Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Tulishapinga Majina ya watu kutumika, hayana maana yoyote
Ulipinga wewe na nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulishapinga Majina ya watu kutumika, hayana maana yoyote
Hapa nilipo hakuna kambajinyonge huna la kufanya m,,,bwe ,,,h wee
Huenda mawazo hayo alitoa yeye mkuuStemdi ya mabasi, magufuli,.madaraja magufuli eeehh,.too much.
Hakuna wasomi mahiri, wanamuziki mahiri,
Matusi na Uchawi havitazuia dhamira yangukilaza mwenye funza zilizooza kichwani amka utajikojolea
sasa treni kajenga yy tulikua hatunayo miaka 50 tangu uhuru !! na ni wazo lake we unapinga kama nani? we ndo umejenga !Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
View attachment 3058864
Pole sana. Dkt Samia oyeeeHii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
View attachment 3058864
Kajenga Magufuli una uhakika?sasa treni kajenga yy tulikua hatunayo miaka 50 tangu uhuru !! na ni wazo lake we unapinga kama nani? we ndo umejenga !
si unenge yako uipe jina la mama yako😂😂😂
Hii nchi kuna mabwabwa hii
Unayemkashifu ndiye alijenga hiyo ikulu unayoona ni ya muhimu! Kwa hiyo tumia akili umeshaanza kujichanganya mwenyewe.Jina la Ikulu linatumika kijinga sana
Mpuuzi wewe, nenda kafuteTutahakikisha jina hilo linaondolewa
kajenga mama ako sasa??Kajenga Magufuli una uhakika?
Every majina ya wanasiasaUlitaka iitwe Mbowe?
Kama hauoni sababu zozote za kuitwa Magufuli, basi hata sisi hautuoni sababu za kuacha kuitwa Magufuli
Isitoshe ni Maraisi wote, ila kwa Magufuli tu ndiyo umeona shida.
Nadhani hizi ni chuki
Tupe jina la babako tuiteHii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
View attachment 3058864