ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Naenda kukuloga ili ujue uchawi upoDunia imepitia kwenye kipindi cha watu kulishana matango pori mengi , ila sisi bado tunang'ang'ana nayo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naenda kukuloga ili ujue uchawi upoDunia imepitia kwenye kipindi cha watu kulishana matango pori mengi , ila sisi bado tunang'ang'ana nayo tu
Ulishaniloga najua😁Naenda kukuroga ili ujue uchawi upo
@Arsi anaweza kabisa mwambie afanye hivyo ila nikiolewa nikakabidhiwa naweza kufanya yale niliokabidhiwaWewe umesahau kwamba iyo simu yako ulivyokuwa unaipenda siku unanunua na leo ni tofauti,,,binadam ana sifa ya kukinai kitu
Kama wewe ni mganga na unamaono ongea kitu ambacho hakipo hapa dunian na ukilete kianze kuishi kiuhalisia?
Naomba nikuoe, tuwe tunakula kuku za bure.Mganga ni yule anakilinge ila mie naona shida ya mtu na mtu atakayemsaidia sijui unanielewa sina kilinge sijaolewa so siwezi pewa kilinge .
Ila naweza sema nakuona matatizo yako
Nambuzi,ng'ombe na kanga ,navingineNaomba nikuoe, tuwe tunakula kuku za bure.
Mdada mrembo hivyo hauoni aibu kuamini uganga na uchawi?😁😁😁Nambuzi,ng'ombe na kanga ,navingine
Mie sina wivu nimesema ukweli halafu arsi ni mtu anayeweza kutibu ila kuna kasoro fulani ipo akitoa hapo . Ni mtu anayeweza
Kwa mambo aliyoyafanya na anayoyafanya kwa kusaidia watu kutoka kwenye power zinazomtaka afanye unafkri Kuna mganga angeyaweza hayo? honestly simba ni zaidi ya mganga japo hapendi kuwa mganga na hajawahi kuwa mganga.Mie sina wivu nimesema ukweli halafu arsi ni mtu anayeweza kutibu ila kuna kasoro fulani ipo akitoa hapo . Ni mtu anayeweza sana
Ninamavitu kichwani sikuwa ninamini hadi nilipoambiwa yapo nakuanza kukagua nanikaona shida za watuMdada mrembo hivyo hauoni aibu kuamini uganga na uchawi?😁😁😁
Ewaaa fanya basi unikubalie ombi langu tuanzishe kilinge.Nambuzi,ng'ombe na kanga ,navingine
Katka kutoa "ilimu" dunia!. (sijakosea: acha ibakie hivyo hivyo ilimu)Katika nini bossy
Kwa hiyo kama sio kulogwa ungekuta hakuna shida duniani?Ninamavitu kichwani sikuwa ninamini hadi nilipoambiwa yapo nakuanza kukagua nanikaona shida za watu
Wote wapo WIZARA 1 ya NISHATI na MADINI sio mkuu?Uganga = Uchawi.
Huwezi kuwa mganga bila kuwa mchawi.
Mganga humtambua mchawi na mchawi humtambua mganga. Mganga amepewa kifuniko cha kuganga watu ili kuficha ule utendaji kazi wa shetani ndani mwake.
Wote wapo chini ya kitengo cha kuongozwa na nguvu za giza kutoka kuzimuni.
Uje nikuoe ili ufanikishe jambo lako ufurahie mimi siwezi kuona watu wanateketea eti kisa tu hujaolewa ,,,tuoane tuokoe watu mama@Arsi anaweza kabisa mwambie afanye hivyo ila nikiolewa nikakabidhiwa naweza kufanya yale niliokabidhiwa
Hahahaha ndo yenyewe😂Kumbe hii mbanga ni unik flawa?
Hio ni mental case wala sihangaiki tena.wajinga ndio waliwao.
Unashida sana na maisha ya watu endelea hivyo hivyoo kuonekana ni muhimu kwako nakuhangaika huku kama kuku wakutaka kutaga mayai kila mwanamke unamuandama muandame mwaya hujatosheka tu endelea na hayo hayo maisha ila ipo siku utahitaji msaada wale uliokuwa unawaponda ndio watakusaidiaHahahaha ndo yenyewe😂
Hahahaha da Maua bana😁Unashida sana na maisha ya watu endelea hivyo hivyoo kuonekana ni muhimu kwako nakuhangaika huku kama kuku wakutaka kutaga mayai kila mwanamke unamuandama muandame mwaya hujatosheka tu endelea na hayo hayo maisha ila ipo siku utahitaji msaada wale uliokuwa unawaponda ndio watakusaidia
Tunaaguana wenyewe kwanza tupate hela halafu ndio tunasaidia watuUje nikuoe ili ufanikishe jambo lako ufurahie mimi siwezi kuona watu wanateketea eti kisa tu hujaolewa ,,,tuoane tuokoe watu mama
Wewe mpole ujue🤔Hahahaha da Maua bana😁
Zaidi ya magonjwa ya kawaida hakuna no problemKwa hiyo kama sio kulogwa ungekuta hakuna shida duniani?