Nasema hivi, Mume anauma!

Nasema hivi, Mume anauma!

Nimemulika mwizi!!! Fakeni kabisa

Miaka yote nasikia mume anauma mume anauma nikawa nasema wanaume hawa walivyo wengi anauma nini bwana?? Leo yamenikuta.

Kama mwezi umepita nilikuwa nahisi naibiwa. Kuna ile female intuition tu unajua hapa tuko watatu kwenye huu uhusiano.

Sasa mi si ndio mtaalamu wa IT, nikafanya timing karibu wiki 2 hadi nikafanikiwa kuweka mtego wangu. Lahaula nimekutana na mke mwenzangu mtoto wa 2000.

My analysis of the situation;

Binti sio mtaalamu wa masuala ya kula waume za watu. Sio kwamba namu-underestimate, najua ana power yake. Ila nashukuru Mungu hayuko at war, anatreat huu uhusiano kama mwingine wowote yaani anamuona kama mpenzi wake peke yake. She is at ease.

Nilichofanya ni sijataka mambo yawe mengi, nimemtafuta ex wangu mmoja anapenda chini, anapenda watoto wenye rangi za Mtume maana hata mi alinifatiaga hicho hicho. Nimempa namba, jina, anapopatikana na nimempa pesa (kwa hasira nimemuomba huyu huyu anayenitia hekaheka) amuachanishe huyu mtoto kwa my wangu. Nimemwambia amchanganye apeleke hata posa mi nitagharamia.

Ubaya wa issue hizi bwana yaani tangu nimejua kama wiki 2 zilizopita kila anachoniambia naona uongo. Akijifanya kutaka kukulana namwambia niko period. Hadi jana kauliza “period haiishi?” Nikamwambia “nina stress labda imesababisha”. Akale huko huko nje aache uroho, alaaa…

Sometimes nikioga nalia sio utani. Mume anauma kweli!
"Mtume" yupi uliyemuona rangi yake?
 
Kwa kuwa umesema, huyo dada sio mtu wa kukwapua wanaume za watu, na kwa mumeo imetokea kibahati mbaya na hajui km baba ni mume wa mtu.

Basi muitee huyo dada na umpe onyoo kalii, naamini atamuacha chibaba wako.

Hiyo njia unayotaka kutumia, uta fail na uta fail haswaa, niamini mie.

Usijesema hukuambiwaa. Poleeeee sanaa.
Kabisa Mamy katumia njia mbaya kumaliza tatizo.
 
Hii kitu naipinga kila siku, na hata akiongea mwanamke namkatalia na tutabishana had tukeshee.

Hakuna uvumilivu ktk Usaliti, aidha huyo mvumiliaji analipiza kisasi, au huyo mwanamke hayuko well financially, hivyo anabaki kulinda ulajii wakee.

Tusidanganyanee hapaa.
Na ukionaa wanawakee au mwanamke amerelax kwenyee usaliti hasa kwa dunia ya sasa ujuee anacheat back...😄😄😄wenyewe wanasema ubaya ubwelaa🙌🙌
 
Niwe tu mkweli, kwa ninavyojisikia hili wazo limenipitia mara kadhaa kwamba labda nitajisikia better.

Akija mtu na usiriazi anaweza kuniangusha (Mungu anitangulie). Nina hasiraa
Njoo nikurudishe utotoni.
Mke akicheatiwa huwaza labda anaonwa amezeeka, labda sio mtamu kama mwanzo, labda havutii tena. Njoo nikufanye ujisikie mpya.

Ila nyinyi wanawake hapana. Hapa unalalama, ila yakwako yakiwekwa wazi ni aibu.
Ile mbuzi nilivyokua naijali, naikuta inachat upumbavu kwa lugha ya kijerumani na yule banker. Fakeni kabisa.
 
Imekuumiza, pole.

Lakini kwa uandishi wako na mpangilio wa maneno vizuri sana, umenifurahisha badala ya kusikitika.

Nimeshindwa kuchanganya furaha na majonzi, nimejikuta nafurahi tu nimesahau hata maumivu uliyonayo mtoa mada!

Hivi huyo Mr wako shakubimbi anaelewa kidhati namna unavyompenda kwa kiwango hicho?

Hongera kwa kuwa na penzi la dhati moyoni mwako, maana siku hizi mapenzi huthamanishwa na vitu, yale ya dhati kabisa wamebaki nayo wachache sana, mmoja wao ni wewe, unastahili tuzo.
Tuzo gani na kasema yuko na ex muwe mnaelewa kauli ya mkuki kwa nguruwe au mwizi aibe lkn akiibiwa....
 
Ndio uache kufukunyua simu za watu. Ona sasa unapata pressure sababu ya mtoto wa mama mkwe. Yaani ulikuwa unajua uko peke yako?
Kuna jirani yangu alikufa mwezi wa 2 kwa ugonjwa wa moyo baada ya kugundua mume wake ana mchepuko wamezaa watoto 6. Kazi kweli. Siwezi kufa kwa ajili eti sijui mtu anachepuka. Maisha ni zaidi ya mahusiano ya kimapenzi
 
Men are polymers by nature,Anza na kuku Hadi wanyama wengine,dume moja majike 100,wewe endelea kupingana na nature tuone utafika wapi,you can't go against nature
Doze ya pilau yenyewe huwezi kula.mwezi mzima inachosha mwenyewe utasema hebu tule na ugali wa ulezi kidogo,nature is full of fate.
 
Hiyo itakutesa sana, dawa mpk ulipize trust me honey 🤣🤣🤣
Kwamba akitombwa nje ndo ishu ya mume kumcheat itajifuta ili awe salama kama anahis hawez endelea kuwa nae amuache akatafute mtu mwingine waanze upya mana huyo anaeenda kumchimba ni mwanaume pia na yuko na wanawake wengine fikirini kabla ya kutenda siungi mkono usaliti ni kigundua taraka 3 zina muhusu mtu
 
Mm siamin kma umemkomoa huyo memeo.Ila naona unajitesa na utakuja kujiua 7babu hakuna mwanaume mwenye mwanmke1.Lijue hilo kikubwa anacho tkiwa hakuheshimu kma mke wake kwa kukuonesha
 
Huyu hajawahi kupigwa matukio ya kufululiza. Yaani unapigwa matukio kiasi kwamba mwili na moyo vinakufa ganzi hata uitwe njoo umuone mumeo huku ananyanduana na mtu nyumba ya jirani ndo kwanza unavuta blanket unakoroma vizuri kabisa.
Duh pole sana kumbe watu mna visa na mikasa ya kuogofyaa
 
Na kingine kma hakijua kma umetia kirus kweny cm ili udukue habar zake nikosa na wenda kosa likakugeukia ww
 
Back
Top Bottom