We naye pumbav Tu , hizi dini mlizoletewa na wageni zimewatoa akili kabisa mmekuwa mataahira kweli kweli ,huyo Mungu we ushamuona ?Hakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.
Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani.
So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.
Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
Ami unajua ile ilikuwa project iliyohusisha mamia ya watu? Wangeweza kweli kuua watu wote hao bila USSR kujua?Ndio kilichotokea.Wahusika wote wa mchezo ule baadae wote walipotea na waliobaki hai walikuwa kama wafungwa,hawakuruhusiwa kuonana na watu wala kuhojiwa na vyombo vya habari.
Kuna vitu vingi vya kisanii Marekani wanafanya mpaka leo na hawaoni haya kuvirudia rudia hata mashahidi wakikanusha.Hii inatokana na kumiliki teknolojia ya habari kwa muda mrefu.Mfano ni silaha za maangamizi za Saddam Hussein.Tulidanganywa sote mpaka balozi wetu wa UN.Mbona Iraq hakujaonekana kitu na imekuwa kimya.Hivyo hayo mawe kama yapo makumbusho yetu yachunguzwe upya.Ami unajua ile ilikuwa project iliyohusisha mamia ya watu? Wangeweza kweli kuua watu wote hao bila USSR kujua?
Kumbuka USSR walikuwa tayari wana very advance technology kwenye mambo ya anga na waliweza ku intercept radio transmission toka mwezini wakati kina Armstrong wanawasiliana na wenzao duniani. Pia kumbuka USSR hata picha za re-entry ya capsule ya kina Neil kuja duniani walirecord na picha wanazo au nao walikuwa collaborator wa uongo?
Kama ingekuwa fake unadhani kweli USSR wasingesema? Maana walijua kilichotokea. Au walihongwa wafunge mdomo?
USA walirudi na rocky samples ambazo maabara sehemu mbalimbali duniani walipewa hata pale Makumbusho Dar walipewa sample. Unataka kusema dunia nzima wameshindwa kuprove kuwa yale mawe ni fake?
Mwisho unajua kwa nn USSR waliachana na mpango wa kwenda mwezini? Ni kwa sababu waliona wamepoteza kwa kushindwa kwenda wa kwanza kabla ya USA. Waliona haina maana japo wao walikuwa wa kwanza kupeleka chombo mwezini kwao waliona inatosha. Haikuwa na maana tena wao kupeleka mwanadamu
Ni kweli shida yangu ilikua kweny hlo neno atmosphere tu nilitaka uweke sawa.. kuhus mada yenu mi sijui kituUnataka kusema nini chief?. Neno atmosphere umelifanya Kua hoja kuu.. Shida yako mi ni kuweka neno atmosphere katika koment yangu?.
Unaangaika sana kama bata anaetaka kutaga ila usemi shida ni nini hasa katika komenti yangu hata uweweseke kiasi hiki. [emoji1787]
Ndio ile jua likizama linadidimia kwenye dimbwi la tope?!Hakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.
Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani.
So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.
Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
🤣🤣Ndio ile jua likizama linadidimia kwenye dimbwi la tope?!
Wao NASA kama NASA specifically wanapata faida gani kukuongopea wewe?
Unaelewa nini wewe uko zako mbande na infinix(calculator) yako hata dunia huelewi inaendaje unamlalamikia USAMiaka karibu 50 tangu kile kilichoelezwa kusitishwa kwa safari za kwenda mwezini mwaka 1972,sasa kituo cha anga cha NASA kimesema kinataraji kurejea safari hizo hivi punde.
Hapo Jumatatu chombo kinachotajwa kuwa na nguvu kubwa kiitwacho Artemis kitafanya safari za majaribio kwenda karibu na mwezi kuangalia usalama wa kupeleka tena watu siku zijazo. Mamilioni ya watu duniani akikwemo makamu wa raisi wa Marekani Kamala Harris watashuhudia tukio hilo kutokea kituo cha utafiti wa anga cha Kennedy jiijini Florida.
View attachment 2338145
Enzi hizo sijui apolo aliendaje!, Kama kipindi hiki cha technology zaidi inashindikanaKwa mara ya pili wiki hii NASA wameshindwa kuwaha injini kupleka chombo kukagua mwezi kwa ajili ya safari inayotarajiwa mwaka 2024..Tukio la mwanzo ilikuwa ni kuvuja kwa Hydogen.Hapo jana ni kuvuja kwa Oxygen.
