Nasaka mume

Nasaka mume

Nadhani ndo mda halisi nikuoe,kuna jumba moja matata pale town sitaki ukia nyumba za kupangisha kwa wakati huu wa mahusiano yetu
Njoo na I'd yako ya zamani ndo nitakukubali
 
raha ya kuwa mwanamke kupiga mizinga bwana.saluni ,pamba ,window shoping kawaida mbona acha ubahili wewe . Wewe si nitakupa mapenzi ya kweli,heshima ,full matunzo yaani hata iyo mizinga utaona si kitu
UNAMPA AU MNAPEANA MBONA MNAKUAGA WABINAFSI???
 
Aisee Madam B baada ya Kujiunga JF ukaanza kusaka na Mume!
 
Njoo inbox sifa zote ninazo, kupima tunapima miezi 3,na miezi 6.na tutapima na Hepatitis B.namaanisha kweli njoo nakusubiri.
Jamani wana Jf,natafuta mume wa kunioa,p'se mwombaji awe na sifa hizi:
1. Awe na Mashine kubwa (sina utani na hili jamani)
2. Awe angalau ana kazi au biashara yoyote ile
3. Umri miaka 28-35. Mimi nina miaka 27.
4. Awe mvumilivu,mpole,mwenye huruma na mpiganaji maana atapigana sana na watu.
5. Mwisho anipende sana na awe tayari kupima UKIMWI.
 
Jamani wana Jf,natafuta mume wa kunioa,p'se mwombaji awe na sifa hizi:
1. Awe na Mashine kubwa (sina utani na hili jamani)
2. Awe angalau ana kazi au biashara yoyote ile
3. Umri miaka 28-35. Mimi nina miaka 27.
4. Awe mvumilivu,mpole,mwenye huruma na mpiganaji maana atapigana sana na watu.
5. Mwisho anipende sana na awe tayari kupima UKIMWI.
Sifa yangu nyingine napenda shoo ya kihuni kwa hiyo jiandae kwa hilo.sifa zote ninazo
 
Kama wataka mashine kubwa wapo wamasai Fanya kuni pm nikuunganishe nao,mashine zao zimesimama haswaaa.
 
Jamani wana Jf,natafuta mume wa kunioa,p'se mwombaji awe na sifa hizi:
1. Awe na Mashine kubwa (sina utani na hili jamani)
2. Awe angalau ana kazi au biashara yoyote ile
3. Umri miaka 28-35. Mimi nina miaka 27.
4. Awe mvumilivu,mpole,mwenye huruma na mpiganaji maana atapigana sana na watu.
5. Mwisho anipende sana na awe tayari kupima UKIMWI.
Ulishapata au bado ubatafuta tuje wenye vigezo vyote
 
Back
Top Bottom