Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nyieeee mjue mnapitiliza???? Ndio maana siku hizi wanaume nanyie mnafanyiwa wanayofanyiwa wanawake.Kwanini yeye afanywe kuwa special namna hiyo na sio mimi mwanaume?
Kwani mimi sinawaacha wazazi wangu?
Kuishi na sisi wanawake wanataka hata bila ushawishi wa maneno