Narudia tena, Usafiri wa daladala hapa Dar es Salaam ni kwa ajili ya watu masikini

Dah we jamaa umeniua sana, so mkuu yaan Infinix na techno ni sawa??
 
Baadh ya watu licha ya kumilik magar mazur tu ya kutembelea wanaamua kupanda daladala walau kupata fikra tofaut,baadh ya watu wanafany kazi za aina moja kila siku watu anaokutana nao ni walewale nyaraka zilezile na akitoka kazin anapanda gar la peke yake mpaka nyumban inamaana ili apate fikra mpya analazimika kujichanganya maeneo km hayo walau achangie mijadala ambayo itamfanya apate fikra mpya
 


Hakuna jipya zaidi ya kutofautiana masaa ya ya kufika nyumbani.
 

Mimi nina gari na sikuelewi unaongea nini ndugu,I can’t relate mbona unatusemea wenye magari na sio kweli,ebu tulio na magari mniunge mkono
 
Mimi nina gari na sikuelewi unaongea nini ndugu,I can’t relate mbona unatusemea wenye magari na sio kweli,ebu tulio na magari mniunge mkono
Kwani namna ya matumizi ya gari ipo sawa kwa kila mtu, au unafikiri nilivyoandika hapa sina gari......mimi gari langu kama halina mafuta nitapanda daladala, hilo nalo ni la kuficha? na naweza kuamua tu kwenda kupanda daladala hata kama gari lipo full tank......tatizo mkiwa na vipasso mnafikiri maisha mmeyapatia sana mnaanza kudharau watu kisa wanapanda daladala..
 
Ungetafsiri maana ya umasikini ili niweze kuchangia mada kwa umakini.
 
Mimi SAnNLG yangu naiwekeaga mafuta ya 20,000 natumia mwezi mzima na nikiweka miezi minne mfululizo huwa tanki linajaa.

naishi mji mdogo ambao kutumia Pkpk ni salama na umbali toka home to job ni km2 tu.

sijawahi kujuta kumiliki chopa kama ninavyoiita Mimi.
 
Ili mradi uwe usafiri, unamtoa point A hadi B. Ukiwa na dharau kwa vitu vidogo, hata vikubwa unapata shida sana kuvipata. Jifunze!!
Mkuu una passo nini? ukikutana na tambo za kidukulilo mbona utazima, anakwambia Toyota na Nissan kwake siyo gari......ni vitu vinavyosogea kwenda mbele...
 
Hapo si ajabu mtoa mada katoka kula ugali wa kulumangia na dagaa mchele, sasa hivi yuko zake kitandani mkonononi na smatfon yake iliyopasuka kioo huku mkono mwingine ukifanya kazi ya kufukuza mbu
Daaah! 🤣🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo Bado hujakutana na madunga dunga wazee wa chaji
 
Kuna mtu anamiliki nyumba nne mjini lakini anatumia usafiri wa daladala, huyo tumweke kundi gani?

Kwa sasa hapa dar gari sio luxury need ni basic need,inategemea na aina ya mizunguko mtu ulio nayo pia
Huyu mwenye nyumba nne amefanya jambo zuri
Ajichange sasa achukue passo yake kwa ajili ya kumrahisishia mambo[emoji1376]
 

Kuishi maisha yako ni raha sana
Hukimbizani na mtu
Sitaki kusema kutumia public transport ni umaskini ila usafiri ni muhimu sana hapa jijini
Binafsi siwezi kupanda mwendo kasi ile kero ya kupambania ndio kitu kinanishinda
Daladala napanda vizuri route ambazo hazina vurugu
Mfano route ya ninapokaa mpaka ofisini ni route isiyo na karaha kabisa na ni dakika 10 tu
Hivyo huwa napanda sana dalala
Lakini usafiri binafsi ni kitu muhimu dar Kuna sehemu ni kero kupanda daladala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…