Unajuwa inatisha sana alafu ni ukweli mchunguTatizo la mafundi kukubali ukweli ni mgumu sana. Halafu wanapata pesa kwa kukadilra ndio maana wamelizika.
Mifumo ya magari sasa imebadilika ndio maana Nissan zinawashinda na kundandia kusema kimeo kumbe nyie ni vimeo.
Swala la vifaa ndio kabisa yani na mkuta fundi anatumia nyundo kuondoa kitu kwenye matairi mpaka unachoka.
Magari yanayo toka yanatumia electronic na umeme mwingi sana kuliko mlivozoea gari zenu 90.
Kila siku mnaunguza magari ya watu.
Ona sasa unavyo ropoka. We unadhani Wabongo wanauwezo wa kumiliki hayo magari unayo yaona kwenye muvi? We unamiliki aina gani ya gari kwanza?Uswahili upi we ndo mjinga watu msiomiliki magari mnashida sana, mfumo wa umeme uko tofauti sana na wa diesel/petrol
Inakuwaga option ya mwisho pindi kitu kimegoma kufunguka ila wabongo hajajaribu kufungua tayari kaja na nyundoNyundo haiepukiki kwenye ufundi wakuu!
Uko sawa kabisa sijakataa kuna mifumo mingi tu bado haihitaji hiyo ila kwa mashine nyingi za sasa malfunction katika mifumo ya umeme inategemea sana kujua kupitia Diagnostic computer.Diagnostic mashine inadeal na management systems tu. Sensors, electrical actuators na modules(hii ni sehemu ndogo sana kwenye gari. Kuna vitu vingi sana bado havihitaji Diagnosis.
Mtu anakuja gari inagonga chini, anataka umfanyie diagnosis na mashine. Duh!
Mswahili hawezi kutoboa kwa biashara kwa sababu ya kutokuwa waaminifuAcha Wahindi watoboe tu. Uaminifu unalipa. Wabongo wengi mi much know mno. Mteja akivaa kawaida wanaongeza bei, na wanakuwa serious balaa. Ila ukienda maduka ya Wahindi hata uvae kishamba utathaminiwa na utauziwa kwa bei halali.
Mkuu kusema la haki bado tutatumia ya kizamani tu ingawa lazima tubadilike ila ndo hivyo tenaNa yanakuja magari ya umeme kazi tunayo hawa mafundi wetu hawana idea na haya magari ya umeme kabisa hili ni janga lingine
Tatizo la watanzania sio watu wa kujiongeza
hujui kitu nyundo haitumiki kufungulia Bali zinatumika spana. kajifunze kwanza jinsi magari yanavyo tengenezwaInakuwaga option ya mwisho pindi kitu kimegoma kufunguka ila wabongo hajajaribu kufungua tayari kaja na nyundo
uliharibu nini mkuu.🤣🤣🤣🤣Kazi ya gereji niliacha baada ya kuharibu gari ya Muheshimiwa flan nikaona ntalipishwa nikatoka nduki
Hii naona inahusiana na locomotives. Sina chochote ninachojua kuhusu hayo madude.Uko sawa kabisa sijakataa kuna mifumo mingi tu bado haihitaji hiyo ila kwa mashine nyingi za sasa malfunction katika mifumo ya umeme inategemea sana kujua kupitia Diagnostic computer.
Mfano chuma hiko View attachment 2452405
Toyota Celica ilikua inatakiwa irudiwe rangi mi nilikua nyokaa kwa fundi hata kazi siijui vizuri akaniuliza naweza kuivua kioo Cha nyuma nikamwambia ndiyo nikafikiri ni vioo kama vya hiace, wakat natoa kioo nigangonga sehem flan ndogo tu aise kioo kikachanikachanika choteuliharibu nini mkuu.🤣🤣🤣🤣
Hayo ni ya kizamani, ya kisasa Hana mifumo mingi sana ya umemeNunueni magari ya manual, ya diesel yasiyotumia umeme mwingi
🤣🤣🤣🤣pole mkuu. ubaya wakuio kikiwa nje ukigonga kidogotu kinamwagika Kama maji 😂kamabos mtata lazima ukimbieToyota Celica ilikua inatakiwa irudiwe rangi mi nilikua nyokaa kwa fundi hata kazi siijui vizuri akaniuliza naweza kuivua kioo Cha nyuma nikamwambia ndiyo nikafikiri ni vioo kama vya hiace, wakat natoa kioo nigangonga sehem flan ndogo tu aise kioo kikachanikachanika chote
tukatafuta kioo cha nyuma Cha Celica town hamna kila sehem alaf bei yake tukaambiwa ni ghali sana inazidi hata ghrama ya kurudia rangi, nikaona fundi wangu machozi yanamlenga huku ananiambia kmmae mtalipa na familia yako, tulivyorud gerej nikaona hii ni jela nikamvizia fundi kazubaa nikajidai naenda chooni nikaruka ukuta wa nyuma nikatoka nduki na mkoa nikahama kwa muda sijui kilitokea nini kwa fundi ila kazi ya gereji nikaacha
Stress zitakuua!! Umesoma comment huku unateseka mwisho umeona utapike nyongo [emoji1787][emoji1787]Mnajitangaza km mna magari? Hiyo mikweche yenu hiyo ndiyo mtupotezee muda na kujaa server za JF?
hahahah we jamaa umenifanya nicheke sanaFundi akishabeba nyundo napoteza imani nae namfwatilia kwa ukaribu!!
Gari laini fundi anabeba nyundo kilo za kupasulia mawe