Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
- Thread starter
-
- #21
Kuna mengine sio ya kujaribu, ni bora uyaache kwenye nadharia tu.
Utakuja kuita popobawa akufanye mchezo mbaya.
View attachment 3263495
Usikute ulikuwa unajiita..🤣
Yuko wapi nikamuone au nimuite?Kama hayupo kwanini kuna shetani
Achana na story za QuranMara ya tatu shetan kuonekana ni katika kisa cha abu huraira r.a ambapo alimkamata mwizi alieiba chakula kutoka katika baytul mal yaani treasury house. Mwiz huyu alikuwa mzee na alijitetea kuwa ananjaa na maisha magum hivo abu huraira akamwonya asirudie tena kuiba kisha akamuachia, lakin mzee yule alirudia tena hadi mara ya tatu na ndipo abu huraira akamwambia saiz nakupeleka kwa mtume akakupe adhabu. Ikumbukwe kuwa kipind cha mtume adhabu ya mwiz ilikuwa kukatwa mkono mmoja, sasa yule mzee akaona akipelekwa huko atapata majanga akaona amalizane na abu huraira kimya kimya, alichokifanya yule mzee akamwambia abu huraira nikumbie jambo la kheri ili uniachie, basi abu huraira akamuliza jambo gan hilo? Yule mzee akasema soma aya ya mwisho katika suratul baqara ili kujikinga na shetan. Basi abu huraira akamuachia kisha akaenda kumsimulia mtume kisa kizima na mtume akasema huyo mzee ni shetan na hilo alilokufundisha ni kweli.
Shetan yupo ila yeye ni jini na hivo ili umuone ni lazima aje katika umbo bandia kama binadamu, paka, mbwa au nyoka. Ila katika maumbile yake asilia shetan hawez onekana.
Katika kipind cha mtume muhammad s.a.w shetani alishawahi kujitokeza mara tatu akaonekana ila katika maumbile ya binadamu katika nyakati tofauti.
Mara ya kwanza ilikuwa katika kikao cha makuraish wakijadili namna ya kumuua mtume, ghafla alikuja mtu akiwa katika mavaz maridad na muonekano nadhifu kuliko kawaida, makuraish wakajua kwa namna yeyote mtu huyo atakuwa na busara kias cha kuwa na mbinu bora ya kumuua mtume, hivo wakamshirikisha katika mpango huo na walipotaka kujua yeye ni nan na anatokea wap shetana aliwadanganya kwa kuwatajia jina la uongo na mji ambao wao hawaujui.
Mara ya pili ni katika vita wakat jesh la mtume lipo vitan, makafir walikuwa wakiongozwa na mtu wao, lakin baadae allah akashusha jesh la malaika kumsaidia mtume, na hapo yule mtu anaeongoza makafir akakimbia kuelekea baharin na hakuonekana tena, wenzake wakashangaa
Kama kuna mapepo, majini na mizimu basi pia kuna ulimwengu wao wanaoishi. Hujawahi kuona watu wakipandisha mapepo au majini?Hakuna Jehenamu, Hakuna pepo, Hakuna Shetani.
Viumbe vyote ulivyovyitaja hapo nishajaribu kuwaita Kwa kila namna lakini hakuna aliyetokea.Kama kuna mapepo, majini na mizimu basi pia kuna ulimwengu wao wanaoishi. Hujawahi kuona watu wakipandisha mapepo au majini?
Pengine walikuja katika umbo lingine huwezi jua. Halafu badala ufocus kwenye kutafuta hela wewe unafocus kwenye kuwaita majini shauri yako.Viumbe vyote ulivyovyitaja hapo nishajaribu kuwaita Kwa kila namna lakini hakuna aliyetokea.
BatmenHivi popo bawa ndio akina nani
Kwani shetani na Mungu ni vitu vya kuonekana mpaka utake kuviona au ni ishu ya imani. Wewe amini tu au usiamini lakini usitake kuona vitu visivyoonekanaNasikiaga nyie walokole mnamkanyaga Shetani!!!
Kwani Yuko wapi mbna sijawahi kumuona🤣🤣
Nipe sifa zao chacheBatmen
Kama hawaonekani bora wangesikika basi.Kwani shetani na Mungu ni vitu vya kuonekana mpaka utake kuviona au ni ishu ya imani. Wewe amini tu au usiamini lakini usitake kuona vitu visivyoonekana
Sio lazima kila mtu awe na hela.Pengine walikuja katika umbo lingine huwezi jua. Halafu badala ufocus kwenye kutafuta hela wewe unafocus kwenye kuwaita majini shauri yako.
Kama ukithibitisha vipo utafaidika na nini?Sio lazima kila mtu awe na hela.
Priority yangu ni kutaka kufahamu kama hivi viumbe vipo ama ni story za kusadikika.
Subiri nifuturu ndo nidanganyeNipe sifa zao chache
Shetani anakaa chini ya ardhi mkuu tunavyomkanyaga anaumia mwisho wa siku tutamuuaNasikiaga nyie walokole mnamkanyaga Shetani!!!
Kwani Yuko wapi mbna sijawahi kumuona🤣🤣