Napinga Stesheni ya SGR Dar kuitwa Magufuli, hakuna sababu yoyote ya kuipa Jina hilo

Napinga Stesheni ya SGR Dar kuitwa Magufuli, hakuna sababu yoyote ya kuipa Jina hilo

Stemdi ya mabasi, magufuli,.madaraja magufuli eeehh,.too much.

Hakuna wasomi mahiri, wanamuziki mahiri,
mbona mkapa naye ana majina sehemu kadhaa? nchi bado changa kama wameamua kujaza majina ya maraisi kipindi hiki sawa miradi mingine huko mbele itakua na majina ya kawaida
 
Mkuu Msigwa bado anatrendiii so hii ya SGR kuizima ni ndoto. Authority haipo upande uliopo mpaka pale utakapokuwanayo
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

View attachment 3058864
Watu wanakutukana kwa sababu umeonesha ujinga wako kwa kuwa umeandika ujinga.
 
Hakika Magufuli alifanya mengi sana kwa muda mfupi tena kwa manufaa ya wananchi japo kasoro hazikosi.
Aina ya watu tuliyopo Tanzania ni ya ajabu sana kuna wakati nashindwa kuelewa Watanzania tunataka nini???
Hakuna nchi iliyoendelea bila kuwepo kasoro, sisi ni binadamu.
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

View attachment 3058864


Kwani uliambiwa uwe na cheti feki?

Wakati wenzako wanasoma wewe ulikuwa wapi?

Au ulitaka kuwa mfanyakazi hewa mpaka lini?
 
Huu ujinga upo huku Africa tu
Yaani vitu vijengwe kwa kodi zetu alafu wanaandika majina ya koo zilizofaidi keki ya nchi huoni kuwa wanasimika mizizi ya wao na watoto na wajukuu zao kuendelea kurithishana madaraka
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

Rubbish.
 
Njoo na hoja ya kwamba kwanin hao biongozi wote hapo hakuna aliyefaa kupewa majina kweny hizo vituo labda kwa mbaali (JKN) pia jitahidi kujikita kwwny joja cyo kushambulia mtu
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

Stupid nonsense!.
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

Kunywa maji mwanangu
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

Ulitaka, iitwe Mbowe kurunzinza? Tatizo haiwezekani Mbowe hana ubunifu wowote zaidi ya kuwapiga pesa na mwenyeki wa kudumu.

Hana kitu. JPM amefanya kazi na tumeona. Nyie machawa wa, Mbowe vingine jaribuni kukubali sio kuwa, wajinga na wapumbavu tu na kupinga kila, kitu.
 
M
Ulitaka iitwe Mbowe?
Kama hauoni sababu zozote za kuitwa Magufuli, basi hata sisi hautuoni sababu za kuacha kuitwa Magufuli
Isitoshe ni Maraisi wote, ila kwa Magufuli tu ndiyo umeona shida.
Nadhani hizi ni chuki
ti wenye matunda !👍😅
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

Wewe utakuwa umerogwa wahi kwa waganga kabla hujafa. Nikwambie kwamba wewe ni mjinga na chizi kabisa. Yaani aliyeanzisha mradi na kafanya mengi mazuri na makubwa unasema asipewe jina. Nani anaweza kuthubutu kusema reli ya SGR kajenga zaidi ya Magufuli. Kichaa chako,ujinga wako na umasikini wako isikufanye umseme vibaya Rais wa maisha wa Watanzania. Jinga na zombie kabisa wewe. Kufa leo jinga wewe
 
Back
Top Bottom