tusiwapelekee boeing.
huyo engineer wenu wan ndege alifanya kazi kampuni gani ya kutengeneza ndege?.ivi ndege unachukulia kama vile kutengeneza V8.
Hukujibu swali. Ndege inataka engine ziwe replaced, inakwendaje USA? au inaweza kuruka bila kuwa na Engine? mashine ya ndege sio V8 ya land cruiser na ndio maana unakuwa na Engineer wa ndege. Engineer wa ndege sio sawa na fundi garage wako wa chini muembe kwamba experience yake amegain kwa kumsaidia fundi mkuu. Mnachukulia poa sana hizi knowledge
 
Kwenye Audit Kuna kitu kinaitwa
"Consider the use of experts" hata mradi wa nuklia Auditor anakagua...hata mradi wa upasuaji wa moyo anakagua
Mwambie, yeye anafikiri mkaguzi anajua pragazijutu tu, hawa wanajua 3"Ees,strategic,forensic,tatration name.....
 
Kama serikali ya awamu ya 5 ingejikita kutengeneza mfumo bora wa uongozi, badala ya ubabe! Kama nguvu kubwa ingewekezwa kwenye katiba mpya na kutunga sheria endelevu za kuwabana hao viongozi wadogo wanao haribu, leo hii legacy mnayo lazimisha, ingekua siyo kitu cha kulazimisha! Kama serikali hiyo ingekua na nia njema, isingetafuta kuwapa kinga ya kutoshitakiwa, speakers na waziri mkuu, badala yake wangeweka sheria za kumwondolea rais kinga hiyo, na hata kuruhusu urais kuhojiwa mahakani! Jiulize kama ni watenda mema waliogopa nini, kujenga mfumo bora wa uongozi, unawabana na kuwawajibisha viongozi?!
 
ofisi ya CAG imekamilika kila idara ndio maana anapita kila kona haruki mahali kwa kisingizio cha kukosa wataalam
 
CAG hakuhitajika kuwa civil engineer kutathimini uhai wa JNHPP hata kidogo! Wanatumia ripoti ya upembuzi ya mwaka 1970/72! Hawakufanya EIA upya? Hakuna economic and financial feasibility! Huo mradi si magumashi tu, by 2026 unaweza ikawa maji hakuna, umeme utazalishwa kwa mkojo wa punda?!
 
Labda aliongelea moja ya zile Fokker
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…