Uchaguzi 2020 Napinga viongozi wa dini kukutana kwa lengo la kuelezea kinachoitwa mafanikio ya Rais Magufuli, hii ni kampeni na haikubaliki


Huyu sheikh sasa anataka kuwagawa Waislam. Anataka kuwalazimisha Waislam kuishabikia CCM.
 
Hii ni aibu kubwa sana, yaani badala ya serikali ijisemee, yenyewe inakwenda kusemewa na viongozi wa dini!

Na huu ni Ushahidi mwingine mzito kuwa BAKWATA ni tawi la CCM
 
Alhadji Mussa ni Miongoni mwa Mashekhe njaa tulionao...ukiwa na cheo anakushobokea ila ukikiacha hana mpango na wewe Makonda anamjua vyema.
 
Alhadji Mussa ni Miongoni mwa Mashekhe njaa tulionao...ukiwa na cheo anakushobokea ila ukikiacha hana mpango na wewe Makonda anamjua vyema.
Hivi tayari kishambwaga ?
 
Hivi kwa zama hizi kuna mtu ambaye hawezi ona mafaniko na mapungufu. Swali fikirishi hivi binadamu anaweze kuwa na mafanikio bila bila mapungufu basi tuyaseme hayo mapungufu ili ajirekebishe
 
Hivi huyo si ndio amemkana makonda?naona sasa anajishusha aonekane ule u best ulikuwa wa kawaida au kaona msaada kule kwa makonda haupo tena anatafuta pa kuegemea tena na je siku zote walikuwa wapi
 
When you have done something and you have to spend hours to explain what you have done then you done nothing. Things you have done will speak for themselves. Just shut the f up
Your browser is not able to display this video.
 
Hujui.........Siasa za viwango vya juu sana!!.....sijui.......ona sasa!
 
Huyu shehe naona kama anazidi kukengeuka kila kukicha na watawala wanamtumia yeye sana kwakuwa washamuona kuwa ni mwepesi kudanganyika.
 
Hapa umeambiwa viongozi wa dini, siyo kiongozi wa dini.
Ina maana hata na maaskofu wameambiwa walilo ambiwa mashehe
Mbona maaskofu wakikemea unakuwaga wa kwanza kuanzisha uzi humu kusifia.

Unataka mambo yanayokufurahisha tu ndo yatendeke. Tengeneza dunia yako!
 
Hao hao hata kama machoni mwa watu wanaonekana ni dhaifu lkn wana wafuasi wao wanao WAKUBALI na kuwaamini.
Mkuu unasikiliza Hawa viongozi wa dini wasio jielewa design ya Gwajima na kufata uwehu wao kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…