Kuna kitabu alikituma DR Mambo Jambo humu mkuu nipo nakisoma kumuhusi shetani 😀ila Dunia Ina mambo hiiKama ni mishumaa nimeshawasha sana ili nione kama Shetani atakuja lakini wapi. Kama ni chanting nimeshafanya ili nithibitishe kama Lucifer ama Shetani yupo bado niliambulia patupu.
Nimethibitisha Shetani hayupo
Hata kujua ni kufaidika pia.Kama ukithibitisha vipo utafaidika na nini?
Dadeq, Acheni story za kitoto 😅Shetani anakaa chini ya ardhi mkuu tunavyomkanyaga anaumia mwisho wa siku tutamuua
Tuma hicho kitabu labda itanisaidia kwenye utafiti wangu kwa mara ya pili kumhusu Shetani.Kuna kitabu alikituma DR Mambo Jambo humu mkuu nipo nakisoma kumuhusi shetani 😀ila Dunia Ina mambo hii
Hizo juhudi wekeza kwenye kutafuta hela kujua shetani yupo au hayupo haitakusaidia.Hata kujua ni kufaidika pia.
Nakutumia mkuuTuma hicho kitabu labda itanisaidia kwenye utafiti wangu kwa mara ya pili kumhusu Shetani.
Kwa hyo kama kitu hukioni wala hukisikii basi hicho kitu hakipoKama hawaonekani bora wangesikika basi.
Mda nilioufanya uchunguzi kwa hao viumbe Itoshe kusema hawapo.
Inaojua ile pambio la "kanyaga kanyaga shetani, kanyanga kanyaga shetani"Dadeq, Acheni story za kitoto 😅
Hizi ni hadithi mnasimuliana ili mjipe moyoShetan yupo ila yeye ni jini na hivo ili umuone ni lazima aje katika umbo bandia kama binadamu, paka, mbwa au nyoka. Ila katika maumbile yake asilia shetan hawez onekana.
Katika kipind cha mtume muhammad s.a.w shetani alishawahi kujitokeza mara tatu akaonekana ila katika maumbile ya binadamu katika nyakati tofauti.
Mara ya kwanza ilikuwa katika kikao cha makuraish wakijadili namna ya kumuua mtume, ghafla alikuja mtu akiwa katika mavaz maridad na muonekano nadhifu kuliko kawaida, makuraish wakajua kwa namna yeyote mtu huyo atakuwa na busara kias cha kuwa na mbinu bora ya kumuua mtume, hivo wakamshirikisha katika mpango huo na walipotaka kujua yeye ni nan na anatokea wap shetana aliwadanganya kwa kuwatajia jina la uongo na mji ambao wao hawaujui.
Mara ya pili ni katika vita wakat jesh la mtume lipo vitan, makafir walikuwa wakiongozwa na mtu wao, lakin baadae allah akashusha jesh la malaika kumsaidia mtume, na hapo yule mtu anaeongoza makafir akakimbia kuelekea baharin na hakuonekana tena, wenzake wakashangaa
Mambo ya watu wa pwani hayo! Kanda ya ziwa hizo stori wanasoma kwenye magazeti ya shigongo!!Hivi popo bawa ndio akina nani
Hizi ni hadithi mnasimuliana ili mjipe moyo
Kitu kinacho sikika ina maana ni physical. Hao siyo physical. Ushadi wa kuwepo kwao ni kwa kutumia imani na siyo kwa kutumia macho au masikio. Kama uwepo wao unataka kuupima kwa kuwaona basi uko sahihi kusema hawapo.Kama hawaonekani bora wangesikika basi.
Mda nilioufanya uchunguzi kwa hao viumbe Itoshe kusema hawapo.
Utaita watu wote makafiri ila haitoi ukweli kuwa hizo ni hadithi tuu za kutungaKauli kama hii walishasema makafir kwa manabii nuh, hud, musa a.s n.k
Picknett anaeleza kuwa Kanisa lilihusisha Lucifer na ibada za kipagani ili kudhibiti jamii na kupunguza ushawishi wa wanawake.Hiki hapa
Mimi Bado sijamaliza kukikosa kumbe ndo mambo ya humoPicknett anaeleza kuwa Kanisa lilihusisha Lucifer na ibada za kipagani ili kudhibiti jamii na kupunguza ushawishi wa wanawake.
Kuna mambo humo mmmh 🙌