nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Kwa hiyo..eehh tuache zitoke zenyewe usiku au tutafute tundu..kupata mtoto,?Dhambi kubwa acha matumizi mabaya ya manii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo..eehh tuache zitoke zenyewe usiku au tutafute tundu..kupata mtoto,?Dhambi kubwa acha matumizi mabaya ya manii
Nitakuja kulitolea mapendekezoVp kuhusu nyetoh
AminaNitakuja kulitolea mapendekezo
Kabisa matundu mbona yapo jaman, usiache ziwe zinamwagika zenyewe sio vzr, sikijaa sanaa zitakuwa zinakusumbua kufua boxer kila siku maana wanaume wanafuaga boxer kila baada ya wiki kadhaaKwa hiyo..eehh tuache zitoke zenyewe usiku au tutafute tundu..kupata mtoto,?
Sio lazima kila mtu afanye matusi jamani, wengine tunasindikiza wengineKama huna hisia za ngono jua we ni muathirika.KAPATE MATIBABU.
Mama yaaaaangu...wiki kadhaa....unanipa wasiwasi...akili ya afyanskyKabisa matundu mbona yapo jaman, usiache ziwe zinamwagika zenyewe sio vzr, sikijaa sanaa zitakuwa zinakusumbua kufua boxer kila siku maana wanaume wanafuaga boxer kila baada ya wiki kadhaa
Kuwaza je?[emoji23][emoji23]Fisi unatafuta plan B, hiyo ni zinaa hata umwage nje hiyo ni zinaa, hata umnyonye mate hiyo ni zinaa[emoji28]
Au ni wale wanyantunzu wa kunfukuza ukimshika wako?Zina za ovyo mbaya sana, kuna binti kaletwa hospital ni mwanafunzi wa msingi kutoka jamii ya wafugaji.
Anagonjwa la zinaa anatokwa USAHA kachoka hata kusimama/kutembea hawezi
Najiuliza atakuwa kaambukiza wangapi coz huko ktk maboma yao usiku nikupeana ngono tu hakuna kukataa na matumizi ya Kinga hakuna
Kukataza hilo jambo bila kufanya utafiti wa chanzo chake ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu, ungeanza kufanya utafiti ni nani anasababisha watu wafanye hayo na kwanini ndipo udeal naye asisababishe hilo hitajiZINAA ni nini?
Zinaa ni ngono au kujamiiana kinyume na mpango wa Mungu. Ukijamiiana na mtu ambaye si mume au mke wako hiyo ni zinaa. Ukifanya kinyume na maumbile hiyo ni zinaa bila kujali unafanya na mke/mume wako.