dogo kubwa
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 798
- 695
- Thread starter
-
- #41
Asante mkuuPole sana mkuu,mambo haya yanawakumba sana hata Tellers wa bank,ni mambo ya mauzauza,wanapoteza pesa na kujikuta wana shoti zisizoisha kila wakati,matokeo yake wanajikuta pesa zao za mishahara zinaishia kulipa hizo shoti.Cha muhimu mkuu fanya maombi ya kuombea eneo lako la kazi,vifaa vyako,line zako,simu,kibanda n.k.kinyume cha hapo hutakaa ufanikiwe kwenye biashara zako,ni damu ya Yesu tu ndio inakuhusu ili kuweza kuvunja hizo nguvu za giza....
Sent using Jamii Forums mobile app
But sijaelewa pia namna inavyofanya kazi hii chuma ulete, unaweza kuelewesha mkuuHivi jaman hawa chuma ulete kwann hawaend banks kuchukua pesa mpaka waje kwenye biashara yako ya mia mbili mbili????
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee kijana vipi? Mbona unag'ang'ania kujua chumaulete inafanyajekazi? Chuma ulete ni uchawi! Nenda kwa waganga wa kienyeji ukaununue na wewe iitumie kwa wengine upate pesa kama unaona ni deal! Umeishapata ushauri wa kutosha akili kichwani mwako kunyoa au kusuka!But sijaelewa pia namna inavyofanya kazi hii chuma ulete, unaweza kuelewesha mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Inatakiwa unapofunga ofisi ufanye reconciliation mpaka hesabu zibalance,Kila sikuNinajitahidi kutunza mkuu, kila mwisho wa wiki napiga hesabu, then nakuta hasara, niko makini mfano, mtu akitoa elfu tano, nisitoe elfu 50 mimi, niko makini na namba
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona unaongea kwa ukali hivyo mkuu, kuna sehem nimeku offend!, ilitosha useme ni uchawi hauna maelezo nje ya ulimwengu wa ushirikina, sioni sababu ya wewe kuwa mkaliWeee kijana vipi? Mbona unag'ang'ania kujua chumaulete inafanyajekazi? Chuma ulete ni uchawi! Nenda kwa waganga wa kienyeji ukaununue na wewe iitumie kwa wengine upate pesa kama unaona ni deal! Umeishapata ushauri wa kutosha akili kichwani mwako kunyoa au kusuka!
Chuma ulete ni uchawi,mtu anakuja na pesa yake anakupa,ukiichanganya tu na hela zako zingine inaanza kuzinyonya(kuzisomba) pesa zako mdogomdogo kimazingara,inaweza ikawa inapotea bukubuku kila baada ya masaa mawili bila wewe kujuambona unaongea kwa ukali hivyo mkuu, kuna sehem nimeku offend!, ilitosha useme ni uchawi hauna maelezo nje ya ulimwengu wa ushirikina, sioni sababu ya wewe kuwa mkali
nashangaa etiiHivi jaman hawa chuma ulete kwann hawaend banks kuchukua pesa mpaka waje kwenye biashara yako ya mia mbili mbili????
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila hizi imani potofu haziachi hi nchi salama kabisa tutabaki hivo hivo.......Africa bado sanaaaaaChuma ulete ni uchawi,mtu anakuja na pesa yake anakupa,ukiichanganya tu na hela zako zingine inaanza kuzinyonya(kuzisomba) pesa zako mdogomdogo kimazingara,inaweza ikawa inapotea bukubuku kila baada ya masaa mawili bila wewe kujua
mkuu wako wapi hao watumishi au unaweza kudokeza walipo.Nakushauri utafute mtumishi aliyesimama ufanyiwe maombi, hizo roho chafu zipo sana, hayo yashamkuta sana mama angu karibia afungwe na taasisi za mikopo, wengne wanarushiwa pepo la madeni kila kukicha ni kukopa hata ufanyeje visa vya kukulia pesa haviishi.
Kuna watumishi wanafanya maombi hawaangalii dini ya mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupeni iyo technologia ya CHUMA ULETE twende tukachukue pesa Bank.kuna wajinga watakwambia tunza hesabu vizuri.....hiyo inaitwa CHUMA ULETE BABY
hakikisha miamala yote unayo halafu nenda voda makao makuu!!!! KAMA MIAAMALA HUNA NENDA NA LINE YAKO WAO LAZIMA WANA MIAMALA.......... Wafanyakazi wa vodacom hasa aliyekusajilia hiyo line wanajua tatizo na wao ndio wanakuibia....... KOMAA NAO MAANA HAKUNA NAMNA ZAIDI YA WAO.Poleni kwa majukumu ya ujenzi wa Taifa wana bodi, mimi ni wakala wa m-pesa, kwa muda mrefu nimekuwa naingia hasara bila kujua inatokana na nini, kwa mfano, nina laki tano kwenye sim na nina lako tano mkononi, nikifanya mzuguko ndani ya wiki moja, najikuta nina laki mbili kwene sim na laki tatu mkononi, so hapo kuna jumla ya laki tano sijui imepoteaje.
Nimebadili laini ya uwakala nikidhani ile laini ya kwanza kuna namna aliyeniuzia anaiba, kadhalika na hii line mpya nimeyonunua mwenyewe bado tatizo lipo.
Msaada tafadhari. Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
=====
Shida yako iko hapo kufunga hesabu kwa wiki, unatakiwa kila siku ufunge hesabu zakoNinajitahidi kutunza mkuu, kila mwisho wa wiki napiga hesabu, then nakuta hasara, niko makini mfano, mtu akitoa elfu tano, nisitoe elfu 50 mimi, niko makini na namba
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntalifanhia kazi hiliShida yako iko hapo kufunga hesabu kwa wiki, unatakiwa kila siku ufunge hesabu zako
Nina miaka mitatu kwenye frame, ni nyumbani, frame niliijenga mwenyewe, ni yangu mkuu, kuna bidhaa nyingine nafanya hapa, mojawapo ndiyo M-pesa, ndiyo bidhaa nyingine sipati hasara, ni kwenye mpesa tu ndo zinapotea1. Hiyo fremu uliyopangisha una muda gani..?
2. Hapo biashara yako ni M-Pesa pekee au kuna bidhaa zingine..?
3. Kama kuna bidhaa zingine, je pesa inapotea kwenye mpesa pekee..?
Jibu maswali hayo kisha nitarejea.