Nasema hivi, kama upo nafasi unapata maslahi ya kukutosheleza wewe, familia na akiba yako, basi ishikilie, maana kwa hali hii wewe ni special

Nasema hivi, kama upo nafasi unapata maslahi ya kukutosheleza wewe, familia na akiba yako, basi ishikilie, maana kwa hali hii wewe ni special

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Acha majivuno ndugu, acha umwamba, acha "usimba", sio wewe, ni hio bahati pekee ya mafanikio, kuwa grateful sio kwa aliekupa mchongo tu hata kwa sisi tunaojipitisha tu maana njaa zetu zikikupata hata ghafla utageuka chizi.

Mfundishe mkeo asiwadharau wake za wengine kisa wamesuka njia moja ya 500. Wafundishe wanao wasiwe wasteful na chakula, maana kuna watoto wa mtaani wamekula mihogo mwezi mzima hadi matumbo yamekuwa machungu.

Sio kwamba sisi ni wapumbavu ndio maana hatujakufikia , ni basi tu opportunity imekufikia wewe.

Sio kwamba sisi ni wavuvi, ni basi tu njaa zetu zimezidi mbio fursa za chakula.

Usiwasimange wanaojazana kwa waganga, usiwacheke wanalalamika konda akisahau kuumpa 50. Hata wewe ungekuwa nafasi hio kama ukata ungekupata.
 
IMG_20241118_220401_445.jpg
 
Acha majivuno ndugu, acha umwamba, acha "usimba", sio wewe, ni hio bahati pekee ya mafanikio, kuwa grateful sio kwa aliekupa mchongo tu hata kwa sisi tunaojipitisha tu maana njaa zetu zikikupata hata ghafla utageuka chizi.

Mfundishe mkeo asiwadharau wake za wengine kisa wamesuka njia moja ya 500. Wafundishe wanao wasiwe wasteful na chakula, maana kuna watoto wa mtaani wamekula mihogo mwezi mzima hadi matumbo yamekuwa machungu.

Sio kwamba sisi ni wapumbavu ndio maana hatujakufikia , ni basi tu opportunity imekufikia wewe.

Sio kwamba sisi ni wavuvi, ni basi tu njaa zetu zimezidi mbio fursa za chakula.

Usiwasimange wanaojazana kwa waganga, usiwacheke wanalalamika konda akisahau kuumpa 50. Hata wewe ungekuwa nafasi hio kama ukata ungekupata.
Ukweli mtupu, mkuu! Mungu awafungulie fulsa kibao za kutokea
 
Kabisa kama una familia nyumbani kwenu watakutegemea,michango ya kijamii(harus&misiba) na una chochote ni maumivu kweli.

Mleta mada huko sawa kabisa ridhiki anatoa Mungu ni vzr ukiona fursa mshtue mwenzako.
Hakika mkuu
 
Back
Top Bottom