Napinga Masheikh sita wa Kiislamu kupewa adhabu ya kunyongwa hadi kufa

Napinga Masheikh sita wa Kiislamu kupewa adhabu ya kunyongwa hadi kufa

Unahisi hukumu imekosewa?Nimejaribu tafuta logic yako bado nimetoka kapa ni kheri ungetulia tu maana hasa umeandika kwa emotions
There are so many angles in legal arguments to distinguish between the act of murder, and voluntary manslaughter (i.e loss of control and/or diminished responsibility).

Hukumu ya kifo sio jambo rahisi kwenye murder case katika mazingira mengine. But then I am not interested in the legal arguments in this case anymore; my prejudice has taken over (doesn’t mean I am right legally).

Mradi kuna watu walifariki, someone has to pay for their demise in my books (it’s a bias reasoning, nothing to do with legal arguments).

Baada ya kusoma hiyo hukumu, ignore what I wrote first. Mradi kuna maiti; kwa wahusika someone has to pay for the unnecessary loss of lives. Who is guilty depends on the quality of their defence lawyers (personally I don’t care).

Morally sina huruma na watu wanaochukua maisha ya watu bila ya sababu, kisa misimamo ya itikadi zao.
 
Huu ni Ugaidi na haupaswi kuchekewa, utaota mizizi na kusababisha taabu siku za usoni.

Kulipua Bomu kwenye Mkusanyiko wa watu wasio na hatia ni vitendo vya kigaidi na vinatakiwa kupewa adhabu kali sana ili liwe funzo kwa wengine.
 
Nimepita pale mahakamani jana nikamuona yule mama Analia,nikauliza,"Huyu analia nini?". Najua jambo kama lile siyo ajabu, lakini bado nikauliza,"Huyu analia nini?" Nikaambiwa,unajua, hii ni mahakama na yule mama ukimuona analia, basi, labda itakuwa mtoto wake amehukumiwa kifungo.

Wakamwambia yule mama unaweza kwenda ndani ukawaone kabla hawajaondolewa, lakini ukifika kule usilie.
Halafu mtu mmoja akasema, hapana, hawezi kwenda, yule askari hujamuona anafukuza watu?

Hii hukumu, unasema watu wachache wameuawa,na wachache tena,wamejeruhiwa. Haya mambo ya Kanisa kushambuliwa au Msikiti kuchomwa moto,haya mambo viongozi wa dini wanaweza kukutana, wakajadili.
Dini yetu ni moja, Abrahamic Faith.

Kuna sababu gani ya kuwafunga Masheikh ambao wameshakaa miaka kumi jela?

Kuhusu hukumu ya masheikh soma > Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo
Hii ni fundisho kwa magaidi hapa nchini .
 
Naanza kuhisi hata kuunguzwa kwa shule za Shauritanga vilikuwa ni vitendo vya Kigaidi kama hivi ila havikustukiwa.
Maana hata wahusika wake hawajakamatwa hadi hii leo.

Sisi sote tupo hapa duniani kwa ridhaa ya Mungu mmoja.
 
Nimepita pale mahakamani jana nikamuona yule mama Analia,nikauliza,"Huyu analia nini?". Najua jambo kama lile siyo ajabu, lakini bado nikauliza,"Huyu analia nini?" Nikaambiwa,unajua, hii ni mahakama na yule mama ukimuona analia, basi, labda itakuwa mtoto wake amehukumiwa kifungo.

Wakamwambia yule mama unaweza kwenda ndani ukawaone kabla hawajaondolewa, lakini ukifika kule usilie.
Halafu mtu mmoja akasema, hapana, hawezi kwenda, yule askari hujamuona anafukuza watu?

Hii hukumu, unasema watu wachache wameuawa,na wachache tena,wamejeruhiwa. Haya mambo ya Kanisa kushambuliwa au Msikiti kuchomwa moto,haya mambo viongozi wa dini wanaweza kukutana, wakajadili.
Dini yetu ni moja, Abrahamic Faith.

Kuna sababu gani ya kuwafunga Masheikh ambao wameshakaa miaka kumi jela?

Kuhusu hukumu ya masheikh soma > Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo
Kwanza adhabu iliyofaa kwa hawa magaidi ilikuwa ni kuwapiga risasi hadharani! Wasubiri msahama kutoka kwa ndugu yao!
Magaidi sio wa kuonea huruma au kuwapeleka mahakamani ni kuwachapa shaba on the spot!
 
