Soma huko nyuma kuna mtu ameiweka.Kwani aya inayosema huwezi kuvuka atmosphere iko wapi au peponi ndo uko angan?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma huko nyuma kuna mtu ameiweka.Kwani aya inayosema huwezi kuvuka atmosphere iko wapi au peponi ndo uko angan?
Hii nayo ChaiHakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.
Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani.
So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.
Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
Wanapata faida ya kuogopwa na kurejelewa.Bado hujajibu swali.
Mambo ya aina gani?
Na ni kivipi NASA wanapata faida mimi nikielekeza mambo yangu kwao?
Jibu na yale mengine usiishie kwenye "kuogopwa."
Hapa kama umeandika ukweli basi quran ni kitabu cha upotoshaji mkubwa.
Mkuu habari za watu kufika mwezini si swali la kuamini au kutoamini, ni hali halisi. Ndiyo, wamekwenda na kurudi. Watu kwenye Mwezi ni Marekani pekee. Mashine zilifika kutoka Urusi na China na kurudi. Zilileta mawe yaliyochunguliwa duniani na kulinganishwa.Hakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.
Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani.
So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.
Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
Hizi ni sayansi za kwenye mashamba ya tende kama ile sayansi ya jua kuzama kwenye tope. Vitabu vingine ni masimulizi ya tamaduni za watu na vile walivyomfikiria Mungu na hakuna cha zaidi.Hakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.
Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani.
So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.
Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
Hiyo siyo Sayansi, kama unaijua Sayansi huwezi kuandika haya. Huo ni uhalisia na ndiyo ukweli.Hizi ni sayansi za kwenye mashamba ya tende kama ile sayansi ya jua kuzama kwenye tope. Vitabu vingine ni masimulizi ya tamaduni za watu na vile walivyomfikiria Mungu na hakuna cha zaidi.
Kupitika wapi?Sasa mbona unapingana wa neno tena?
Kwani mtu akisema nitakwenda kuangalia Kama kuna usalama wa kupitika tena wewe unaelewaje.
Kwa uelewa wangu ni kwamba alishawahi kwenda kwa kipindi au wakati funani akapita. Sasa je, kutokana na muda wa miaka 53 (sambamba na mabadiliko pengine ya tabianchi tunayokutana nayo, mfano China joto Kali kwa uchache), je bado kuna usalama wa kupitika, kuendeka? Je! kuna mabadiliko au hatari za kiusalama?
Ashakum si matusi, kwani demu uliyekutana naye miaka kumi iliyopita ukimtaka tena huweki tahadhari ya kuvaa sox ya mguu mmoja?
Naona unatafuta njia ya kukimbia.Wanapata faida ya kuogopwa na kurejelewa.
Swali gani sijajibu ?
Naona umegota na umeshindwa kwenda mbele kutokea hapo, unarudia rudia jambo ambalo umeshajibiwa.Naona unatafuta njia ya kukimbia.
Jibu hili swali: point ipo wapi hapo kwenye kusifiwa, kuogopwa na kutukuzwa kama unavyosema na kunawafaidisha vipi NASA developmentally, Physically, Economically na Scientifically?
Na thibitisha kwamba NASA walishindwa kwenda mwezini?
Haya ndiyo madhara ya kupinga mambo ambayo hamna uelewa nayo mwisho wa siku unakimbia sababu huna majibu ya maswali unayoulizwa na vitu unavyopinga.
Hizi "Precise Mathematical Calculations" huko mwanzo hawakuzifanya ? Kama walizifanya walizifanya under "Assumptions" au bila "Assumptions" kama ndani yake kuna "Assumptions" hapo hakuna uhalisia na suala la "Precise Mathematical Calculations" kinabaki katika vitabu tu, mengine yanakuwa maigizo.precise mathematical calculations
Ninachotaka kusema ni kuwa iwapo walishakwenda mwezini mara nyingi mpaka wakachoka mwaka 1972 hizi mbwembwe za sasa za nini kwenda kukagua wanasema juu na karibu ya mwezi halafu safari yenyewe wanayokusudia kuifanya eti ni mwaka 2024.ingekuwa rahisi tu kwa vifaa vya kisasa kuruka na kumtulisha mtu mwaka huu huu. Mbona pale mwaka 1969 wanapojidai Neil Armstrong alikwenda hakukuwa na mbwembwe hizo. Tuliletewa video keshatua zamani.Ami malizia unachotaka kusema
Kwani walivyo enda mwanzo walipitia wapi ? Hawakuweka point au vituo ? Sababu hata mwezi na jua vina vituo vyake katika safari zake.Kupitika wapi?
