Nashangaa bado kuna watu waamini kuna kiumbe kinaitwa Shetani

Nashangaa bado kuna watu waamini kuna kiumbe kinaitwa Shetani

Biblia inasema shetani yupo
Quran inasema shetani yupo
Mungu asema shetani yupo
Shetani mwenyewe anasema yupo
Sasa wewe ni Nani unayepinga? Nenda kwa mganga wa kienyej mwambie nataka kuuza nafsi yangu kwa shetani halafu uone kitakachokupata acha ujinga acha ubishi
Tafuta viongozi wa kiroho wa makanisa ya kipentekoste wakutoe ukungu
 
Binafsi nawezasema watu weng tu wameshawah kukutana na shetan ila hawajui kama ameshawahi kuonana nae kwa sababu shetan katika umbo la asili haonekan. Sasa hata akija katika umbo la bandia pia huwez mtambua kwa kuwa wewe utaona kiumbe cha kawaida kama mtu au mnyama tu wakawaida.

Mfano mzuri wa wakat ambao binadamu anakutana na shetan ni wakati wakwenda maliwaton, huko ndo makaz ya mashetan. Pia wakat wakula chakula, shetan hula nawewe na ndo mana kuna wakat unakula ila haushibi au unakunywa kinywaj lakin kiu haikat. Kiufup shetan yupo na tunakatana nae katika namna mbalimbali.
Wewe umejuaje Na hujawahi kumuona shetani?
 
Baada ya kuona mungu hamjibu akaamua kumuita shetani nae akanyuti. Niwazi unapaswa kurudi tu kwa mola wako.yawezekana unaweza kuwa maharapazuri tu.usikurupuke subra ni bora zaidi.
NAUNGA MKONO HOJA
 
Nimejaribu kila namna lakini wapi.

Ila nilichogundua hii dunia ina uongo mwingi.
Sio kaz nyepec hyo. labda kuita majini sawa wao chapu wanakuja.
  • chora pentagon kwa unga wa sembe usku wa manane chumba kiwe kpana na waz pia patulivu.
  • pentagon kila kona washa mishumaa katikat tandka kitambaa cheupe nawe vaa nyeupe ukiwa msafi. kuna majina utaita mara 1000
BELIZEBUL ET LUSIFER..
  • ukisikia kishindo ujue kumekucha. sasa jichanganye uogope utoke katkat ya pentagon utajuta.
  • ongea nae ulchomwitia mpe na sadaka ya damu
 
Back
Top Bottom