Kutokana na kasoro hiyo haitowezekana kufanya jaribio jengine mpaka hapo oktoba 16 litakapopatikana dirisha jengine kutokana na njia ya mwezi. Hivyo kwa sasa chombo hicho kitarudishwa bandani mpaka muda huo.
View attachment 2345091
Njia ya muongo fupi. Tena wanajidai walikuwa wanakwenda na kurudi kama shambani kwao. Yapo majina ya watu kadhaa walioorodheshwa kwenda na hatimae wakapotea.Na kama si kupotea walikuwa wakichungwa nyenendo zao mpaka walipokufa.Sijui kama yupo aliyebaki .Enzi hizo sijui apolo aliendaje!, Kama kipindi hiki cha technology zaidi inashindikana
Weka hapa hayo maelezo ya USA kwamba hakuna aliyewah kupenya kufika mwezini sabab ya van Allen belt.Huo ukanda unaosema nadhani ni Allen belt. Wanasayansi wa kimarekani kwenyewe wametoa maelezo ya kisayansi kwa urefu kuonesha hakuna yeyote aliyepenya mwaka huo kufika mwezini na wakasema ni kitu haikiwezekani. Kwa uwezo wa Allah hapo baadae inaweza kuwa kwa kupata teknolojia mpya.Lakini kwa mwaka ule wanasema hakukuwa na utaalamu wowote wa kutua na kurudi na haiwezekani kuchukua picha kwa kamera za kodak ukarudi na picha duniani bila kuunguzwa na mionzi ya jua.
Ila unaamini kwamba mtume Muhammad alienda hadi mbingu ya saba kwa farasi anayepaa anayeitwa Buraq?Ni uwongo mtupu.Watakaokwenda baadae huenda wakasikia lakini ile ni uwongo.
Huyu hapa Buzz Aldrin, yeye na Armstrong ndo walikuwa wakwanza kutua mwezini. Yupo mpaka sasa aged 92, unaongea vitu kwa kubahatisha huna taarifa zozoteNjia ya muongo fupi. Tena wanajidai walikuwa wanakwenda na kurudi kama shambani kwao. Yapo majina ya watu kadhaa walioorodheshwa kwenda na hatimae wakapotea.Na kama si kupotea walikuwa wakichungwa nyenendo zao mpaka walipokufa.Sijui kama yupo aliyebaki .
Pata mda fatilia hii documentary utaongeza kitu kwenye ufahamu wako, humo wapo watu kama wewe wenye "dhana hoji" kama wewe, yupo pia jamaa wa NASA wakitafuta na kuchunguza ukweli wa moonlanding kisayansi nk. Nasisitiza iangalie kuna maswali kama yako na yamejibiwa kisayansi kabisa ikiwemo ukanda wa Van Allen ambao wewe unadai haupitiki, ila sayansi inasema unapitika.Kuna vitu vingi vya kisanii Marekani wanafanya mpaka leo na hawaoni haya kuvirudia rudia hata mashahidi wakikanusha.Hii inatokana na kumiliki teknolojia ya habari kwa muda mrefu.Mfano ni silaha za maangamizi za Saddam Hussein.Tulidanganywa sote mpaka balozi wetu wa UN.Mbona Iraq hakujaonekana kitu na imekuwa kimya.Hivyo hayo mawe kama yapo makumbusho yetu yachunguzwe upya.
Nikionacho sasa ni juhudi mpya za kutaka kwenda mwezini na kila mmoja kati ya miamba ya dunia ya sasa anataka awe wa mwanzo.Najua vyombo vya kichina na Marekani tayari vimeshatua na wanaweza wakafanikiwa kufika.Kwa miaka ile hakuna aliyeweza.Vifaa walivyotaja kuvitumia mfano camera ya aina ile ilikuwa hata haijavumbuliwa.
Kwa hiyo Kimondo cha Mbozi kilipitia Dirishani?Hakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.
Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani.
So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.
Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
🤣🤣 Chief, nilichokiandika ni according na iman B inavyoeleza kuhusu dunia na ulimwengu. So, Usinione mpuuzi nikishindwa jibu swali lako..Kwa hiyo Kimondo cha Mbozi kilipitia Dirishani?
Na Musa nae alipiga fimbo bahar maji yakatawanyika pande mbili na kuacha eneo kavu kati yake[emoji41][emoji41][emoji41]Ila unaamini kwamba mtume Muhammad alienda hadi mbingu ya saba kwa farasi anayepaa anayeitwa Buraq?