NASA mbona haieleweki kuhusu kupeleka watu mwezini?

NASA mbona haieleweki kuhusu kupeleka watu mwezini?

Allah kasema hapo juu kuna fansi uwezi kwenda nje ya hii dunia. Hao akina China, Urusi na NASA ni waongo wakubwal.
Shauri yenu mnao muamini Allah badala yake mnaamini binadamu waongo waongo especially wanasayansi.
Kwanini mnahusisha vitabu vya dini na sayansi. Mbona hilo ni jambo dogo sana. Sayansi ya anga ni nyepesi sana. Mbona wanadamu waneweka international space center
 
Hakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.
Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani. So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.
Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
Sasa Qur'an ilishukaje kutoka kwa Mungu?
 
Inategemea ukifika thermosphere joto linazd kuongezeka kadri unavyozid kuascend..
Correct, lakini nilikuwa naongelea atmosphere as a whole mass of air that surrounds the earth.
Joto au baridi la outer space itategemea kama kutakuwa na chanzo otherwise permanent temperature ni 2.7 kelvin as a result of background radiation from the big bang.
 
Hakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.

Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani.

So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.

Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
Allah ni nani mbele ya sayansi???
 
Hakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.

Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani.

So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.

Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
Ndio inadanganya, tupatie ufafanuzi
 
Nan kakuambia hatuamin Mungu. Na sayansi unayoiponda hapa ndo unaitumia kuchat huku jamii forum. Unafikiri bila sayansi ungekuja kutoa mawazo yako mfu humu
Yani kuna hoja mtu anatoa hadi inakatisha tamaa kama ndo taifa limefika hapo. Anadai kuna fence daah😳🙏
 
Sio wote waliofanikiwa kufika hata form two
Kuna jirani yangu ni mrangi walikuja watoto wake aged 20 - 25 sas kuna uyo mmoja kwanza nilikuwa najua ni anaumri wa miaka 30 mpk 35 kumbe mdogo mana ameanza kuzeeka na ukimuangalia kw wasiwasi unaweza dhania mgonjwa wa akili, walipokuja akanambia kwa tambo vijana wake wapo chuo ila nilishtuka kidogo walikaa wiki 2 hakuna hata halotoka kwenda chuo hata siku moja mda wote ndani wao mda wote wanatembea wanasoma kuruani tu halafu hakikuwa kipindi cha likizo na semester ndiyo imenoga, ajab zaid uyo ambae nilikuwa najua anacheza umri wa 30 mpk 35 nilikuja gundua hajui kusoma wala kuandika kuja kufatilia chuo wanachosoma ni madrasa nilichoka ni watu fulani wabishi kukubaliana na sayansi though wakiumwa anakimbilia panadol which ts impact of science.
 
Hakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.

Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani.

So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.

Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
Kwan Quran ni kweli mkuu
 
Dini ni imani na science ni facts.
Sasa hiki unachokiandika au kukitetea ni facts ? Unaweza kutuonyesha hiyo facts au unajiaminisha ya kuwa nadharia za kisayansi ndiyo facts ?

Kuna uongo mwingine kuujua uhitaji akili kubwa au kufikiria kiundani ? Mfano mdogo tu leo hii wewe unaamini ya kabisa ya kuwa mtu alikwenda mwezini tukikwambia uthibitishe nina uhakika hutaweza iwe kwa Sayansi au kwa hoja za kiakili. Ifikie hatua hizi akili mlizo pewa mzitumie vizuri.
 
Huo ni uongo kitabu kime kuposha ndege zisingekuwa Zina Rushwa huko Wala satellite
Ishu ya ndege ni tofauti sana na ishu ya safari ya kwenda mwezini, sababu ukiangalia mchakato wake una makorokoro mengi sana.

Ishu ya Satellite inatakiwa itazamwe upya kuhusu ukweli wake kama ilivyo ishu ya Big Bang theory, humu wengi ni mashabiki wa Sayansi na huenda hamna misingi mizuri juu ya elimu hii au hamfatilii.

Kitabu hakiongopi ndiyo maana ishu ya kwenda mwezini imekuja na mgongano mwingi kuanzia kwa wenyewe sababu wanajua ya kuwa hiyo ni sanaa, mfano alichokieleza leo hii mtoa mada na huyo kiongozi kinathibitisha ya kuwa hakuna mtu aliye kwenda mwezini, sasa vipi udai Qur'aan imesema uongo ?
 
Sasa hiki unachokiandika au kukitetea ni facts ? Unaweza kutuonyesha hiyo facts au unajiaminisha ya kuwa nadharia za kisayansi ndiyo facts ?

Kuna uongo mwingine kuujua uhitaji akili kubwa au kufikiria kiundani ? Mfano mdogo tu leo hii wewe unaamini ya kabisa ya kuwa mtu alikwenda mwezini tukikwambia uthibitishe nina uhakika hutaweza iwe kwa Sayansi au kwa hoja za kiakili. Ifikie hatua hizi akili mlizo pewa mzitumie vizuri.
Thibitisha uwepo wa uzio angani ndugu
 
Ishu ya ndege ni tofauti sana na ishu ya safari ya kwenda mwezini, sababu ukiangalia mchakato wake una makorokoro mengi sana.

Ishu ya Satellite inatakiwa itazamwe upya kuhusu ukweli wake kama ilivyo ishu ya Big Bang theory, humu wengi ni mashabiki wa Sayansi na huenda hamna misingi mizuri juu ya elimu hii au hamfatilii.

Kitabu hakiongopi ndiyo maana ishu ya kwenda mwezini imekuja na mgongano mwingi kuanzia kwa wenyewe sababu wanajua ya kuwa hiyo ni sanaa, mfano alichokieleza leo hii mtoa mada na huyo kiongozi kinathibitisha ya kuwa hakuna mtu aliye kwenda mwezini, sasa vipi udai Qur'aan imesema uongo ?
Unaweza kututhibitishia uwepo wa iyo fence ndugu?
 
Ndugu yangu Baki tu na Iman yako kwenye hili. Make Dunia ilipo katika swala la technology ni mbali sana. Bora unyamaze tu.. yaan kama wewe umelala Kuna watu hawalali wanaangaisha vichwa sana katika tafiti mbalimbali. Yaan kama wewe unakesha kusoma corohani na unashinda madrasa. Kuna watu wako nje kuumiza kichwa sana
Shida siyo kutokulala cha msingi je haya wanayo yaandika ni ya kweli na yanafata kanuni za Kisayansi ? Jibu ni nadharia tu za kufikirika na kuwadanganya watu, mfano wewe leo hii ukidanganywa utawafanya nini na umeshashughulishwa na muda huna.

Sasa hao wenzenu kadhalika hawalali kwa ajili ya kutunga uongo na huna cha kuwafanya.
 
Back
Top Bottom