Napinga kabisa dhana ya "Mume ni Provider" katika ndoa

Napinga kabisa dhana ya "Mume ni Provider" katika ndoa

Hata mimi napinga ndiyo maana hata nikienda bar dem yoyote akiniomba nimnunulie bia moja hata awe mzuri vipi huwa najibu "Wewe umeninunulia ngapi?" Huku nimeweka uso wa Vladimir Putin. Wanazoea vibaya kupewa pewa tu na wanaona kama ni haki yao vile.
Ati uso Vladimir Putin 😂
 
Nimekuelewa mjomba, labda wanaume wa hapo kitambo kidogo walimfanya mwanamke weak kwa sababu zao binafsi.
Ila mwanamke sio weak kama kama wanaume wengi wanavyodhani, miaka ya hivi karibuni ndo kidoogo wanaibuka ibuka japo hiyo ya kuwaona ni dhaifu inawatafuna na sidhani kama itakuja iishe.

Ndio maana wanaambiwa kaa ndani utaletewa kila kitu, we zaa na kulea mume na watoto as if huyu mtu yeye binafsi hana future ya kua yeye.
 
wifi,,hayo ya usafi atakuwekea house girl usijal,,au atanunua mashine,,au robot Eunice ataletwa hapo,, kazana kuuza vijora uache kitu mezani
Hizo pesa za kumlipa h/girl atazitoa wapi km anataka kusaidiwa majukumu na mkewe?!!
Mimi wifi niwe mkweli nitawajibika km mume nikiona kweli hapa ametingwa au kuna mradi wa familia pesa zake zinaenda huko kufanikisha hilo, otherwise wala sijigusi.!!
 
Mleta unawapotosha vijana waingie ndoani Kichwa Kichwa bila kujiandaa kiuchumi afu ndoa zao zivunjike kwa kushindwa kutekeleza majukumu yao
 
Kushiriki anashiriki ila tayari kuna mipaka ilishachorwa kupitia kwenye division of labour kwenye societies. Hayo unayotaka wewe wafanye wanawake inabidi labda uunde dunia yako ili yatekelezwe.
Mimi nimetaka mambo Gani?

Mbona nimefafanua vema?
Au umesoma ukiwa umepaniki!

Nimekataa hoja ya Mume ni provider na mke hapaswi kusaidia chochote

Nimesema Noo!

Mke asaidie vyovyote alivyo

Kama mama wa nyumbani, atashughulikia kazi nyumbani

Kama anafanya biashara au kazi ya Akira ana wajibu wa kuleta kipato nyumbani, maana huo ndio mfumo wa ndoa tangu enzi za mababu

Kama mwanamume anaamua kubeba mzigo wote na aamue tu, Ila asitulazimishe kufanya kama yeye kwa kisingizio kuwa ndio principle ya ndoa,
Hata Adamu ambaye ndio wakwanza kujua utamu wa kukojoa kwenye mbunye ya Eva hakufanya hayo!
 
Hizo pesa za kumlipa h/girl atazitoa wapi km anataka kusaidiwa majukumu na mkewe?!!
Mimi wifi niwe mkweli nitawajibika km mume nikiona kweli hapa ametingwa au kuna mradi wa familia pesa zake zinaenda huko kufanikisha hilo, otherwise wala sijigusi.!!
mtachangiana wifi jaman 😂😂ila mleta mada kwel ni weakman
 
Kwa nini ukamtwae nyumbani mwa wazazi wake, kama huwezi ama hutaki kumtunza?

Kwao alikuwa anakula na kuvishwa vizuri hadi siku ulivyomtia maneno maneno yako ya ushawishi hadi akakubali kuishi na wewe.

Mwanaume anayekwepa majukumu yake, hana sifa za kuitwa mwanaume. Shame on you!
Mke anaelezwa vizuri mithali 31!nenda kasome uelewe!

Mke mwema anaamka asubuhi na kumwagilia mizabibu,husuka na kupata mapato na mumewe humwamini!!

Huyo ndio mke wa kimaandiko!

