mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
Wewe ungekuwa na Tv yako ungeruhusu kurushwa video iliyoshutiwa kwa techno?Ingekuwa ni huko nchi za wenzetu wanakotambua mchango wa sanaa kwenye ujenzi wa jamii, huu wimbo ungepewa tuzo kwa segment ya parenthood.
Ila kwa hapa bongo, huu wimbo hutosikia radio yoyote wala TV yoyote ikiurusha hewani.
-Kaveli-