Mkuu nami plan zangu mwakani ni kwenda kuanzisha maisha Tukuyu!
Mji wa Dar es salaam umenikinai na sidhani tena napaswa kuishi hapa!,Zamani tulishindwa kukaa vijijini kwasababu hakukuwa na miundo mbinu Bora,Maji,Umeme na Hospitali nzuri!
Lakini hivi Sasa hata Wilayani huko Kuna maisha mazuri sana na watu Wana enjoy maisha kuliko tunaong'ang'ania hapa mjini!
Mungu akinipa Uhai mwakani nauhama huu mji rasmi!,Nipo kwenye mchakato wa kuuza Nyumba zangu Ili nikajenge huko Tukuyu Nika- enjoy maisha mazuri yenye Hali nzuri ya hewani!