Napokea mshahari ngazi ya TGS D naishi kijijini naona fedha hiyo hainikidhi kabisa mahitaji yangu.

Nimeshangaa sana kuna kampuni moja iliita wafanyakazi ngazi tofauti kuanzia udereva mpaka project manager ila mshahara wa juu ulikuwa 700k na bado nyomi kama lote na vyeti vyao kabisa
Dah, nchi ngumu sana hii
 
Wenzako tuko kitaa bila ajira ila maisha yanasonga na hatulalamiki..

achia ngazi bibi mchuma uwe wazi madereva tupooo
 
Watakuingiza kwenye database moja kwa moja kisha zikitokea nafasi zinazohusu taaluma yako wanakupangia.
mbinu hii inatumikaje nami niifanye hela ipo
 
nimekupm inbox yako naomba tuwasiliane 0744 31 12 47
 
Lini mshahara uliwahi kukidhi mahitaji ya mtumishi wa serikali?
 
Toa ulicho nacho ili uongezewe zaidi ya ulichotoa, hahaaa ahhhaa hayo ndo maisha yetu ya Dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…