Napinga kabisa dhana ya "Mume ni Provider" katika ndoa

Tuanzie hapo kwene WEAK MAN

we olewa tu hamna chochote tunaweza kukusikiliza
Zaidi ya 80% ya ndoa ulimwenguni zinaishi kulingana na nilichoongea,

Inshort sio jipya

Kuna wanaume wachache na wanawake wachache kwa hiari yao wameamua kuishi maisha ya " Only man to provide"

Sio shida ila wasitake kulazimisha kuwa ndio sheria ya ndoa!

Hawa ndio nawapinga hapa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
MWANAUME UTAKULA KWA JASHO NA MWANAMKE UTAZAA KWA UCHUNGU.

basi zaa wewe kwa UCHUNGU, kuliko kuandika thread ndeeeeeeefu!
MAELEOZO MEENGI!
Eva mwenyewe alienda shamba kulima bega kwa bega na mumewe kipenzi Adam,

Wake wa manabii walilima na kuvuna mazao

Wala hakuna nabii aliyewaonya na kuwazuia

Na hata yule nabii hakuzaa kwa uchungu


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
we sema unataka kulelewa
Kumbuka kila jamii zinatamaduni zao
Sisi ni waafrica mwanaume ndo kichwaa

Sasa ww weak manmeanaume laini laini unaogopa majukumu
 
we sema unataka kulelewa
Kumbuka kila jamii zinatamaduni zao
Sisi ni waafrica mwanaume ndo kichwaa

Sasa ww weak manmeanaume laini laini unaogopa majukumu
Waafrika na duniani kote mume Ni kichwa,

Tangu zamani za kale, mume katika jamii za Afrika aliongoza familia yake kwa kulima, kufuga, kusuka na shughuli nyingi kwa kushirikiana na Mke na watoto

Leo tuna shughuli za viwandani, na ofisini wake kwa waume wenye ndoa zao wanashiriki kwa ajili ya kupata vipato vya kujenga familia zao

Ndoa zilizo nyingi zimejengwa kwa misingi ya ushirikiano wa baba na mama

Babu na bibi zetu walishirikiana

Baba na mama zetu wameshirikiana

Leo tunaozesha watoto wetu wanaenda kushirikiana

Ndoa za only man to provide zipo!

But nachopinga Ni chokochoko za kutaka kushinikiza kuwa only man to provide ndio msingi wa ndoa,

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ebu nikutafutie mwanamke wa haki sawa!!
Jitahidi uwe na sura sasa kwa sura hiyo afu udai haki sawa mkuu utakua unaachwa kila siku
 
Ni umaskini tu lakini wanaume walio "wengi" wanafurahia wanapokuwa na uwezo wa kuprovide kwaaajili ya familia zao fully.... wakishaga seti mipango na miundombinu yao vizuri nyumbani, popote wawapo utawaona Meno yote nje na confidence iko juu sana.

Kaka Weakman mwanaume ukimuondolea jukumu la kuprovide kwaajili ya familia yake anakuwa hana tofauti na Ashura, Mwajuma au Ceci... na hii haimaanishi mke hela yake akaigawe au akaichezee wapi huko.... maana yake hela ya mke ni hela ya mumewe indirect, akiitaka aipate ndio maana ya usaidizi.

Wanandoa punguzeni uchoyo, ubinafsi na uvivu muone kama hamjaishi kwa amani, ama lah mjiunge na Ney wa mitego.... kupanga ni kuchagua.
 
hata kuku, jogoo huwa anaprovide kwa tetea na anamlinda, wewe kama ni mwanaume unapenda usiprovide unataka tukutoe kwenye kundi?
 
Kama aliyeandika uzi ni mwanaume basi asubiri kura ila kama ni mwanamke imepita bila kupingwa
 
Kiufupi mtoa mada sio muwajibikaji ndio maana anaogopa ndoa na Mwanaume kama hujaoa wewe ni muhuni tu. Ndoa ni kipimo cha Uanaume
 
Usijali, hadi boxa zako ni jukumu langu my.
Naona kila dalili kuwa ndoa yetu yataishia katika migogoro mizito,

Kwani umeshaanza vijineno vya kashfa!

Naona neno kushirikiana limekukwaza Evelyn Salt

Acha niendelee kutafuta anayeelewa umuhimu wake wa kushiriki kikamilifu katika kujenga familia ya pamoja



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kiufupi mtoa mada sio muwajibikaji ndio maana anaogopa ndoa na Mwanaume kama hujaoa wewe ni muhuni tu. Ndoa ni kipimo cha Uanaume
Bro, Babu yako hakuwa muajibikaji?
Baba yako hakuwa muajibikaji?
Hao wote si walisaidiana na wenza wao kujenga familia?

Mbona unakomment Kama Jambo nililoongea ni jipya machoni mwako?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
hata kuku, jogoo huwa anaprovide kwa tetea na anamlinda, wewe kama ni mwanaume unapenda usiprovide unataka tukutoe kwenye kundi?
Babu yako ulimtoa kwenye kundi?
Baba yako ulimtoa kwenye kundi?
Hao wote si walisaidiana na wenza wao kujenga familia?

Mbona unakomment Kama Jambo nililoongea ni jipya machoni mwako?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…