Narudia tena, zinaa zitawamaliza vijana

Narudia tena, zinaa zitawamaliza vijana

Watu mna matatizo ya nguvu za kiume mnaunda vichaka vya kujificha .

Piga mashine mdogo wangu nina miaka 30 napiga mashine sijawahi kuona hicho unachokisema
Waambie wenzako wanakosa utamuu hivihivi, ndio maana wana stress
 
Hello!
Hili ni onyo kwa vijana wenzangu hasa vijana wadogo. Kwa umri wangu huu wa miaka 36 nimeona mambo mengi kidogo. Ndoto za vijana wengi wakike na wakiume zimeyeyuka kwasababu ya zinaa.

Zinaa imeharibu na kunajisi maisha ya vijana wengi. Biashara nyingi za vijana zimevurugika na zingine kufa kabisa kwasababu ya zinaa.

ZINAA ni nini?
Zinaa ni ngono au kujamiiana kinyume na mpango wa Mungu. Ukijamiiana na mtu ambaye si mume au mke wako hiyo ni zinaa. Ukifanya kinyume na maumbile hiyo ni zinaa bila kujali unafanya na mke/mume wako.

Ikimbieni zinaa mpate kuishi maisha yenye amani na marefu.
Vipi baba wa Imani NYETO?
 
Well said,
Zinaa na unywaji pombe kupita kiasi(ulevi) tatizo kubwa. Tuandae kongamano na washa mbalimbali ili kuelimishana na kukumbushana kuhusu athari za ulevi na uzinifu.
Wakati tunapiga kelele katiba, na mambo haya yapigiwe kelele.
Katiba mpya na nzuri Kwa Taifa la watu walioathiriwa na zinaa, ulevi, kutokujithamini na kujitambua, wasio na staha Wala utu ni Bure.
Mapambano yoyote yanayogusa mustakabali wa Taifa letu, lazima yaambane na mikakati ya kuikomboa jamii hususani vijana kifikra na kimtazamo juu ya kujielewa, kujithamini, kujali utu.

Acha ulevi, acha zinaa, jenga Taifa lako Kwa nafac uliyonayo
 
Back
Top Bottom