Napoteza pesa bila kuelewa

Asante mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
But sijaelewa pia namna inavyofanya kazi hii chuma ulete, unaweza kuelewesha mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Weee kijana vipi? Mbona unag'ang'ania kujua chumaulete inafanyajekazi? Chuma ulete ni uchawi! Nenda kwa waganga wa kienyeji ukaununue na wewe iitumie kwa wengine upate pesa kama unaona ni deal! Umeishapata ushauri wa kutosha akili kichwani mwako kunyoa au kusuka!
 
mbona unaongea kwa ukali hivyo mkuu, kuna sehem nimeku offend!, ilitosha useme ni uchawi hauna maelezo nje ya ulimwengu wa ushirikina, sioni sababu ya wewe kuwa mkali
 
mbona unaongea kwa ukali hivyo mkuu, kuna sehem nimeku offend!, ilitosha useme ni uchawi hauna maelezo nje ya ulimwengu wa ushirikina, sioni sababu ya wewe kuwa mkali
Chuma ulete ni uchawi,mtu anakuja na pesa yake anakupa,ukiichanganya tu na hela zako zingine inaanza kuzinyonya(kuzisomba) pesa zako mdogomdogo kimazingara,inaweza ikawa inapotea bukubuku kila baada ya masaa mawili bila wewe kujua
 
Chuma ulete ni uchawi,mtu anakuja na pesa yake anakupa,ukiichanganya tu na hela zako zingine inaanza kuzinyonya(kuzisomba) pesa zako mdogomdogo kimazingara,inaweza ikawa inapotea bukubuku kila baada ya masaa mawili bila wewe kujua
Ila hizi imani potofu haziachi hi nchi salama kabisa tutabaki hivo hivo.......Africa bado sanaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu wako wapi hao watumishi au unaweza kudokeza walipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakikisha miamala yote unayo halafu nenda voda makao makuu!!!! KAMA MIAAMALA HUNA NENDA NA LINE YAKO WAO LAZIMA WANA MIAMALA.......... Wafanyakazi wa vodacom hasa aliyekusajilia hiyo line wanajua tatizo na wao ndio wanakuibia....... KOMAA NAO MAANA HAKUNA NAMNA ZAIDI YA WAO.
 
1. Hiyo fremu uliyopangisha una muda gani..?
2. Hapo biashara yako ni M-Pesa pekee au kuna bidhaa zingine..?
3. Kama kuna bidhaa zingine, je pesa inapotea kwenye mpesa pekee..?

Jibu maswali hayo kisha nitarejea.
 
1. Hiyo fremu uliyopangisha una muda gani..?
2. Hapo biashara yako ni M-Pesa pekee au kuna bidhaa zingine..?
3. Kama kuna bidhaa zingine, je pesa inapotea kwenye mpesa pekee..?

Jibu maswali hayo kisha nitarejea.
Nina miaka mitatu kwenye frame, ni nyumbani, frame niliijenga mwenyewe, ni yangu mkuu, kuna bidhaa nyingine nafanya hapa, mojawapo ndiyo M-pesa, ndiyo bidhaa nyingine sipati hasara, ni kwenye mpesa tu ndo zinapotea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…