Napinga Stesheni ya SGR Dar kuitwa Magufuli, hakuna sababu yoyote ya kuipa Jina hilo

Napinga Stesheni ya SGR Dar kuitwa Magufuli, hakuna sababu yoyote ya kuipa Jina hilo

Every majina ya wanasiasa
Stend, meli, stesheni, majengo, madaraja.
Hakuna majina mengine kama ya vivutio vya kitalii na mengine.
Ingeitwa Dar es salaam rail way station, Dodoma rail way station, Morogoro railway station INGEKUAJE??

#YNWA
Mleta mada angepinga majina ya Steshen zote kuitwa majina ya maraisi!
Lakini kupinga jina la raisi mmoja tu inaonekana kama chuki
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

View attachment 3058864
Kuna maajabu tu 🤣
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

View attachment 3058864
Ulitaka hiyo station iitwe jina la bwana yako Mbowe? Kwanza si mlipinga ujenzi wa SGR sasa inawauma nini station kuitwa jina la mwamba MAGUFULI? Utake usitake station itaitwa kwa jina hilo kama hutaki kajinyonge! Chadema urais mtausikia tu kwa akili za kishoga hivi!!
 
Ni kama Kigoma hatukwenda sawa na masasi
 
Ulitaka hiyo station iitwe jina la bwana yako Mbowe? Kwanza si mlipinga ujenzi wa SGR sasa inawauma nini station kuitwa jina la mwamba MAGUFULI? Utake usitake station itaitwa kwa jina hilo kama hutaki kajinyonge! Chadema urais mtausikia tu kwa akili za kishoga hivi!!
Najua mnanitukana mara nyingi sana, lakini mbona matusi ni yale yale, hamna matusi mapya?
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

View attachment 3058864
Asingekuepo Magufuli hata hiyo station unayopiga isipewe jina lake isingekuepo sijui ungepinga nini.

Jengeni makao makuu myaite mtei
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

View attachment 3058864
Magufuli alikuwa mnoko na visasi kwa matapeli ya kisiasa kama mbowe
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

View attachment 3058864
Kama ni maoni yako ni haki yako

Ila Kama unawakilisha maoni ya chama Chako

Ni maoni ya kijinga Sana na madogo Sana (minor) kutolewa na chama kinachojitambua
 
Mkifaulu kuliondoa jina la Magufuli, taudharau sana utawala huu...

Any way, hivi Samia bado anawasikiliza kweli?

Maana waajiri wenu wametemwa.
 
Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)

Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.

Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.

View attachment 3058864
Leo nitapingana na wewe kabisaa

Leo sijui hoja umeota ndio ukashtukaaaa
Sijuii ila hoja yako haina mashiko

Ondoa hii maana inakuzalilisha.
 
Kama think-tank wa CHADEMA ndio hawa inakuaje mtanzania mwenye akili timamu anaamini ipo siku CHADEMA wataunda serikali?
 
Back
Top Bottom