Nashangaa bado kuna watu waamini kuna kiumbe kinaitwa Shetani

Nashangaa bado kuna watu waamini kuna kiumbe kinaitwa Shetani

Umesahau kwamba shetani ni nadharia iliyotengenezwa ili kuainisha matendo mabaya na mazuri? Shetani ni umbo/taswira ambayo inavaliwa na binadamu yeyote yule mwenye matendo yanayoweza kumtambulisha shetani kwa wakati huo. Mfano ni kwako mwenye angalia mambo uliyofanya lengo lako umtambulishe shetani kulingana na nadharia zako zakutaka kumuona shetani,, kwakifupi kwa akili yangu ndogo shetani ni mtu kuliangana na matendo yake ndio yanatoa utambulisho wa uwepo wa shetani ambaye ni wewe kwa wakati huo!
 
Shetan yupo ila yeye ni jini na hivo ili umuone ni lazima aje katika umbo bandia kama binadamu, paka, mbwa au nyoka. Ila katika maumbile yake asilia shetan hawez onekana.

Katika kipind cha mtume muhammad s.a.w shetani alishawahi kujitokeza mara tatu akaonekana ila katika maumbile ya binadamu katika nyakati tofauti.

Mara ya kwanza ilikuwa katika kikao cha makuraish wakijadili namna ya kumuua mtume, ghafla alikuja mtu akiwa katika mavaz maridad na muonekano nadhifu kuliko kawaida, makuraish wakajua kwa namna yeyote mtu huyo atakuwa na busara kias cha kuwa na mbinu bora ya kumuua mtume, hivo wakamshirikisha katika mpango huo na walipotaka kujua yeye ni nan na anatokea wap shetana aliwadanganya kwa kuwatajia jina la uongo na mji ambao wao hawaujui.

Mara ya pili ni katika vita wakat jesh la mtume lipo vitan, makafir walikuwa wakiongozwa na mtu wao, lakin baadae allah akashusha jesh la malaika kumsaidia mtume, na hapo yule mtu anaeongoza makafir akakimbia kuelekea baharin na hakuonekana tena, wenzake wakashangaa
Hizi ni hadithi mnasimuliana ili mjipe moyo
 
Kama hawaonekani bora wangesikika basi.
Mda nilioufanya uchunguzi kwa hao viumbe Itoshe kusema hawapo.
Kitu kinacho sikika ina maana ni physical. Hao siyo physical. Ushadi wa kuwepo kwao ni kwa kutumia imani na siyo kwa kutumia macho au masikio. Kama uwepo wao unataka kuupima kwa kuwaona basi uko sahihi kusema hawapo.
 
Picknett anaeleza kuwa Kanisa lilihusisha Lucifer na ibada za kipagani ili kudhibiti jamii na kupunguza ushawishi wa wanawake.

Kuna mambo humo mmmh 🙌
Mimi Bado sijamaliza kukikosa kumbe ndo mambo ya humo
 
Back
Top Bottom