Nashangaa bado kuna watu waamini kuna kiumbe kinaitwa Shetani

Unadhani kila mtu ni muoga kama wewe?

Kama Shetani yupo lete formula za kumuita.
Maana kila jaribio nililofanya hakuwahi kutokea. Hizi stori za Shetani na Mungu hazina uhalisia.
Kuna mengine sio ya kujaribu, ni bora uyaache kwenye nadharia tu.

Utakuja kuita popobawa akufanye mchezo mbaya.

View attachment 3263495
 
Achana na story za Quran
 
Hizi stori za vijiweni zimetosha sasa( over)
 
Katika kisa hiki cha mwisho kuna dokezo mbili kuhusu shetan.

1. Moja ni kuwa shetan akiwa katika umbo bandia basi anaweza kupata athari za kimaumbile yaani pain and pleasure ndo mana yule mzee alipokamatwa na abu huraira alishindwa kupotea kimazingara na badala yake akaamua kujitetea ili asipelekwe kwa mtume mana kama mtume angeamua kukata mkono wa yule mzee basi shetan angepata madhara.

2. Dokezo la pili ni kuwa shetan anaweza kuongea ukwel ndo mana mtume alithibitisha yale maneno yule mzee. Japokuwa kwa asili yake shetan ni muongo haswa.
 
Kama kuna mapepo, majini na mizimu basi pia kuna ulimwengu wao wanaoishi. Hujawahi kuona watu wakipandisha mapepo au majini?
Viumbe vyote ulivyovyitaja hapo nishajaribu kuwaita Kwa kila namna lakini hakuna aliyetokea.
 
Binafsi nawezasema watu weng tu wameshawah kukutana na shetan ila hawajui kama ameshawahi kuonana nae kwa sababu shetan katika umbo la asili haonekan. Sasa hata akija katika umbo la bandia pia huwez mtambua kwa kuwa wewe utaona kiumbe cha kawaida kama mtu au mnyama tu wakawaida.

Mfano mzuri wa wakat ambao binadamu anakutana na shetan ni wakati wakwenda maliwaton, huko ndo makaz ya mashetan. Pia wakat wakula chakula, shetan hula nawewe na ndo mana kuna wakat unakula ila haushibi au unakunywa kinywaj lakin kiu haikat. Kiufup shetan yupo na tunakatana nae katika namna mbalimbali.
 
Nasikiaga nyie walokole mnamkanyaga Shetani!!!

Kwani Yuko wapi mbna sijawahi kumuona🤣🤣
Kwani shetani na Mungu ni vitu vya kuonekana mpaka utake kuviona au ni ishu ya imani. Wewe amini tu au usiamini lakini usitake kuona vitu visivyoonekana
 
Kwani shetani na Mungu ni vitu vya kuonekana mpaka utake kuviona au ni ishu ya imani. Wewe amini tu au usiamini lakini usitake kuona vitu visivyoonekana
Kama hawaonekani bora wangesikika basi.
Mda nilioufanya uchunguzi kwa hao viumbe Itoshe kusema hawapo.
 
Pengine walikuja katika umbo lingine huwezi jua. Halafu badala ufocus kwenye kutafuta hela wewe unafocus kwenye kuwaita majini shauri yako.
Sio lazima kila mtu awe na hela.

Priority yangu ni kutaka kufahamu kama hivi viumbe vipo ama ni story za kusadikika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…