Kwanini usije na hoja yako ya: kuwafufua baada kunyongwa hadi kufa kuliko huu utopolo uliokuja nao?
 
Kama nchi ingekuwa inaongozwa na sheria za kanisa, naamini kabisa hao mashekhe wangesamehewa na kuachiwa huru.

Bahati mbaya nchi inaongozwa na sheria zake, na kwa mujibu wa sheria hizo, hukumu waliyopewa hao mashekhe imetokana na ushahidi uliotolewa dhidi yao na mahakama kujiridhisha.

Haya mambo hayataki hisia, naamini kabisa hata wewe umekuja na huu mtazamo wako kwasababu ya kumuona huyo mama anayelia mahakamani.

Umesahau wapo wengine waliolia siku ile waliyopata taarifa za misiba ya ndugu zao waliokufa kwa mabomu kazi ya mikono ya hao mashekhe, na siku waliyowazika.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Pia nchi ingekuwa inaongozwa kwa sheria za kiislamu na hao masheikh ni viongozi wa kikristo wamechoma msikiti dunia ingekuwa imeshawasahau

Siupendi uislamu kwa sababu hiyo tu
Wanajihesabia haki sana
 
Declaration writing under the influence of Hennessy otherwise not interested in Tanzania nonsense in my sobering mind.

Haya ndio mambo wengine tunaona bora kuangaika na maisha ya kijijini kuliko kufuatilia ujinga wa nchi hii.

Kwanza kabisa hao masheikh wanastahili adhabu kali morally, kutokana na walichoshiriki kutenda directly or indirectly.

But then kuhukumu kunyonga watu sita bila ya maiti hata moja ni kielelezo cha ujinga uliopitiliza na namna mahakama zetu zilivyo jaza unqualified judges.

Like seriously ni wapi kwenye penal code ya Tanzania mtu anaweza hukumiwa kifo bila ya maiti, ni vipi watu sita ambao hawajashiriki kuweka bomu unawahukumu kifo (charges zao zinaweza kuwa ‘abetting’ but that’s not enough to charge for murder.

Yaani ni nchi ya hovyo mno.

Kigezo cha kuwa judge ni mwanasheria makini aijalishi umetoka private practice au ulikuwa government prosecutor; muhimu ni umeshinda kesi ngapi katika uwakilishi. Hiki ndio kigezo cha kuzingatiwa kuanza kufikiriwa kuwa judge. Hapo ndio watu kama kina Kibatala wanapoingia, Lissu na wengine kutoka serikalini wanaoshinda kesi nyingi kihalali kuanza kufikiriwa kuwa majaji.

Sio kuokota jitu ambalo halijui sheria vizuri mradi limeteuliwa na raisi linakuwa judge, wakati hiyo sector ni very meritocracy kwenye nafasi za kuteuliwa judge ni lazima kwanza uonyeshe umahiri wako kwenye sheria kwa kuwagalalaza wanasheria wenzako mahakamani kwenye kesi; ndio uanze kufikiriwa kuwa judge.

Yaani hakuna maiti, unless act of terrorism ni automatic death sentence even with that the evidence has to show you directly participated in the act for you to get capital punishment; otherwise it’s a jail sentence.

Yaani hii nchi ni ya hovyo mno; full of incompetent people.
Unamaanisha nini ukisema mtu kuhukumiwa kifo bila maiti?

Tukio lilipotokea walikuwepo marehemu eneo la tukio, polisi wakathibitisha, wewe ulitaka maiti zikabebwe mochwari zipelekwe mahakamani kama ushahidi?

Kwamba ndugu wa marehemu wazuiwe kuzika ndugu zao wakisubiri ushahidi ukatolewe mahakamani?

Hujui hata kuna imani za wengine zinawataka kuwahifadhi marehemu wao ndani ya muda mfupi toka walipofariki?

Ajabu unaiuliza mahakama kama ipo serious!, mimi nakuona wewe ndie haupo serious, umekurupuka kutupa lawama kwa mahakama bila sababu zozote za msingi.

