Napinga kabisa dhana ya "Mume ni Provider" katika ndoa

wacha kukurupuka mxiuuu 😂😂
Bora umenistua aisee!! 😂😂😂
Na mwenyewe hana wasiwasi kaonyesha alivyo weak km username yake
Subiri vijana wa hovyo wawajibike na mkewe ndio akili itamkaa vzr
 
Huyu zaidi ya kibuyu!! Mwanaume mzima na kengele zake anataka kusaidiwa pasu kwa pasu eti!! Hawa ndio wanasababisha wanawake wafanye vitu vya ovyo ili kusaidia familia, kwa maneno yake haya anaonekana sio muwajibikaji kabisaa.!!
Pasu kwa pasu imesemwa wapi?

Kama mke ana uchumi mkubwa afanye zaidi.

Kama mume ana uchumi mkubwa afanye zaidi.

Maisha Yako hivyo tangu enzi na enzi.

Mababu na mababu zetu wamesaidiana kazi na wake zao, nyie wadada wa Leo mujione special kwa lipi
Unadhani malkia Elizabeth anahudumiwa na mume wake?
Unadhani mke wa mfalme wa Oman anamsaidia mumewe gharama za maisha?
Status za mume na mke zitaonesha mfumo wao utakuwaje!
But si Sheria kwamba mume ni provider, sababu historia ya maisha haijatufundisha hivyo
 
Umemaliza
 
Bora umenistua aisee!! 😂😂😂
Na mwenyewe hana wasiwasi kaonyesha alivyo weak km username yake
Subiri vijana wa hovyo wawajibike na mkewe ndio akili itamkaa vzr
ole wao ataondoa hio weak atawapakia futa😂😂😂
 
Na wewe jitahidi uwe km wao ili uhudimiwe mkeo.!! Wao wameweza vipi wewe ushindwe??
 
Nimejaribu kukuelewa kwa upande wako, ila watu wakisema majukumu ,hawamaanishi majukumu ni yanafanana. Kila mwanaume huwa anaweka rules zake kwenye ndoa yake ambazo ni za ziada ,ila kuna majukumu ambayo ni universal kwa WANAUME ,na mwanaume ili uwe mwanaume lazima uwe PROVIDER,sisemi ufanye kila kitu ila yale ya msingi fanya, usije ukaja kuwa unalaumu watu.
 
Na wewe jitahidi uwe km wao ili uhudimiwe mkeo.!! Wao wameweza vipi wewe ushindwe??
Dunia haipo hivyo!
Dunia haitakuja kuwa na usawa
Mimi nikiwa hivyo, wapo wengine wengi hawatakuwa hivyo!
 
Moja wapo ya ujinga uliozaa umasikini mkubwa Afrika ni huu wa pesa ya mwanamke haihudumii familia.

Yani nchi masikini kama TZ ambako hakuna ajira, hakuna vibarua alafu jukumu la kugharamia mahitaji ya familia liwe la mtu mmoja, na mtegemee hiyo familia ikue kiuchumi bila baba kuwa na presha na magonjwa yanayosababishwa na msongo wa mawazo.

Kuna kakundi kadogo sana kanakoingiza pesa hapa Tanzania ila kanagharamia watoto, wanawake, wazee n.k. huu ni ujinga hatuwezi kukua kiuchumi kwa fikra za kijinga kama hizi. Umasikini hauwezi kuisha Afrika kama tutaendekeza kuwa na watu tegemezi wasio na sifa za kuwa tegemezi.

zamani mwanamke alihakikisha jukumu la chakula cha takribani mwaka mzima ni lakwake kwa kulima akishirikiana na watoto na mume anatoa mahitaji mengine, ila leo unaishi na mwanamke anafanya kazi eti kuna wapumbavu wanakwambia pesa ya mke haiulizwi.

Kwangu mke akijishughulisha na jambo lolote linaloingiza kipato basi anao wajibu kwenye familia unaoendana na kipato chake.
 
Hizo pesa za kumlipa h/girl atazitoa wapi km anataka kusaidiwa majukumu na mkewe?!!
Mimi wifi niwe mkweli nitawajibika km mume nikiona kweli hapa ametingwa au kuna mradi wa familia pesa zake zinaenda huko kufanikisha hilo, otherwise wala sijigusi.!!
Wajibika
Familia ni wajibu wako!

Mumeo ndio ana mamlaka ya kukuruhusu kukaa bila kuprovide chochote!
Kama ni wewe mwenyewe unaamua kuacha mzigo wote kwa mume, huwezi jua huenda mume anakerekwa na hasemi kuogopa ataonekana weak man!

Na hapa nakuona kabisa unaitumia ndoa kujinufaisha!
Kama hauprovide hata robo, hizo pesa unapeleka wapi?
Unyonyaji wa kiwango Cha juu zaidi

Nyie ndo aina ya wanawake ambao munaolewa kwa misingi ya uchumi,
Mume akifilisika tu na ndoa inavunjika
 
Cha ajabu, kule kwa wenye akili na walioendelea, ujinga huu haupo
 

utafiti kidogo tu utajua asili ya ndoa, muasisi wa ndoa, miiko na miongozo ya ndoa. Ukiyajua haya, itakufaa sana
 
Siwajibiki km unavyotaka wewe, elewa point yangu kwanza.
Nitawajibika km pesa yake inaenda kutekeleza mradi wa familia. Na inaonekana kazi inafanyika!! Hapo nitamsaidia.
Ila km toka mwanzo sio muwajibikaji niwe mkweli sijigusi.!!
Pia inategemea na upendo wake kwangu, sio mwanaume ana kijiji cha michepuko pesa zake zitumike kunjunjia halafu zangu ziwajibike hilo pia asahahu..!!

Mwanaume mvivu katulia hajigusi na kazi yeyote kalegeza kengele zake eti kisa nina kipato cha kuhudumia familia, huyo naye asubiri kuandika talaka akafie mbele.
 
Uduguu umeandika wee, au cm iko hacked?
 
Hali ni mbaya, sijui serekale iweke ndoa za waume wawili pia ili huyu jamaa yetu asaidiwe kwa ukaribu zaidi. Make anadai kama mke ni kuacha wazazi nae kaacha wakwake [emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…