Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #41
Ni wazo zuri, ila kama utaweza hapo mjini weka kitega uchumi ambacho kitakuwa kinakutumia ata kilo ya nyama kule kijijini.Mkuu nami plan zangu mwakani ni kwenda kuanzisha maisha Tukuyu!
Mji wa Dar es salaam umenikinai na sidhani tena napaswa kuishi hapa!,Zamani tulishindwa kukaa vijijini kwasababu hakukuwa na miundo mbinu Bora,Maji,Umeme na Hospitali nzuri!
Lakini hivi Sasa hata Wilayani huko Kuna maisha mazuri sana na watu Wana enjoy maisha kuliko tunaong'ang'ania hapa mjini!
Mungu akinipa Uhai mwakani nauhama huu mji rasmi!,Nipo kwenye mchakato wa kuuza Nyumba zangu Ili nikajenge huko Tukuyu Nika- enjoy maisha mazuri yenye Hali nzuri ya hewani!
Ha ha ha na wengi wamevurugwa na vurugu za mijini, ata shikamoo ya bure hupewiKuhusu hiyo picha ya pili, huko mjini inapaswa itangazwe kuwa ni sehemu hatarishi ya afya ya akili na mwili; na anayekomaa napo asiilaumu serikali
Huko ndio kwenyewe sasaAU raraa reree unasemaje huyu jamaa ataweza kweli bila kula bata porini huko??
Ni kutafuta kijiji kizuri chenye hali ya hewa nzuri ya kuishi, kama kile alichotembelea ngosweManeno ya mtu ambaye hajawahi kuishi kijijini.
Utaleta mrejesho
Kuna vijiji vipo baadhi ya mikoa, ukienda hutamani kurudi mjiniHayo mazingira ya ulaya hukoo
Utayamiss mishangingi yenye mitako...ewe die hard fan(s) wa mikalioπNimeamua nikazeekee kijijini kwa sababu zifuatazo:-
Kule kijijini nitapata hewa safi isiyokuwa na mchafuko Kule kijijini nitapata majirani wema wasiokuwa na choyo Kule kijijini tutakuwa tunatembeleana bila chuki Kule kijijini tutakuwa tunakunywa togwa pamoja Kule kijijini tutapunguza msongo wa mawazo Kule kijijini tutaingia shamba lolote kuchuma matunda na kula Kule kijijini tutakuwa tunasikia milio ya ndege na viumbe mbali mbali Kule kijijini tutafurahia uoto wa asili Kule kijijini tutakuwa tunaenda kuwinda kama sehemu ya michezo Kule kijijini tutapata marafiki wengi ambao sio wanafiki Kule kijijini tutakuwa tunatembeleana panapotokea mmoja wetu anaumwa. Kukaa kwenye nyumba ya nyasi yenye hewa safi na ya kuvutia Kula vyakula vilivyopikiwa kwenye vyungu na kuwa na ladha nzuri Kendwa kuogelea mitoni na kuvua samaki kama sehemu ya michezo na uwindajiKwa ujumla maisha ya kijijini yatakuwa ni mazuri sana
View attachment 3121969
Kwa nyie mnaobaki mjini, nawaachia mpambane na:-
Majungu na fitina zenu Mchafuko wa hali ya hewa Jua kali Msongamano wa watu Makelele ya baa na kumbi za starehe zinazoharibu utulivu wa ubongo Misongo ya mawazo kutokana na changamoto za kimazingira Kudharauliwa na vijana Kununua kila kitu; nyanya, yai ,mchicha n.k Kutokuwa na marafiki wa kweli Kila mmoja kumuona mwenzie fursa Kuzeeka kabla ya umri wako Kupata magonjwa ya moyo na presha n.k Kula vyakula vyenye kemikali katika kukuzia au usindikajiView attachment 3121971
Fanya maamuzi mapema; njoo kijijini tukawinde kanga pori, sungura, n.k pamoja na kuongeza miaka mingi ya kuishi.
Ukipachoka huko mjini nakukaribisha uje tuishi wote kijijiniUfike salama
Kuna baadhi ya vijiji bado kuna mazingira mazuri, kwa mfano vijiji vinavyopakana na nchi za jirani n.kAkili za kitoto....kiuhalisia hayo mambo siku hizi hayapo huko vijijini
Unaeza kuta ni atheistAtajuana na mungu wake
π€£π€£π€£π€£π€£mla bata na mazingira ya kijijini wapi na wapi usije nifanya nikapauka bureUkipachoka huko mjini nakukaribisha uje tuishi wote kijijini
Na vijijini wapo, tena ni visu balaa, ngoja nikawawakilishe πSasa hizo si picha za mbugani ba sio kijijini ,utaweza kweli kuwa mwanakijiji kwa bata zako unavozipenda
Pana vutiaHome sweet home,
Umenikumbusha uliposema mayai ngoja nikacheki bandani walau nichemshe mawili
Aisee,Narudi zangu kijijini, maisha ya mjini siyataki tena
Tobaaaaa!!! kuna watu wanaenda kuumia hukoπ€π€
Kiufupi kama hawajakuleta madam hawezi kukurudisha ulipotokaa au cyooBaada ya kuchakata sana, sasa unarudi kijijini kwenu katerero..... Kila laheri wasalimie wazee huko.
Mi bado nipo mjini kila mtaa nasikia spika za chingaaa wa dunia.
Maisha ya mjini kila siku ni mateso, muda mwingi unaupoteza bara barani; achilia mbali stress za hapa na paleMji huu balaa lake siyo dogo,
tunakuwa bize kwelikweli cha ajabu hela inayopatikana ni kulakula tu, ukijisahau 40 hii hapa na upara juu wakati hata kipande cha ardhi huna