Narudia tena, Mafundi gereji msipojiongeza mtaishia kutengeneza gari za mwaka 90

Gari za kisasa, peleka kwa wakala wanaoshughulikia Aina ya gari yako. Ni kweli muda na ugunduzi mpya na wa kisasa unawapita mafundi magari wetu, na wenye uwezo wakizidi kununua magari ya kisasa, si ajabu mafundi wetu wakakosa kazi.
 
Ni ukweli na uhalisia mtupu! Nchi nzima ina mifumo iliyopitwa na wakati na bahati mbaya, tunazidi kurudi nyuma!
 
Police kwanza watavuta mkwanja ili mambo yaende, pili huyo fundi hata laki mbili hana [emoji23] [emoji23]
 
Mafundi aina zote ni makanjanja na wengi wajinga wasiotaka kujiongeza maisha yao yote
Unakuta mechanics ana garage miaka 30 ila spanner ni zile zile ufundi ule ule na wizi kwenda mbele kwa baadhi

Yaani hawataki kujiongeza hata kuwa na vifaa vya maana
Garage inatakiwa iwe na kila kitu na kuenda na wakati

Wengine ni wajenzi nao hivyo hivyo mjenzi hana hata gari la kubebea vifaa vyake na hata akihitaji kitu
Hawa nao ni masikini tu wasiotaka kujiendeleza

Tatizo wana ujuzi ila hawataki kujipeleka mbele
Utasikia ooh hela hakuna, miaka 30 unasema hela hakuna

Yaani wote hali moja ni njaa tu na wizi na uongo ndio linawafanya wengi wasiendelee na ukiwaambia wanakushangaa
 
Nadhani anapenda publicity kuna issues yeye angetakiwa tuu kutoa directives kimya kimya na mtu anapandishwa kizimbani...
 
Upo sahihi kabisa mkuu
Unakuta mtu ni fundi cherehani anapata tender mpaka za shule kushona sare na wafanyakazi wake wengi ni wa msimu ila sasa jichanganye umpelekee vitambaa akutengenezee utajuta

Hela amekula na utazungushwa mwezi

Ukienda kwa carpenters nao ndio kabisa unauziwa kochi kalijaza maboksi ukilikalia siku Tatu tu umemezwa na kochi

Ukanjanja kila mahali ndio maana hakuna wanaoendelea huku wakisema ooh foreigners wanatajirika kwa ndagu na kuiba na kujuana na wakubwa

Mtu anafeli maisha hajui anafeli wapi halafu kutwa kwa mganga
Inatakiwa shule wafundishwe sana maisha badala ya kukaririshwa tu

Ndio maana hata viongozi unakutwa vichwa boga
 
Tupo serious na comedy, udaku na kucheka watu wanaokosea....
 
Mfumo wa umeme ukipiga short means sensors zote nazo zimepiga short
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…