NASA mbona haieleweki kuhusu kupeleka watu mwezini?

NASA mbona haieleweki kuhusu kupeleka watu mwezini?

Hakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.
Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani. So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.
Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
Africa itakuwa ngumu kuendelea kwa sababu ya mambo kama haya, hili ni jukwaa la International Forum cha ajabu wewe unaleta udini na mambo ya dini kwenye mada inayohusu science badala ya kujadili kilicho mezani.
 
Hakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.
Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani. So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.
Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
Nikisemaga wavaa kubadhi mna shida kichwani naonekana mi mbaya.
 
Kitendo cha wao kusema wanaenda kuangalia kama kuna usalama wa kupeleka tena binadamu siku zijazo ni kauli tosha kusema hawajawahi kupeleka binadamu mwezini.
Yaani walikuwa na uthubutu wa kutake immeasurable amount of risk mwaka 1969 lakini wanaogopa kufanya walichofanya enzi hizo mwaka 2022 tena kwenye gap la miaka 53?

Bila shaka 1969 lunar landing ilikuwa geresha ya cold war, I stand to be corrected.
Yote kwa yote I respect their tremendous efforts juu ya science developments na space exploration.
 
Dah kwamba uzio!!!!....This is Africa baby
 
Kitendo cha wao kusema wanaenda kuangalia kama kuna usalama wa kupeleka tena binadamu siku zijazo ni kauli tosha kusema hawajawahi kupeleka binadamu mwezini.
Yaani walikuwa na uthubutu wa kutake immeasurable amount of risk mwaka 1969 lakini wanaogopa kufanya walichofanya enzi hizo mwaka 2022 tena kwenye gap la miaka 53?

Bila shaka 1969 lunar landing ilikuwa geresha ya cold war, I stand to be corrected.
Kwa namna Fulani kuna logic kwenye uliyoyasema mkuu
 
Naweza kukubaliana kutokana baada marekani kutangaza kuwa kafika mwezini USSR alijaribu nae lakini wapi? Hivyo siamini Kama jamaa walifika kweli kwa kua tungeona Hadi China na kaenda
 
Kitendo cha wao kusema wanaenda kuangalia kama kuna usalama wa kupeleka tena binadamu siku zijazo ni kauli tosha kusema hawajawahi kupeleka binadamu mwezini.
Yaani walikuwa na uthubutu wa kutake immeasurable amount of risk mwaka 1969 lakini wanaogopa kufanya walichofanya enzi hizo mwaka 2022 tena kwenye gap la miaka 53?

Bila shaka 1969 lunar landing ilikuwa geresha ya cold war, I stand to be corrected.
Yote kwa yote I respect their tremendous efforts juu ya science developments na space exploration.
fanya kujiuliza pia
kama ile safari ya miaka 50 iliyopita
yalikuwa maigzo je! Hapa miaka yote hii iliyopita wameshindwa kufanya uigizaji mwingine ulio bora zaid ya ule wa mwanzo?
kwani wakiamua kuigiza huo uwezo wanao bila shaka yoyote,
kama waliweza enzi hizo vp leo wasituigizie ili kupunguza maswali
kwa wadau wanaokuwa na shaka juu ya hii safar,
 
Hivi unavyolikaribia jua joto linazidi au linapungua? Huko mwezini si ndio uko karibu na jua? Hizi safari sio fix kweli? Inabidi nihoji kwani siamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Joto la dunia linasababishwa na greenhouse effect maana yake unavyodizi kwenda nje ya astmosphere ya dunia ndivyo joto linavyozidi kupungua na baridi kuongezeka.
Outer space temperature ni 2.7 kelvin au -455 degree Fahrenheit yaani ni baridi isiyoelezeka.

Hata hivyo vile vyombo vyao na suit wanazovaa zimekuwa designed na cooling system.
 
Elewa hivi mara hii wanafanya tafiti za binadamu kwenda kuishi huko sio tena kwenda na kurudi Kama ilivyokuwa awali.
Kitendo cha NASA kuanzisha colony kwenye mwezi ndio mwanzo wa kuanza kwa safari ya kwenda Mars.. hivyo by 2024 wanataka waende mwezini kuishi na sio kwenda na kurudi..

Kwa upande wa space x by Elon musk yeye anataka 2024 akatulishe mtu sayari ya Mars hivyo huyu jamaa anaweza kuwashinda nasa kufika sayari ya mars.. kumbukeni NASA ipo chini ya serikali ya marekani lakini space x ya mtu binafsi.
 
Hakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.
Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani. So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.
Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
Kabla ya atmosphere ndo wapi?
 
Ngoja nikupe kwanza hii then nikipaki Guta langu nikuletee nyingine.
Ar-Rahman 55:33

O company of jinn and mankind, if you are able to pass beyond the regions of the heavens and the earth, then pass. You will not pass except by authority [from Allah ].
Space X na NASA wamemzidi ujanja Allah maana wanakatiza mbuga za Mars huko.
 
Joto la dunia linasababishwa na greenhouse effect maana yake unavyodizi kwenda nje ya astmosphere ya dunia ndivyo joto linavyozidi kupungua na baridi kuongezeka.
Outer space temperature ni 2.7 kelvin au -455 degree Fahrenheit yaani ni baridi isiyoelezeka.

Hata hivyo vile vyombo vyao na suit wanazovaa zimekuwa designed na cooling system.
Inategemea ukifika thermosphere joto linazd kuongezeka kadri unavyozid kuascend..
 
Ngoja nikupe kwanza hii then nikipaki Guta langu nikuletee nyingine.
Ar-Rahman 55:33

O company of jinn and mankind, if you are able to pass beyond the regions of the heavens and the earth, then pass. You will not pass except by authority [from Allah ].
Zurri nimekuwa Kisai siku hizi. Watu wanapenda sinema za Wanasayansi na visasili vyao, hawafikirii kiundani mambo haya.
 
Africa itakuwa ngumu kuendelea kwa sababu ya mambo kama haya, hili ni jukwaa la International Forum cha ajabu wewe unaleta udini na mambo ya dini kwenye mada inayohusu science badala ya kujadili kilicho mezani.
Sasa hapo kosa langu ni lipi?.
Kusema imani yangu ama ile inasema hivi kuhusu jambo fulani inakuwa ni udini?. Sawa.
 
Zurri nimekuwa Kisai siku hizi. Watu wanapenda sinema za Wanasayansi na visasili vyao, hawafikirii kiundani mambo haya.
Ooh, Ndiyo maana tag yangu imekataaa sikujua kuwa umebadili jina.
Sheikh, kuna members wanahisi nimepotosha nilichokieleza hapo juu... Ningelipenda wajue kuwa huu ujuzi wa nilichokiandika, mwanzo nilikijua kupitia wewe kabla ya kusoma AYA yenyewe..
Kuna Uzi fulan ulielezea jambo ili ila si mbaya ukitia neno pia kwenye Huu uzi Filaria asome
 
Back
Top Bottom