Ajabu zaidi unakiri hao jamaa wanastahili adhabu kali morally, lakini hutaki kukubali pia kama wanastahili adhabu kali kisheria kutokana na uhuni waliofanya.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Mie naamini Kuna watu au nchi wanapenda sana kudhamini ugaidi wa namna hii, Kuna nchi kama Iran na Qatar hizi nchi ni hatari sana. Kuna funds wanatuma Kwa baadhi ya waislam wanaoishi nchini Ili kuwatafuta vijana wa Kiislam wasio na ajira Kwa kuwapa fedha Ili watekeleze unyama huo Kwa mgongo wa Uislam.
Ukiua Kwa upanga utakufa Kwa upanga.Mie naona hiyo hukumu ni sahihi maana Kuna watu walikufa na ndugu zao walitoa machozi,hivyo na yule mama kulia ni sahihi tumfananishe na waliokufa Kwa kupigwa mabomu.
Mie naona walicheleweshwa sana,walitakiwa wahukumiwe mapema sana na nashukuru mahakama Kwa kutimiza wajibu wake kikamilifu.
 
Declaration writing under the influence of Hennessy otherwise not interested in Tanzania nonsense in my sobering mind.

Haya ndio mambo wengine tunaona bora kuangaika na maisha ya kijijini kuliko kufuatilia ujinga wa nchi hii.

Kwanza kabisa hao masheikh wanastahili adhabu kali morally, kutokana na walichoshiriki kutenda directly or indirectly.

But then kuhukumu kunyonga watu sita bila ya maiti hata moja ni kielelezo cha ujinga uliopitiliza na namna mahakama zetu zilivyo jaza unqualified judges.

Like seriously ni wapi kwenye penal code ya Tanzania mtu anaweza hukumiwa kifo bila ya maiti, ni vipi watu sita ambao hawajashiriki kuweka bomu unawahukumu kifo (charges zao zinaweza kuwa ‘abetting’ but that’s not enough to charge for murder.

Yaani ni nchi ya hovyo mno.

Kigezo cha kuwa judge ni mwanasheria makini aijalishi umetoka private practice au ulikuwa government prosecutor; muhimu ni umeshinda kesi ngapi katika uwakilishi. Hiki ndio kigezo cha kuzingatiwa kuanza kufikiriwa kuwa judge. Hapo ndio watu kama kina Kibatala wanapoingia, Lissu na wengine kutoka serikalini wanaoshinda kesi nyingi kihalali kuanza kufikiriwa kuwa majaji.

Sio kuokota jitu ambalo halijui sheria vizuri mradi limeteuliwa na raisi linakuwa judge, wakati hiyo sector ni very meritocracy kwenye nafasi za kuteuliwa judge ni lazima kwanza uonyeshe umahiri wako kwenye sheria kwa kuwagalalaza wanasheria wenzako mahakamani kwenye kesi; ndio uanze kufikiriwa kuwa judge.

Yaani hakuna maiti, unless act of terrorism ni automatic death sentence even with that the evidence has to show you directly participated in the act for you to get capital punishment; otherwise it’s a jail sentence.

Yaani hii nchi ni ya hovyo mno; full of incompetent people.
Katika shambulio hilo la bomu waliua mwanamke mmoja hapo hapo. Bomb lilimlipukia mgongoni. Alikuwa ni mwanakwaya na kama lisinge ingia kwenye joho lake bomu lineuwa wengi sana. Na kibaya zaidi aliyetumwa kurusha bomu ni mtoto na alithibitiwa na waumini. Bomu lile lillirushwa katikati ya mkusanyiko liliuwa na kuwapa waamini vilema vya Maisha. Ile ni kesi tu ya mauaji wala si tu ugaidi. Tena washukuru hawajakuta sheria mpya ya ugaidi wa kimataifa. Wasingefika mahakamani wangeishia vituo vya police kwenda Motuary.
Kama kawaida kusamehe ni Moja nguzo ya Ukristo. Pia kufa kanisani kwa dhuruma ya imani ni utakatifu. Hilo jambo lilibakia Mahakamani serikalini.

Ugaidi haubadilishi chochote Duniani unabadilisha watu kuwa maiti tu. Ungekuwa unalipa basi Osama bin laden angekuwepo anamalizia Uzee wake.
 
Nimepita pale mahakamani jana nikamuona yule mama Analia,nikauliza,"Huyu analia nini?". Najua jambo kama lile siyo ajabu, lakini bado nikauliza,"Huyu analia nini?" Nikaambiwa,unajua, hii ni mahakama na yule mama ukimuona analia, basi, labda itakuwa mtoto wake amehukumiwa kifungo.

Wakamwambia yule mama unaweza kwenda ndani ukawaone kabla hawajaondolewa, lakini ukifika kule usilie.
Halafu mtu mmoja akasema, hapana, hawezi kwenda, yule askari hujamuona anafukuza watu?

