Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kawaida Mzee wa kuharisha.Yaani kwa namna unavosikia mbwembwe na majigambo kuwa Mamelodi atakufa cjui Mudathiri ndio siku yake hiyo wala sio uwezo wa kocha, kocha kesho ana mchango wa asilimia 30 tu, 70% ameachiwa mganga.
Ni azam pekee ndio yenye wachezaji wenye quality, kiwango na uwezo wa kuikabili timu yoyote hapa barani afrika, wana wachezaji wazuri kuliko hata wale wa Mamelodi, wao wamewekeza sana kwenye ubora wa wachezaji, sio sisi tumewekeza mno kwenye mganga.
Waaminisheni watanzania kuwa kesho kushinda lazima halafu msishinde mtajua kama hamjui.