Narudia kusema! hakuna adui mbaya kama pombe!

Pombe Wala Haina shida...imekaa zake kwenye chupa imetulia tuli...wewe ndiyo unashida, pombe haijakulazimisha uinywe ,umeifata mwenyewe na unaindekeza ...ukiona pombe inakuletea matatizo Fanya juu chini,pinduka binuka uachane nayo
Tumesha waelimisha Sanaa..hawaelewi.
 
 
Mtu akitumia pombe Vibaya akawa addicted it's over .

Nilitaka niaanze kukukandia lakini huo mstari uliowela hapo juu ume neutralize kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…