Nasema tusiwapishe viti wazee kwenye daladala, walichezea ujana

Pesa mwana haramu ndugu ..ukiwa na hela chawa watakuzunguka tu,utapata dereva wa gari yako na utaoa binti mbichi wa kukupa joto.nyumba itajaa wajukuu nk,ukiwa huna kitu huoni mtu
Hivyo vyote hakuna kitu mbele ya ugonjwa kama utaweza muulize Mengi
 
kijana unasahau kwamba hata kma una gari, kuna siku utasafiri kwenda mkoa au mji mwingine, je hautapnda daladala ?
 
Kwahiyo umeishajikatia tamaa wewe ni wa daladala tu..pole sana
 
Ndo unakomaa kwenye siti wee mara mzee anaomba akae unagoma kumbe ulikuwa unaenda kwenye mkutano wa kijini kutambulisha mradi halafu uliyemgomea ndo mwenyekiti wa kijiji....
 
Sasa mbona wewe bado upo kwenye izo daladala mpaka leo?
 
Me wazee HUWA siwapishi kabisaaaa naaminigi kua maishani mwao wamepitia mengi na magumu kwahiyo HILI la kusimama kwenye gari ni chamtoto tu[emoji4][emoji4][emoji4]
🤣🤣🤣
 
Ndiyo maana huwa nawaambia jamaa zangu kuwa, hata kama umejenga Dar, jitahidi sana kujenga nyumba ya kawaida tu nyumbani kwenu, utaishi kwa starehe sana. Hata Mzaramo ana kwao(Maneromango).
Miaka 60+ kukaa Dar ni uchuro!
Hapa ndio chanzo cha maskini wa kiafrika

Wahindi ,waarabu kwao ni pale anapopata Riziki ndio maana huzikwa Tanzania

Wazaramo pia huamini hivyo

Vikabila maskini vingi huamini kwao ni kule vilikotokea hata umpeleke Ulaya kilivyo kibwege kikifa kinataka kije kuzikwa kijijini kwao !! Kinasumbua watu na michango
 
Ndiyo maana huwa nawaambia jamaa zangu kuwa, hata kama umejenga Dar, jitahidi sana kujenga nyumba ya kawaida tu nyumbani kwenu, utaishi kwa starehe sana. Hata Mzaramo ana kwao(Maneromango).
Miaka 60+ kukaa Dar ni uchuro!
Wewe mshirikina mkabila sasa hivi kuna ndoa mchanganyiko unatoka vikabila vinavyoendekeza ukabila kaoe au kuolewa huko muendekeze ushirikina wenu

Vikabila kama vyenu oaneni wenyewe
 
Mi wazee nawaheshimu sana.
Kuna Bar Moja nilienda hapo tabata Aroma, kuangalia mishe ya umeneja wa Bar.

nikamkuta mzee mmoja anagonga konyagi yani yuko tungi aisee mida ya saa nne asubuhi..

Mzee yule nimemkuta meza za mwanzo kabisa nikamsalimia vizuri akaitika. Nikaenda counter nikawaambia nimeleta CV zangu kwa kazi flani.

Wakanipokea, nikakaa pale kama nusu saa nasubiri INTERVIEW.

Baada ya muda yule dada wa counter akaniita ananiambia mzee anakuita (yule niliemsalimia mwanzoni) kwa ajili ya interview.

Dah nilijiuliza maswali mengi sana endapo ningempita bila salam ingekuwaje.

mzee tukasalimiana tena akaniomba vyeti na barua, akatazama pale huku anasifia.

Hapo hapo akaniambia You are my new Bar manager🥵🥵😅😅😅

Jamani nilifurahi sana! nimekula laki 3 tatu hapo na posho miezi mitano nashukuru mpaka sasa nina mtaji wa Biashara
 
we una umri gani kwani?
 
shukuru mzee alikuwa tungi
 
Uzee si ugonjwa ni baraka tusiogope uzee, nimejisikia kuwatania babu na bibi zetu.[emoji23]
Basi nimona kjn alikuwa anatania tu ili kutuweka sawa mm pia nimemuelewa ktk utani wake
 
Nakulaani hutaufikia uzee
 
Hapo unatafuta laana! Mungu anaagiza katika vitabu vyake,Heshimu Uso wa Mzee na tena Mwondokee mwenye mvi,(Walawi 19:32)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…