Napinga Stesheni ya SGR Dar kuitwa Magufuli, hakuna sababu yoyote ya kuipa Jina hilo

Napinga Stesheni ya SGR Dar kuitwa Magufuli, hakuna sababu yoyote ya kuipa Jina hilo

Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

Wacha wajifurahishe, tutavibadirisha when time is ripe upuuzi huo. Madikiteita wanapeana majina. Tusubiri la Abdul sijui itakuwa wapi.
 
Wewe utakuwa umerogwa wahi kwa waganga kabla hujafa. Nikwambie kwamba wewe ni mjinga na chizi kabisa. Yaani aliyeanzisha mradi na kafanya mengi mazuri na makubwa unasema asipewe jina. Nani anaweza kuthubutu kusema reli ya SGR kajenga zaidi ya Magufuli. Kichaa chako,ujinga wako na umasikini wako isikufanye umseme vibaya Rais wa maisha wa Watanzania. Jinga na zombie kabisa wewe. Kufa leo jinga wewe
Screenshot_2024-08-01-21-04-29-1.png
 
Ulitaka iitwe Mbowe?
Kama hauoni sababu zozote za kuitwa Magufuli, basi hata sisi hautuoni sababu za kuacha kuitwa Magufuli
Isitoshe ni Maraisi wote, ila kwa Magufuli tu ndiyo umeona shida.
Nadhani hizi ni chuki
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia

View attachment 3058919
ni muhumu waTanzani wakapuuza mawazo na maoni ya kupinga mambo ya maana kama haya ya kuweka kumbukumbu majina muhimu ya walio wahi kua viongozi waandamizi serikalini katika mambo ya msingi na ya maana kama hili la SGR, na hasa ukizingatia mtoa hoja hana sababu yeyote ya maana wala ya msingi, zaidi sana si mzalendo kwa chama chake na wala Taifa na tunu zake muhimu 🐒
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia

View attachment 3058919
Chuki ya kimalayamalaya kwa hayati
 
Du we mshakaji kinyesi sana una roho mbaya sana ssa unapinga hapa JF nenda barabarani kapinge ndio tutakuona kweli ww unauchingu na taifa hili je unapendekeza apewe nani MBOWE AU WW JITOKEZE WEKA JINA LAKO NA NAMBA YAKO MUOGA KWELI
 
Stupid nonsense!.
Kuna majina mengi Tu ya vitu mbalimbali tunaweza kuyatumia Kwa ajili ya maeneo muhimu. Sio lazima yawe majina ya watu.
Kwanza viongozi ni watumishi Tu ambao tayari wanapata maslahi makubwa kimaisha na ndio maana wanaweza hata kuua ili wapate madaraka.
Watosheke na maisha Bora waliyonayo sio lazima majina yao yakumbukwe !!!
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia
Kwenda zako kule wewe. Magufuli alikua kiongozi mzuri na mwadifu sana. Acha unoko. Kama alikutumbua kitu hilo ni shauri lako mwenyewe.
 
Erythrocyte...naomba iitwe ilo jina Ili nongwa ikutoke🤣🤣
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia

View attachment 3058919
Weka hiyo mifano kwanza...
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

========
Angalia Ujumbe wa Rais wa Zambia

View attachment 3058919
Mbowe kawa mwenyekiti wa chadema toka Magufuli ni mwalimu ila hajaweza hata kujenga ofisi ya chama makao makuu ila hilo hulioni unachokiona na mapungufu machache ya mtu alieweza kujenga reli ya sgr na mradi mkubwa wa umeme! Sio siri we jamaa unaliwa jicho maana una una chuki za kike sana.
 
Mbowe kawa mwenyekiti wa chadema toka Magufuli ni mwalimu ila hajaweza hata kujenga ofisi ya chama makao makuu ila hilo hulioni unachokiona na mapungufu machache ya mtu alieweza kujenga reli ya sgr na mradi mkubwa wa umeme! Sio siri we jamaa unaliwa jicho maana una una chuki za kike sana.
Kajengea hela zake?
 
Back
Top Bottom