Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Potelea MbaliUna roho ya kutu😎😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Potelea MbaliUna roho ya kutu😎😎
Jikite kwenye mada, Achana na mleta madaKama think-tank wa CHADEMA ndio hawa inakuaje mtanzania mwenye akili timamu anaamini ipo siku CHADEMA wataunda serikali?
mbona mkapa naye ana majina sehemu kadhaa? nchi bado changa kama wameamua kujaza majina ya maraisi kipindi hiki sawa miradi mingine huko mbele itakua na majina ya kawaidaStemdi ya mabasi, magufuli,.madaraja magufuli eeehh,.too much.
Hakuna wasomi mahiri, wanamuziki mahiri,
Tangazeni kususia huo usafiri.
Si mara ya kwanza kupinga majina ya watu kupewa mali za ummaLeo nitapingana na wewe kabisaa
Leo sijui hoja umeota ndio ukashtukaaaa
Sijuii ila hoja yako haina mashiko
Ondoa hii maana inakuzalilisha.
Watu wanakutukana kwa sababu umeonesha ujinga wako kwa kuwa umeandika ujinga.Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
View attachment 3058864
Wajinga kama nyie hamuwezi kulifanya chochote jina la Magufuli.hili jina limebarikiwa na Mungu.kwa hiyo hakuna binadamu anayeweza kulishusha.hapa tu umeshindwa angalia unavyotukanwaTutahakikisha jina hilo linaondolewa
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
View attachment 3058864
Stemdi ya mabasi, magufuli,.madaraja magufuli eeehh,.too much.
Hakuna wasomi mahiri, wanamuziki mahiri,
MfanoKingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Rubbish.Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
Stupid nonsense!.Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
Kunywa maji mwananguHii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
Ulitaka, iitwe Mbowe kurunzinza? Tatizo haiwezekani Mbowe hana ubunifu wowote zaidi ya kuwapiga pesa na mwenyeki wa kudumu.Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
ti wenye matunda !👍😅Ulitaka iitwe Mbowe?
Kama hauoni sababu zozote za kuitwa Magufuli, basi hata sisi hautuoni sababu za kuacha kuitwa Magufuli
Isitoshe ni Maraisi wote, ila kwa Magufuli tu ndiyo umeona shida.
Nadhani hizi ni chuki
Wewe utakuwa umerogwa wahi kwa waganga kabla hujafa. Nikwambie kwamba wewe ni mjinga na chizi kabisa. Yaani aliyeanzisha mradi na kafanya mengi mazuri na makubwa unasema asipewe jina. Nani anaweza kuthubutu kusema reli ya SGR kajenga zaidi ya Magufuli. Kichaa chako,ujinga wako na umasikini wako isikufanye umseme vibaya Rais wa maisha wa Watanzania. Jinga na zombie kabisa wewe. Kufa leo jinga weweHii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.