Hii hukumu, unasema watu wachache wameuawa,na wachache tena,wamejeruhiwa. Haya mambo ya Kanisa kushambuliwa au Msikiti kuchomwa moto,haya mambo viongozi wa dini wanaweza kukutana, wakajadili.
Dini yetu ni moja, Abrahamic Faith.

Kuna sababu gani ya kuwafunga Masheikh ambao wameshakaa miaka kumi jela?

Kuhusu hukumu ya masheikh soma > Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo
Wacha mahakama ifamye kazi yake.

Pale wapo Mahakimu wenye weledi na hakuna uonevu wa kidini kwasababu Hakimu aliyetoa hukumu mwenyewe ni MUISLAM

UGAIDI ni hatari kwa maisha yetu sote sio Wakristo tu ila kwa wote

Usitake ionekane kama Uislam ndio unatetea Ugaidi, unachafua Dini ya Hakhi
 
Kuna wakati nilikuwa nikidhani watumiaji wa JamiiForums wote wana akili sana, mpaka nilipoanza kuwagawa kutokana na michango yao.
 
Nimepita pale mahakamani jana nikamuona yule mama Analia,nikauliza,"Huyu analia nini?". Najua jambo kama lile siyo ajabu, lakini bado nikauliza,"Huyu analia nini?" Nikaambiwa,unajua, hii ni mahakama na yule mama ukimuona analia, basi, labda itakuwa mtoto wake amehukumiwa kifungo.

Wakamwambia yule mama unaweza kwenda ndani ukawaone kabla hawajaondolewa, lakini ukifika kule usilie.
Halafu mtu mmoja akasema, hapana, hawezi kwenda, yule askari hujamuona anafukuza watu?

Hii hukumu, unasema watu wachache wameuawa,na wachache tena,wamejeruhiwa. Haya mambo ya Kanisa kushambuliwa au Msikiti kuchomwa moto,haya mambo viongozi wa dini wanaweza kukutana, wakajadili.
Dini yetu ni moja, Abrahamic Faith.

Kuna sababu gani ya kuwafunga Masheikh ambao wameshakaa miaka kumi jela?

Kuhusu hukumu ya masheikh soma > Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo
Kama hujaridhika kawakatie rufaa, huku jf inapoteza mda wako, hutasaidiwa
 
Huu ni Ugaidi na haupaswi kuchekewa, utaota mizizi na kusababisha taabu siku za usoni.

Kulipua Bomu kwenye Mkusanyiko wa watu wasio na hatia ni vitendo vya kigaidi na vinatakiwa kupewa adhabu kali sana ili liwe funzo kwa wengine.

Magaidi siyo watu wa kuchekewa. Hao magaidi, kunyongwa hadi kufa ni adhabu halali kabisa kwa uovu wao.

Jitu linaandaa na kisha linatekeleza uovu wake kwa kurusha bomu kwenye kundi la watu, hilo jitu kweli ni la kuonewa huruma?

Vyombo vya usalama viendelee na uchunguzi. Huenda bado kuna mabaki. Mleta mada anaweza kuwa miongoni. Mtu mwema kabisa huwezi kumwonea huruma gaidi linalotumia mwavuli wa dini ya Kiislam.
 
Nimepita pale mahakamani jana nikamuona yule mama Analia,nikauliza,"Huyu analia nini?". Najua jambo kama lile siyo ajabu, lakini bado nikauliza,"Huyu analia nini?" Nikaambiwa,unajua, hii ni mahakama na yule mama ukimuona analia, basi, labda itakuwa mtoto wake amehukumiwa kifungo.

Wakamwambia yule mama unaweza kwenda ndani ukawaone kabla hawajaondolewa, lakini ukifika kule usilie.
Halafu mtu mmoja akasema, hapana, hawezi kwenda, yule askari hujamuona anafukuza watu?

Hii hukumu, unasema watu wachache wameuawa,na wachache tena,wamejeruhiwa. Haya mambo ya Kanisa kushambuliwa au Msikiti kuchomwa moto,haya mambo viongozi wa dini wanaweza kukutana, wakajadili.
Dini yetu ni moja, Abrahamic Faith.

Kuna sababu gani ya kuwafunga Masheikh ambao wameshakaa miaka kumi jela?

Kuhusu hukumu ya masheikh soma > Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo
Kwa hiyo ni sawa kulipua Kanisa na kuua watu?
 
Back
Top Bottom