Haya mafanikio ya Rais hayaonekani kwa macho mpaka yanadiwe?
Sijaona ulazima wakufanya yote hayo,kwani watu hawayaoni hayo mazuri mpaka wanatumia nguvu kubwa hivyo kuwaaminisha watu uongo.
Ndugu halitufurahishi asilimia 80 ya waislamu, na Bakwata sio taasisi ya waislamu, bali ni mali ya serekali
Picha pale juu imejielezaSahihi hasa huyu shehe wa jijini amekuwa ni sehemu ya kada wa lumumba
Nimeona anajiabisha kisa kukubali kutumikaPicha pale juu imejieleza
Wapi takukuru.....meli hiyo!!Taarifa hii imetolewa na Alhaji Musa Salum ambaye ni Sheikh wa Bakwata wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwamba eti viongozi wa dini wanatarajia kukutana tarehe 30 July jijini kwa lengo la kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya 5!
Taarifa inazidi kueleza kwamba Mgeni Rasmi atakuwa Waziri Mkuu ndugu Kassim Majaliwa.
Tangu lini viongozi wa dini wakawa wasemaji wa serikali? Hii mbona ni siasa ya kiwango cha chini sana! Sasa tukisema hawa viongozi njaa wa dini wakiwemo maaskofu kadhaa walioshuka hadhi wanatumika tutakuwa tunakosea?
Tutahakikisha tunahamasisha wananchi kupuuza kila kitakachojadiliwa na hawa mamluki bila kuchoka.
Mara ngapi sasa .huoni kuna taasisi mbili nahiyo yakina ponda?Huyu sheikh sasa anataka kuwagawa Waislam. Anataka kuwalazimisha Waislam kuishabikia CCM.
tutawapinga hadi wakimbieKwanza ni dini gani hizo mkuu Erythrocyete, isije ikawa ni dini za CCM ; halafu tukaanza kulaumu bila kujua!
Hawa mamluki wanaotumia dini kufanya siasa wakati umefika wa kuwafunua na kuwapiga vita kweli kweli wananchi wajue.
Ni lazima sasa kuwakabili bila kujali kura za waumini wao wanaowaongoza.
Tanzania haiwezi kuwa taifa la kipuuzi kiasi hiki.
Hawana hiyo haki ,mbona maaskofu kila mara wanatoa waraka wa kuipinga serikali ,hakuna ajabu hapo wako sawa mnoTaarifa hii imetolewa na Alhaji Musa Salum ambaye ni Sheikh wa Bakwata wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwamba eti viongozi wa dini wanatarajia kukutana tarehe 30 July jijini kwa lengo la kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya 5!
Taarifa inazidi kueleza kwamba Mgeni Rasmi atakuwa Waziri Mkuu ndugu Kassim Majaliwa.
Tangu lini viongozi wa dini wakawa wasemaji wa serikali? Hii mbona ni siasa ya kiwango cha chini sana! Sasa tukisema hawa viongozi njaa wa dini wakiwemo maaskofu kadhaa walioshuka hadhi wanatumika tutakuwa tunakosea?
Tutahakikisha tunahamasisha wananchi kupuuza kila kitakachojadiliwa na hawa mamluki bila kuchoka.
Huyu jamaa ni pumbavu sanaMbona maaskofu wakikemea unakuwaga wa kwanza kuanzisha uzi humu kusifia.
Unataka mambo yanayokufurahisha tu ndo yatendeke. Tengeneza dunia yako!
Unateseka sana sisimizi ww wa kufinyangwa na kidole ukatoboka kabisa mambo yanakuzidi akili maarifa na uelewa achana Nayo si level zakoTaarifa hii imetolewa na Alhaji Musa Salum ambaye ni Sheikh wa Bakwata wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwamba eti viongozi wa dini wanatarajia kukutana tarehe 30 July jijini kwa lengo la kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya 5!
Taarifa inazidi kueleza kwamba Mgeni Rasmi atakuwa Waziri Mkuu ndugu Kassim Majaliwa.
Tangu lini viongozi wa dini wakawa wasemaji wa serikali? Hii mbona ni siasa ya kiwango cha chini sana! Sasa tukisema hawa viongozi njaa wa dini wakiwemo maaskofu kadhaa walioshuka hadhi wanatumika tutakuwa tunakosea?
Tutahakikisha tunahamasisha wananchi kupuuza kila kitakachojadiliwa na hawa mamluki bila kuchoka.
Unateseka sana sisimizi ww wa kufinyangwa na kidole ukatoboka kabisa mambo yanakuzidi akili maarifa na uelewa achana Nayo si level zakoHuyu jamaa ni pumbavu sana
Unateseka sana sisimizi ww wa kufinyangwa na kidole ukatoboka kabisa mambo yanakuzidi akili maarifa na uelewa achana Nayo si level zakoHuyu jamaa ni pumbavu sana
Unateseka sana sisimizi ww wa kufinyangwa na kidole ukatoboka kabisa mambo yanakuzidi akili maarifa na uelewa achana Nayo si level zakoUkiona hivyo hayapo
Ni wanufaika,wasiwe bias,waeleze na mabaya piaHawa viongozi wa dini watakao kubali kutumiwa basi wanajiaibisha mbele ya jamii
Unateseka sana sisimizi ww wa kufinyangwa na kidole ukatoboka kabisa mambo yanakuzidi akili maarifa na uelewa achana Nayo si level zakoKibaya chajiuza
Unateseka sana sisimizi ww wa kufinyangwa na kidole ukatoboka kabisa mambo yanakuzidi akili maarifa na uelewa achana Nayo si level zakoNi wanufaika,wasiwe bias,waeleze na mabaya pia
Naona zinatumika nguvu nyingi sana kupamba hii awamu,yaani utadhani nchi inapaa angani kwa mafanikio kumbe kawaida tu.Nchi bado ina changamoto kibao wanakosa muda na akili zakuisaidia serikali hili iendelee kupambana nazo wao wamekali kusifu nakupamba.