Huyu mvivu anaetoa papuchi akidhani ni malipo ya matunzo ni kahaba aliechangamka sema ni site tu haendi!!

Mwanamke anaetegemea vya kupewa coz anatoa papuchi huyo ni kahaba na sera hizi za kileo zinafundisha wanawake kuwa makahaba ndani ya nyumba ya mwanamme!

Kasome vizuri uelewe!!Tangu enzi na enzi kina Dorkasi walisuka na kuuza mazulia hata walipokufa watu wakalia Hadi wakafufuliwa!

Hawa ke was Leo wanauza uchi ili wapate matunzo kwa mkataba uitwao ndoa za kileo!!!

Ukahaba umehamia majumbani,Ni bora wakaenda site ikajulikana kuwa wanauza uke!
 
Hata mimi napinga ndiyo maana hata nikienda bar dem yoyote akiniomba nimnunulie bia moja hata awe mzuri vipi huwa najibu "Wewe umeninunulia ngapi?" Huku nimeweka uso wa Vladimir Putin. Wanazoea vibaya kupewa pewa tu na wanaona kama ni haki yao vile.
Hayo ni mazingira ya kuombana ndiomana umeombwa, kwann usinunue bia ukanywee kwako km hutaki kuombwa??
Btw umenichkesha sana 😂😂😂
 
Ndio, napinga!,

Ni dhana ya uongo na inakiuka kabisa asili ya maisha ya ndoa!

Ndoa ni muunganiko wa mtu mume na mtu mke na kuzaa watoto kisha kuwatunza. Jumuia hii ya familia inahitaji mahitaji mbalimbali ya maisha kwa maendeleo yake.

Kuna watu wachache wanaibuka hapa bila hata chembe ya aibu na kutaka kuuaminisha umma kuwa mtu mume yampasa kutafuta mahitaji ya familia but mtu mke pamoja na watoto hawawajibiki.

Wanaume wanapolalamika kwamba wanawake kwenye ndoa wanapenda kuhudumiwa zaidi kuliko kuhudumia, wanaibuka watu hawa na vicomment vyao eti ni jukumu la mume kuprovide, na hiari ya mke kuprovide! Salaleee!

Najaribu kujiuliza hii dhana wanaitoa wapi? Ni taasisi gani imefundisha hivi? Au ni ubunifu katika fikra zao?

Katika Ukristo haipo sijui kule kwa wenzetu!

Kwa Wakristo ipo wazi;

"Zaeni mkaongezeke, mkaijaze dunia na kuimiliki"

Kauli ya Mungu kwa mume na mke ikiashiria ushirikiano wa pamoja katika kuijenga familia na dunia kwa ujumla.

"Si vema mwanaume awe pekeyake, nitamfanyia msaidizi wake"

Kauli ya Mungu ikiashiria matakwa yake ya mke kuwa msaidizi kwa mume. Then why mume awe provider bila kusaidiwa?

"Mume na mke watawaacha wazazi na kuungana na kuwa mwili mmoja"

Kauli ya Mwana wa Mungu ikiashiria ndoa ni mshikamano kwa raha na shida hadi kifo kiwatenganishe.

Then mshikamano gani huo wa mmoja kuprovide?

"Mwanamke amtii mumewe na mwanaume ampende mkewe"

Kauli ya mtume wa Mwana wa Mungu ikiashiria kuwa mwanamke awe tayari kutumika kwa hali na mali mbele ya mumewe.

Maisha halisi ya mwanadamu tangu kale yapo wazi. Mwanaume na mwanamke wamefanya kazi pamoja kwa ajili ya maisha yao.

Tangia enzi za Adam na Eva, enzi za manabii, enzi za Yesu Kristo, nyakati za mitume, nyakati za mwanzo za kanisa Katoliki, nyakati za mtume Mohammed hadi leo, mume na mke wameshirikiana katika kazi.

Wamelima pamoja, wamefuga pamoja.

Mume alivua samaki na mke aliwapika wakala,

Mume alitengeneza visu na mke alitengeneza vyungu na makapu wakauza na kupata riziki ya maisha yao.

Hayo yote yalifanyika kwa maelfu ya miaka iliyopita!

