The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Alichotamka RC Makala ni formality tu lakini practically ni ngumu kutekelezeka...
Na hii ndiyo shida ya matamko ya hisia binafsi, yaliyojaa usiasa na yasiyofanyiwa utafiti wa kutosha maana hayawezi kudumu kwa sababu ya ugumu ktk utekelezaji wake....
Ndivyo ilivyo ktk stendi zote katika miji yote nchini..
Kwani ukiachilia mbali uwepo wa STENDI KUU YA MABASI, vivyo hivyo wamiliki au kampuni hizi za mabasi zina ofisi zao kuu binafsi au yard zao za kupaki magari yao katika locations tofauti tofauti iwe jijini DSM au mikoani/miji mingine...
Sasa utawezaje kunizuia mimi abiria nisipandie bus linapolala karibu na mimi mita 100 tu na badala yake unilazimishe niende 30km ilipo stendi..?
Kauli au agizo la Makala ni formality tu lakini ukweli ni kuwa practicability yake ni ngumu sana...
Maagizo ya namna hii yasiyofanyiwa utafiti mara nyingi huwa hayadumu...
Na hii ndiyo shida ya matamko ya hisia binafsi, yaliyojaa usiasa na yasiyofanyiwa utafiti wa kutosha maana hayawezi kudumu kwa sababu ya ugumu ktk utekelezaji wake....
Ndivyo ilivyo ktk stendi zote katika miji yote nchini..
Kwani ukiachilia mbali uwepo wa STENDI KUU YA MABASI, vivyo hivyo wamiliki au kampuni hizi za mabasi zina ofisi zao kuu binafsi au yard zao za kupaki magari yao katika locations tofauti tofauti iwe jijini DSM au mikoani/miji mingine...
Sasa utawezaje kunizuia mimi abiria nisipandie bus linapolala karibu na mimi mita 100 tu na badala yake unilazimishe niende 30km ilipo stendi..?
Kauli au agizo la Makala ni formality tu lakini ukweli ni kuwa practicability yake ni ngumu sana...
Maagizo ya namna hii yasiyofanyiwa utafiti mara nyingi huwa hayadumu...