Nash MC ana elimu gani?

Kula nyama gonga bia gonga bia kesho ni ugali bamia
 
Najua O level alisoma Benjamin Mkapa early 2000s' ,sijui baada ya hapo Kama aliendelea na masomo
 
ELIMU YA KUVUTABANGI HUKO TEMEKE
 
Yupo vizuri,nyimbo zake ni zakimapinduzi sana
 
Nash Mc ni mtu pekee ninaemfahamu, anaeweza kuongea kiswahili fasaha lisaa lizima, bila kutumia neno lolote la kiingereza.

Hapo ndipo utasikia maneno kama Santuri, kanda mseto na mengineyo!

Nash ni Nas wa Tanzania!
 
Nash Mc ni mtu pekee ninaemfahamu, anaeweza kuongea kiswahili fasaha lisaa lizima, bila kutumia neno lolote la kiingereza.

Hapo ndipo utasikia maneno kama Santuri, kanda mseto na mengineyo!

Nash ni Nas wa Tanzania!
nas wa bangi mbichi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…