Napinga Masheikh sita wa Kiislamu kupewa adhabu ya kunyongwa hadi kufa

Napinga Masheikh sita wa Kiislamu kupewa adhabu ya kunyongwa hadi kufa

Kumbe watu watatu walifariki that’s murder.

Sijasoma kesi yote na ushiriki wao, if one goes into details kuna watu hapo wanastaili adhabu ya kifo; labda sio masheikh wote hao but someone has to.

Without going into legal arguments but punishment has to be proportionate to the crime committed ‘an eye for an eye, and a tooth for a tooth’.

Someone has to pay the price for those death equally and a death sentence is appropriately, but then it has to be direct involvement in the cause; vinginevyo ni kifungo cha maisha.

Masheikh wa ovyo kweli
Nilikushangaa jibu lako la kwanza , bora umegundua watu walikufa na umesahihisha
 
Ulitaka maiti ihifadhiwe miaka mingapi mkuu?
Mwanamke akibakwa wakishapima, hata hukumu ikitoka baada ya miaka 10 unataka akae na mbegu kwenye uchi hadi miaka 10 kama ushahidi?
Hata sijui unaongea kitu gani

Ili kumpa mtu kesi ya mauaji unatakiwa kuthibitisha without reasonable doubt uhusika wake through ‘mens rea’ (malice aforethought “nia”) and ‘actus reus’ (kuhusika moja kwa moja kutenda hilo tendo) na iliyosababisha kifo au vifo vya watu.

Kwenye sakata la hiyo kesi unatakiwa uthibitishe kila muhisika aliehukumiwa kunyongwa alirusha bomu na kuua mtu ndio kuwahukumu kifo.

Otherwise kama uhusika wao ni kwenye ‘mens rea’ nia yao ni kutaka kupeleka madhara tu, na hao ma-mbumbumbu hawajahusika kwenye kurusha mabomu hiyo ni ‘abetting in crime ’ tu; ili uwe na murder case unahitaji both ‘mens and actus reus’.

Wanafunzi wenyewe karibu 90% wana fail mitihani ya kuwa wanasheria, wala sishangai hiyo hukumu ya hovyo.

Politically the decision can be divisive (if the matter is not handled careful).

Personal don’t care if the court is right or wrong; kitendo cha kuchukua maisha ya mtu asie na hatia kwa sababu ya upuuzi uliopo kwenye kichwa cha mtu mwingine; to me justice is ‘tit for tat’ doesn’t mean it’s legally accepted.

That is to say based on the ‘mens rea’ alone I don’t feel pity on their evil intentions.

Lazima tujifunze kuheshimu imani za watu wengine.

Kuhukumu watu kunyongwa kwenye case kama hii ni utata, unless ‘penal code inasema adhabu ya ushiriki wa ugaidi ni kunyongwa either directly or indirectly’.

But the hao masheikh ni useless individual in my books, they deserve what they got.
 
Nimepita pale mahakamani jana nikamuona yule mama Analia,nikauliza,"Huyu analia nini?". Najua jambo kama lile siyo ajabu, lakini bado nikauliza,"Huyu analia nini?" Nikaambiwa,unajua, hii ni mahakama na yule mama ukimuona analia, basi, labda itakuwa mtoto wake amehukumiwa kifungo.

Wakamwambia yule mama unaweza kwenda ndani ukawaone kabla hawajaondolewa, lakini ukifika kule usilie.
Halafu mtu mmoja akasema, hapana, hawezi kwenda, yule askari hujamuona anafukuza watu?

Hii hukumu, unasema watu wachache wameuawa,na wachache tena,wamejeruhiwa. Haya mambo ya Kanisa kushambuliwa au Msikiti kuchomwa moto,haya mambo viongozi wa dini wanaweza kukutana, wakajadili.
Dini yetu ni moja, Abrahamic Faith.

Kuna sababu gani ya kuwafunga Masheikh ambao wameshakaa miaka kumi jela?

Kuhusu hukumu ya masheikh soma > Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo
Wangeua ndugu yako, ama kuwasababishieni ulemavu wa kudumu... Sidhani kama ungeandika huu utumbo.
 
Nimepita pale mahakamani jana nikamuona yule mama Analia,nikauliza,"Huyu analia nini?". Najua jambo kama lile siyo ajabu, lakini bado nikauliza,"Huyu analia nini?" Nikaambiwa,unajua, hii ni mahakama na yule mama ukimuona analia, basi, labda itakuwa mtoto wake amehukumiwa kifungo.

Wakamwambia yule mama unaweza kwenda ndani ukawaone kabla hawajaondolewa, lakini ukifika kule usilie.
Halafu mtu mmoja akasema, hapana, hawezi kwenda, yule askari hujamuona anafukuza watu?

Hii hukumu, unasema watu wachache wameuawa,na wachache tena,wamejeruhiwa. Haya mambo ya Kanisa kushambuliwa au Msikiti kuchomwa moto,haya mambo viongozi wa dini wanaweza kukutana, wakajadili.
Dini yetu ni moja, Abrahamic Faith.

Kuna sababu gani ya kuwafunga Masheikh ambao wameshakaa miaka kumi jela?

Kuhusu hukumu ya masheikh soma > Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo
Graduate wa MUM,hapa serikali au wafadhili walipoteza fedha za bure.Yaani mahakama iendeshwe kwa kufuata hisia zako.Sisi tumasema magaidi wauwawe
 
Back
Top Bottom