Mabadiliko ya tabia nchi yanahusika vipi na space travel?
Huo ukanda unaosema nadhani ni Allen belt. Wanasayansi wa kimarekani kwenyewe wametoa maelezo ya kisayansi kwa urefu kuonesha hakuna yeyote aliyepenya mwaka huo kufika mwezini na wakasema ni kitu haikiwezekani. Kwa uwezo wa Allah hapo baadae inaweza kuwa kwa kupata teknolojia mpya.Lakini kwa mwaka ule wanasema hakukuwa na utaalamu wowote wa kutua na kurudi na haiwezekani kuchukua picha kwa kamera za kodak ukarudi na picha duniani bila kuunguzwa na mionzi ya jua.Hakuna aliyewai kwenda mwezini, China na marekani kwenda mwezi ni uwongo wenye dhumni fulani.
Allah katika Qur'an tukufu anasema hapo juu kabla ya Atmosphere Kaweka uzio mkubwa ambao hauruhusu kitu chochote kuingia dunia wala kutoka Duniani.
So ikiwa utaamini NASA na CHINA kwenda mwezini basi utakuwa unamaanisha kuwa Allah na Qur'an ni uwongo.
Hao wanasayansi wanatunga uwongo uwongo ili kuwa poteza waja wa Allah.
Cc:&zurri
Kwa hiyo ile 1969-1972 ilikuwa fake hawakutua mwezini? Au walitua majangwa ya Arizona huko wakapiga picha wakatuletea?Ninachotaka kusema ni kuwa iwapo walishakwenda mwezini mara nyingi mpaka wakachoka mwaka 1972 hizi mbwembwe za sasa za nini kwenda kukagua wanasema juu na karibu ya mwezi halafu safari yenyewe wanayokusudia kuifanya eti ni mwaka 2024.ingekuwa rahisi tu kwa vifaa vya kisasa kuruka na kumtulisha mtu mwaka huu huu. Mbona pale mwaka 1969 wanapojidai Neil Armstrong alikwenda hakukuwa na mbwembwe hizo. Tuliletewa video keshatua zamani.
Mimi nimeshajiuliza kwanini waongope na jibu nililopata ni hakuna faida yoyote watakayopata wakiongopa.
Sasa niambie point ipo wapi hapo kwenye kusifiwa, kuogopwa na kutukuzwa kama unavyosema na kunawafaidisha vipi NASA developmentally, Physically, Economically na Scientifically?
Hiyo siyo Sayansi, kama unaijua Sayansi huwezi kuandika haya. Huo ni uhalisia na ndiyo ukweli.
Ndiyo maana mpaka muda huu wanashindwa kuigiza tena tukio lile la mtu kwenda mwezini. Kingine imeonekana watu hawa kumbukumbu hawana, mzozo ni mkubwa sana juu ya tukio hili, baina wanao sadiki na tunao pinga, lakini sisi tunao pinga tuna hoja za kiakili, kimazingira na ufunuo, bali na hoja za kisayansi zinazo onyesha kutokuwezekekana kwa jambo hilo.
Tukirudi katika aya ya 86 katika sura 18, jambo liko wazi, aya inaelezea alichokiona Dhul-Karnain, na hichi ukienda katika sehemu za pwani karibu na fukwe ya bahari watu huwa wanaona jua linapozama upande wa Magharibi kama linazama baharini na ukweli si hivyo. Kwahiyo aya imeongelea kile alichokiona mja huyu mwema. Kwa maana nyingine upende huo ndiko jua lilikuwa linazama.
Sasa kama jambo hili rahisi linakushina hayo ya Wanasayansi utayaweza vipi wakati wao wenyewe washajua mnapenda maigizo.
Kauli yako ya mwisho huwezi kuithibitisha kama ni kweli mpaka unakufa, hasa kama ukiijumuisha katika kauli yako dini ya Kiislamu.
Vijana kwanini mnakuwa wajinga kiasi hiki ? Amkeni aisee mnaikosea sana akili mliyo pewa bure.
Poa.Wewe, Mathanzua na wenzako wengi walio walevi wa dini ambao ni wanaamini wa kila conspiracies ni watu wa hovyo sana kuwahi kutokea katika jamii ya binadamu.
Ndio kilichotokea.Wahusika wote wa mchezo ule baadae wote walipotea na waliobaki hai walikuwa kama wafungwa,hawakuruhusiwa kuonana na watu wala kuhojiwa na vyombo vya habari.Kwa hiyo ile 1969-1972 ilikuwa fake hawakutua mwezini? Au walitua majangwa ya Arizona huko wakapiga picha wakatuletea?