Sawa tutapiga nyeto tuuWakatae ndoa lakini wasihangahike kutafuta wanawake wa kuzini nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa tutapiga nyeto tuuWakatae ndoa lakini wasihangahike kutafuta wanawake wa kuzini nao
Fafanua kidgo mkuu. does it means ubinafsi unaua connections hivyo ndoto inashindwa kutimia? au Baraka unakosa kwa sababu ni mbinafsi or what? eleza kidogo mkuuVinavyokwamisha ndoto sio zinaa sema tu hujaweka mambo yote sawa.Kuna hiki kitu kinaitwa UBINAFSI ni zaidi ya zinaa katika kukwamisha ndoto za kila mtu
Ukiachana na maradhi zinaa imewaacha vijana wakilalamika maisha magumuHello!
Hili ni onyo kwa vijana wenzangu hasa vijana wadogo. Kwa umri wangu huu wa miaka 30 nimeona mambo mengi kidogo. Ndoto za vijana wengi wakike na wakiume zimeyeyuka kwasababu ya zinaa.
Zinaa imeharibu na kunajisi maisha ya vijana wengi. Biashara nyingi za vijana zimevurugika na zingine kufa kabisa kwasababu ya zinaa.
ZINAA ni nini?
Zinaa ni ngono au kujamiiana kinyume na mpango wa Mungu. Ukijamiiana na mtu ambaye si mume au mke wako hiyo ni zinaa. Ukifanya kinyume na maumbile hiyo ni zinaa bila kujali unafanya na mke/mume wako.
Ikimbieni zinaa mpate kuishi maisha yenye amani na marefu.
Tofauti ya kujamiiana na mke wako na asiye mke wako tofauti yake ni ipi? Kwamba huku pakubaliwe na huku pakataliwe?Hello!
Hili ni onyo kwa vijana wenzangu hasa vijana wadogo. Kwa umri wangu huu wa miaka 30 nimeona mambo mengi kidogo. Ndoto za vijana wengi wakike na wakiume zimeyeyuka kwasababu ya zinaa.
Zinaa imeharibu na kunajisi maisha ya vijana wengi. Biashara nyingi za vijana zimevurugika na zingine kufa kabisa kwasababu ya zinaa.
ZINAA ni nini?
Zinaa ni ngono au kujamiiana kinyume na mpango wa Mungu. Ukijamiiana na mtu ambaye si mume au mke wako hiyo ni zinaa. Ukifanya kinyume na maumbile hiyo ni zinaa bila kujali unafanya na mke/mume wako.
Ikimbieni zinaa mpate kuishi maisha yenye amani na marefu.
UBINAFSI unaanzia kwa mtu,familia,mtaa mpaka taifa yani watu hawana habari na wenzao mtu ana-behave kama duniani yupo mwenyewe.Fafanua kidgo mkuu. does it means ubinafsi unaua connections hivyo ndoto inashindwa kutimia? au Baraka unakosa kwa sababu ni mbinafsi or what? eleza kidogo mkuu
AminaHello!
Hili ni onyo kwa vijana wenzangu hasa vijana wadogo. Kwa umri wangu huu wa miaka 30 nimeona mambo mengi kidogo. Ndoto za vijana wengi wakike na wakiume zimeyeyuka kwasababu ya zinaa.
Zinaa imeharibu na kunajisi maisha ya vijana wengi. Biashara nyingi za vijana zimevurugika na zingine kufa kabisa kwasababu ya zinaa.
ZINAA ni nini?
Zinaa ni ngono au kujamiiana kinyume na mpango wa Mungu. Ukijamiiana na mtu ambaye si mume au mke wako hiyo ni zinaa. Ukifanya kinyume na maumbile hiyo ni zinaa bila kujali unafanya na mke/mume wako.
Ikimbieni zinaa mpate kuishi maisha yenye amani na marefu.
Uti mbona inawapata na watoto wadogo umekaaje hii?Sure mkuu,
Kuna utafiti utatoka hivi karibuni unaonyesha hivi sasa kila vijana 10 wa kiume, wakipimwa afya, vijana 9.5 wanabainika wana maambukizi ya U.T.I.
Kwa vijana wa kike, ukiwapima vijana 10 wote wanagundulika wanamaambukizi ya UTI sugu.
Hii, ni kumaanisha vijana wengi zaidi ni wagonjwa na wako hatarini zaidi kunasa gono, kaswende na UKIMWI.
Hakuna kitu kama hicho ndugu.hizo ni mawazo ya binadamu katika kutapatapa kufikiri ili na lile kutaka kujifariji.Vinginevyo njoo na uthibitisho unaothibitika badala ya porojo za watu.Alafu kwanini mnawazaga ni wanawake tu ndo wenye kuwapatia wanaume mikosi?.Kwa mujibu wa tafiti tulizozifanya na masela apa mtaani tulifikia tamati ya awali kwa majibu saba kuhusu kiumbe kinaitwa mwanamke
. Mwanamke anauwezo wa wakunyonya nguvu ya asili aliyowekewa mwanaume (kuna maelezo apo yakiimani na kisayansi)
. Mwanamke anauwezo wakutawanya nguvu au kugawa nguvu ya asili aliyonyonya kwa mwanaume A" kwenda kwa mwanaume B ( hapa kuna ufafanuzi tena )
Kama ulishawahi sikia mambo ya mikosi mtu kamtomber dem flani amejikuta mambo yake hayaeleweki au ukisikia mtu anasema nikiwa na mwanamke flani mambo yake yanaenda sio mambo ya ushirikina ni mambo ya asili na kuna mambo yakufanya kisaikolojia ili mke wako asiwe exploiter
Kwaiyo basi zinaa inakufanya uchezee nguvu zako kwa hao viumbe kila mtu anapenda kwenda deephole ila kwasisi masikini inatakiwa tuwe makini sana
Wasiwasi wa nn tena??Mama yaaaaangu...wiki kadhaa....unanipa wasiwasi...akili ya afyansky