Makwizi Band
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 1,535
- 2,565
SijuiKwahiyo kuna aliyewahi kumuona huyo Shetani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijuiKwahiyo kuna aliyewahi kumuona huyo Shetani?
Kaka wewe unaweza kujiitaMkuu Mimi sio mtu wa Keyboard ni mtu wa vitendo.
Nilifanya kila namna, Sijui how to call Lucifer kila aina ya majaribio ili mradi tu nimuone huyo SATAN lakini.
Kinaitwaje?Kuna kitabu alikituma DR Mambo Jambo humu mkuu nipo nakisoma kumuhusi shetani 😀ila Dunia Ina mambo hii
Fanya umtafute Dr riziki mkalimalela umueleze, atakupeleka kwa shetaniMkuu Mimi sio mtu wa Keyboard ni mtu wa vitendo.
Nilifanya kila namna, Sijui how to call Lucifer kila aina ya majaribio ili mradi tu nimuone huyo SATAN lakini.
Wewe umejuaje Na hujawahi kumuona shetani?Binafsi nawezasema watu weng tu wameshawah kukutana na shetan ila hawajui kama ameshawahi kuonana nae kwa sababu shetan katika umbo la asili haonekan. Sasa hata akija katika umbo la bandia pia huwez mtambua kwa kuwa wewe utaona kiumbe cha kawaida kama mtu au mnyama tu wakawaida.
Mfano mzuri wa wakat ambao binadamu anakutana na shetan ni wakati wakwenda maliwaton, huko ndo makaz ya mashetan. Pia wakat wakula chakula, shetan hula nawewe na ndo mana kuna wakat unakula ila haushibi au unakunywa kinywaj lakin kiu haikat. Kiufup shetan yupo na tunakatana nae katika namna mbalimbali.
NAUNGA MKONO HOJABaada ya kuona mungu hamjibu akaamua kumuita shetani nae akanyuti. Niwazi unapaswa kurudi tu kwa mola wako.yawezekana unaweza kuwa maharapazuri tu.usikurupuke subra ni bora zaidi.
Sio kaz nyepec hyo. labda kuita majini sawa wao chapu wanakuja.Nimejaribu kila namna lakini wapi.
Ila nilichogundua hii dunia ina uongo mwingi.
Kinaitwaje?
Secret of luciferKinaitwaje?
Kasome na codex gigasSecre
Secret of lucifer
Nitumie mm SinaKasome na codex gigas
Pouwa ila kimeandikwa kwa kilatinNitumie mm Sina
Eeh mbombo ngafuPouwa ila kimeandikwa kwa kilatin
Maana yake nini?Eeh mbombo ngafu