Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

Arsenal bingwa mwaka huu dalili zote zinaonekana
Arsenal akipoteza point na wanaomfuata wanapoteza. Hadi mwisho wa msimu itaendelea kubaki hivyo.
 
Huu uzi aisee ni situational thread.

Gunners akishinda mleta uzi anaonekana mpuuzi lkn kwa hali hii ni kwikwi kwiiiiiiiiiiii
 
Hivi uzi huu nawezaje kuufuta ? naomba ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…