Nasema ukweli kuhusu uganga

Nasema ukweli kuhusu uganga

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
3,109
Reaction score
6,323
Kuhusu kuoneshwa mbona nakumbuka sio lazima mtu apelekwe mapangoni kujifunza hayo yote,,mtu akiwa kapewa mkoba wa uganga anaanza kwa kuumwa sana tu. Kama malaria huku akiwa kwenye ndoto wale wote waliokuwa waganga wa tangulizi anawaona nakupewa masharti yakufanya ili awe mganga.

Baada ya kupewa mizimu yake na majini yake lazima upewe jini ambalo ni uganga wako. Ndiye anaitwa kiti na pia humuona ndotoni sio live.

Halafu ukianza kusimikwa uganga unatakiwa uwe unafamilia tayari. Watoto wako ndio ukoo wako kuna mmoja au mjukuu wako utamridhisha.

HAlafu unakuwa unaona hadi mtu akienda kwa waganga au mtu fulani wakaribu wanataka kumuua au chochote kizuri au kibaya .
BAsi ukioa unaletewa wengine wakukuelekeza na wazee waukoo uganga ulipo basi unaanza kutibu.

Ila uganga kwanza nikama unabii tu ila mtu kuishi mapangoni kufanya nini kama ni pete zauganga kama umeshaoa mke au kuolewa na mme wamtakao basi. Ukiwamke namume unaanza kuoteshwa nani wakukupa kila kitu sasa sijui wengine wanaenda kuishi mapangoni kufanya nini na huku majini yanakufuata at the right time . Na mtu huanza kuona nakuelezea wale wenye shida nakuwaelekeza mganga wakuwasaidia kwa mana bado hajawa kamili.

Na uganga halisi huwezi kulala na familia yako. Hiyo hapana hata ukiuliza watu wengi . Ambao wamekuwaga waganga .

Sijui kwa wale ambao wengi waliupataje huo uganga .
 
Uganga = Uchawi.

Huwezi kuwa mganga bila kuwa mchawi.

Mganga humtambua mchawi na mchawi humtambua mganga. Mganga amepewa kifuniko cha kuganga watu ili kuficha ule utendaji kazi wa shetani ndani mwake.

Wote wapo chini ya kitengo cha kuongozwa na nguvu za giza kutoka kuzimuni.
 
Uganga = Uchawi.

Wote wapo chini ya kitengo cha kuongozwa na nguvu za giza kutoka kuzimuni.
SIpingii kabisa ila kila mtu anaaina ya uganga wake kuna uganga wa mizimu,ambayo wanaokuongoza ni babu zako walioopita na hayo majini lazima mtu aliyedhamiriwa kuwa mganga awe nayo. Kafara zake ni kuku na mbuzi.

Ila kuna mganga ni wamajini sana na mizimu kidogo . Huyu kafara zake ni wanyama wakubwa wakubwa,kuvuta vitu vilivyowekwa kichawi. Nakusoma visomo na kutibu watu.

Mwingine ni uganga wa kifree manson huyu lazima atakuambia utoe kafara za watu tu. Sio jingine na kukuambia uue uwaweke ndani kwa kuwafanyia kazi. Au kuwachukulia nyota na huu uganga ukikosea masharti unauwawa. Na ukiwa hujui kuutumia pia huyu hanaga haja yakujua future yako, nikukupa masharti tu.
Wengine hulala na dada zako au mama yako au hata kuwatumia wanaume wenzako. Au wanawake wenzako upate mali .
 
Kuhusu kuoneshwa mbona nakumbuka sio lazima mtu apelekwe mapangoni kujifunza hayo yote,,mtu akiwa kapewa mkoba wa uganga anaanza kwa kuumwa sana tu. Kama malaria huku akiwa kwenye ndoto wale wote waliokuwa waganga wa tangulizi anawaona nakupewa masharti yakufanya ili awe mganga.

Baada ya kupewa mizimu yake na majini yake lazima upewe jini ambalo ni uganga wako. Ndiye anaitwa kiti na pia humuona ndotoni sio live.

Halafu ukianza kusimikwa uganga unatakiwa uwe unafamilia tayari. Watoto wako ndio ukoo wako kuna mmoja au mjukuu wako utamridhisha.

HAlafu unakuwa unaona hadi mtu akienda kwa waganga au mtu fulani wakaribu wanataka kumuua au chochote kizuri au kibaya .
BAsi ukioa unaletewa wengine wakukuelekeza na wazee waukoo uganga ulipo basi unaanza kutibu.

Ila uganga kwanza nikama unabii tu ila mtu kuishi mapangoni kufanya nini kama ni pete zauganga kama umeshaoa mke au kuolewa na mme wamtakao basi. Ukiwamke namume unaanza kuoteshwa nani wakukupa kila kitu sasa sijui wengine wanaenda kuishi mapangoni kufanya nini na huku majini yanakufuata at the right time . Na mtu huanza kuona nakuelezea wale wenye shida nakuwaelekeza mganga wakuwasaidia kwa mana bado hajawa kamili.

Na uganga halisi huwezi kulala na familia yako. Hiyo hapana hata ukiuliza watu wengi . Ambao wamekuwaga waganga .

Sijui kwa wale ambao wengi waliupataje huo uganga .
Unawafaa baadhi ya watu,humu naomba wanajukwaa wawataje,mimi sitawataja.
 
Watoto wadogo wa jamiiforums hawawezi kukuelewa. WATOTO WADOGO.

Wanakula biskuti na kujamba kwenye makochi ya shemeji zao huku wakijiita wasomi.

Usomi wenyewe ndio hizi DIPLOMA ZA KUVUNA ASALI, wanapiga punyeto tu, mizinga yenyewe hakuna mpaka TABORA.

Uganga wa kweli ni jambo zito sana. Ni kitendo cha kuvamiwa na majeshi ya kiroho, lazima unyooke.

Any form of spiritual attack is catastrophic. Be it wizardry or anything related to that, it is CATASTROPHIC INDEED.

Hawa MACHEKIBOBU wa JAMIIFORUMS wenye DIPLOMA ZA KUVUNA ASALI watakwambia sio kweli, eti wao ni WASOMI!
 
Back
Top Bottom