Vipi wewe leo kisa una kijikampuni chako unapata fedha, eti unaanza kuleta propaganda kuwa mahitaji ya familia ni jukumu la mume!

Ikumbukwe dunia imebadilika.

Kwa sasa uchumi hauna mwenyewe tena.

Mwanaume au mwanamke aweza kuhodhi uchumi mkubwa.

Leo hii mke aweza kuwa waziri au raisi na akapata mamilioni ya fedha.

Je, hayo mamilioni ya fedha apeleke wapi iwapo hapaswi kuprovide na kujenga familia yake?

Leo una mshahara mnono au kampuni inakupa fedha nyingi halafu unahisi unaweza kuhudumia familia kwa 100%, then unaanza kuwatukana waume wenzako kuwa hawatakiwi kushirikiana na mke katika kuhudumia familia.

What if mtu kama JPM anakufukuza kazi au anaifilisi kampuni yako, yule mke wako afisa maendeleo ya jamii pale Halmashauri asihudumie familia yenu?

Unajua wakati mwingine watu wakiwa na pesa, pesa zinawalevya na wanaongea vyovyote!

Hii dhana ya wanawake kupenda kuhudumiwa tu bila kuwajibika hata kama uwezo wanao ni dhana mpya! Na imejengwa na waume wenye fedha pale wanapowarubuni kwa kuwaambia, "We mtoto mzuri hautakiwi kupata shida, wakati mwanaume nipo kwa ajili yako, nitakuhudumia chochote utakacho!"

Kauli hizi zimewaharibu wanawake wengi sana.

Mabibi na mabibi zao tangu kale hawakujua huu ujinga. Wao walijua kuolewa ni kazi! Kuamka, kufanya usafi, kwenda kushirikiana na mume shambani, au malisho ya ng'ombe! Leo mwanamke anamshahara wake hataki utumike nyumbani!

Kwani kuna tofauti gani na bibi yetu aliyesuka kapu akauza na pesa ikatumika nyumbani?

Hivi nyie wanaume muliyewapotosha wanawake kwa dhana potofu ya mume ni provider, mumetumia msingi gani wa elimu?

Hapana, mume na mke wawajibike pamoja kuijenga familia. Mume ukiamua kuwa provider, na iwe kwa maamuzi yako, na usishinikize kuwa principle ya ndoa. Kwani maisha hayo si asili ya mwanadamu tangu kale. Labda kama unakusudia kuleta mapinduzi ya mfumo wa uwajibikaji katika ndoa!

Kuna sehemu nilisoma andiko la mwanamke akiwahoji wanaume kwanini awajibike kumtii mume wakati anasaidia kuprovide mahitaji ya ndani?

Swali hili ni sawa na kumhoji mkurugenzi kwanini umtii wakati unachangia maendeleo ya taasisi? Swali hili alitakiwa aliulize Eva kwa Mungu wake.

Bahati mbaya cheo hiki alishapewa mwanamume tayari. Ukimtii Mungu utatii na neno lake. Familia ni taasisi ambayo lazima awepo kiongozi wakuweka direction za maisha. Hata hivyo haulazimiki kutii chochote. Unapaswa kumtii mume kwa yote yaliyomema. Mungu alishafanya uteuzi, labda tusubiri utenguzi na ateuliwe mwanamke siku za usoni!

Mke wajibika kuprovide kwa familia yako pale inapowezekana. Usikwepe wajibu ilihali mukiachana unadai mgao hamsini kwa hamsini.

Mume akifa unadai urithi wa mali zote!

Hata hivyo, hapa, nikiri kwamba asilimia kubwa ya wanawake wanajitoa na kuprovide kwa familia zao. Asanteni sana!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
What a waste of sperms
 
Inshu ni kuwa mnaishi kwa upendo au laa! Haya yote ni kwa sababu watu wamevurugwa🤣. Zamani mbona mababu zetu hawakuwa wana lalamika hivi?
Wavivu wamejaa tantalila nyingi midomoni na CCM itaendelea kutawala mpk mwisho wa dunia
 
Back
Top Bottom