Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
- Thread starter
- #21
Unadhani kila mtu ni muoga kama wewe?
Kama Shetani yupo lete formula za kumuita.
Maana kila jaribio nililofanya hakuwahi kutokea. Hizi stori za Shetani na Mungu hazina uhalisia.
Kama Shetani yupo lete formula za kumuita.
Maana kila jaribio nililofanya hakuwahi kutokea. Hizi stori za Shetani na Mungu hazina uhalisia.
Kuna mengine sio ya kujaribu, ni bora uyaache kwenye nadharia tu.
Utakuja kuita popobawa akufanye mchezo mbaya.
View attachment 3263495