hii imeenda😀Nikugaie au tubadilishane😹😹😹
Tukutane hapa mataa niletee huyo nkukabidhi utamu
"Mtume" yupi uliyemuona rangi yake?Nimemulika mwizi!!! Fakeni kabisa
Miaka yote nasikia mume anauma mume anauma nikawa nasema wanaume hawa walivyo wengi anauma nini bwana?? Leo yamenikuta.
Kama mwezi umepita nilikuwa nahisi naibiwa. Kuna ile female intuition tu unajua hapa tuko watatu kwenye huu uhusiano.
Sasa mi si ndio mtaalamu wa IT, nikafanya timing karibu wiki 2 hadi nikafanikiwa kuweka mtego wangu. Lahaula nimekutana na mke mwenzangu mtoto wa 2000.
My analysis of the situation;
Binti sio mtaalamu wa masuala ya kula waume za watu. Sio kwamba namu-underestimate, najua ana power yake. Ila nashukuru Mungu hayuko at war, anatreat huu uhusiano kama mwingine wowote yaani anamuona kama mpenzi wake peke yake. She is at ease.
Nilichofanya ni sijataka mambo yawe mengi, nimemtafuta ex wangu mmoja anapenda chini, anapenda watoto wenye rangi za Mtume maana hata mi alinifatiaga hicho hicho. Nimempa namba, jina, anapopatikana na nimempa pesa (kwa hasira nimemuomba huyu huyu anayenitia hekaheka) amuachanishe huyu mtoto kwa my wangu. Nimemwambia amchanganye apeleke hata posa mi nitagharamia.
Ubaya wa issue hizi bwana yaani tangu nimejua kama wiki 2 zilizopita kila anachoniambia naona uongo. Akijifanya kutaka kukulana namwambia niko period. Hadi jana kauliza “period haiishi?” Nikamwambia “nina stress labda imesababisha”. Akale huko huko nje aache uroho, alaaa…
Sometimes nikioga nalia sio utani. Mume anauma kweli!
Yule aliyeikimbia Tanzania?Kiboko ya Wachawi
Kabisa Mamy katumia njia mbaya kumaliza tatizo.Kwa kuwa umesema, huyo dada sio mtu wa kukwapua wanaume za watu, na kwa mumeo imetokea kibahati mbaya na hajui km baba ni mume wa mtu.
Basi muitee huyo dada na umpe onyoo kalii, naamini atamuacha chibaba wako.
Hiyo njia unayotaka kutumia, uta fail na uta fail haswaa, niamini mie.
Usijesema hukuambiwaa. Poleeeee sanaa.
Na ukionaa wanawakee au mwanamke amerelax kwenyee usaliti hasa kwa dunia ya sasa ujuee anacheat back...😄😄😄wenyewe wanasema ubaya ubwelaa🙌🙌Hii kitu naipinga kila siku, na hata akiongea mwanamke namkatalia na tutabishana had tukeshee.
Hakuna uvumilivu ktk Usaliti, aidha huyo mvumiliaji analipiza kisasi, au huyo mwanamke hayuko well financially, hivyo anabaki kulinda ulajii wakee.
Tusidanganyanee hapaa.
Mtamfanyaje ikiwa ni mtume wenu??Yule aliyeikimbia Tanzania?
Siku nyingine weka wazi, usiinunuwe shari na mtume yetu.
Saa Tisa usiku umeamka mwiba umechachamaa kama unataka kuchoma ukuta!unaisogelea nyama unaanza na mpapaso kwenye paja!🤣Yani ukatombe 🔥🔥🔥 bila kujali?
Utagawq card ya TPB babu,ile pension yako inapita kila mwezi😄Kwa kweli Mjukuu, nahisi Kuna training wana-attend hawa mabinti virtual maana hawaoni shida kumliza Mzee wa Umri wangu
Bora tubaki na TZA zetu tu lakini sio hawa wa 2000 😜🙌
Njoo nikurudishe utotoni.Niwe tu mkweli, kwa ninavyojisikia hili wazo limenipitia mara kadhaa kwamba labda nitajisikia better.
Akija mtu na usiriazi anaweza kuniangusha (Mungu anitangulie). Nina hasiraa
Tuzo gani na kasema yuko na ex muwe mnaelewa kauli ya mkuki kwa nguruwe au mwizi aibe lkn akiibiwa....Imekuumiza, pole.
Lakini kwa uandishi wako na mpangilio wa maneno vizuri sana, umenifurahisha badala ya kusikitika.
Nimeshindwa kuchanganya furaha na majonzi, nimejikuta nafurahi tu nimesahau hata maumivu uliyonayo mtoa mada!
Hivi huyo Mr wako shakubimbi anaelewa kidhati namna unavyompenda kwa kiwango hicho?
Hongera kwa kuwa na penzi la dhati moyoni mwako, maana siku hizi mapenzi huthamanishwa na vitu, yale ya dhati kabisa wamebaki nayo wachache sana, mmoja wao ni wewe, unastahili tuzo.
🤣🤣🤣ama kweli ubaya ubwelaNa ukionaa wanawakee au mwanamke amerelax kwenyee usaliti hasa kwa dunia ya sasa ujuee anacheat back...😄😄😄wenyewe wanasema ubaya ubwelaa🙌🙌
Doze ya pilau yenyewe huwezi kula.mwezi mzima inachosha mwenyewe utasema hebu tule na ugali wa ulezi kidogo,nature is full of fate.Men are polymers by nature,Anza na kuku Hadi wanyama wengine,dume moja majike 100,wewe endelea kupingana na nature tuone utafika wapi,you can't go against nature
Kwamba akitombwa nje ndo ishu ya mume kumcheat itajifuta ili awe salama kama anahis hawez endelea kuwa nae amuache akatafute mtu mwingine waanze upya mana huyo anaeenda kumchimba ni mwanaume pia na yuko na wanawake wengine fikirini kabla ya kutenda siungi mkono usaliti ni kigundua taraka 3 zina muhusu mtuHiyo itakutesa sana, dawa mpk ulipize trust me honey 🤣🤣🤣
Duh pole sana kumbe watu mna visa na mikasa ya kuogofyaaHuyu hajawahi kupigwa matukio ya kufululiza. Yaani unapigwa matukio kiasi kwamba mwili na moyo vinakufa ganzi hata uitwe njoo umuone mumeo huku ananyanduana na mtu nyumba ya jirani ndo kwanza unavuta blanket unakoroma vizuri kabisa.