Narudi zangu kijijini, maisha ya mjini siyataki tena

Ni wazo zuri, ila kama utaweza hapo mjini weka kitega uchumi ambacho kitakuwa kinakutumia ata kilo ya nyama kule kijijini.
 
Basi kijijini kwenyewe iwe Mikoa ya Pwani,Lindi ama Mtwara.. watu hawalimi kazi kushinda kwenye bao tu.. unga wa sembe mpaka utoke Dar.. kila kitu kitoke mjini, kazi wanayoithaamini ni kurogana tu.. maisha ya vijijini mazuri yapo Usukumani unaamka asubuhi unakumbana na viazi unashushia na maziwa .. kufumba na kufumbua unaibukia kwenye (Ng'homele) nyama zilizokaushwa, hujagusa (Mashishanga) jibini huko ni full kujiachia utakumbuje Dar ya chai na slace mbili !?
 
Utayamiss mishangingi yenye mitako...ewe die hard fan(s) wa mikalioπŸ˜‚
 
Mji huu balaa lake siyo dogo,

tunakuwa bize kwelikweli cha ajabu hela inayopatikana ni kulakula tu, ukijisahau 40 hii hapa na upara juu wakati hata kipande cha ardhi huna
Maisha ya mjini kila siku ni mateso, muda mwingi unaupoteza bara barani; achilia mbali stress za hapa na pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…