Zikwa ukiwa hai labda utamuona.Kama ni mishumaa nimeshawasha sana ili nione kama Shetani atakuja lakini wapi. Kama ni chanting nimeshafanya ili nithibitishe kama Lucifer ama Shetani yupo bado niliambulia patupu.
Nimethibitisha Shetani hayupo
Kuna mengi humo mengine ukisema uyaweke hapa watanivamia watu wakati mimi si mwandishi wa kitabu hiko.Mimi Bado sijamaliza kukikosa kumbe ndo mambo ya humo
Baado sana hujafanya chochote utakutana naye siku moja na utaona maajabu ya dunia hii.Kama ni mishumaa nimeshawasha sana ili nione kama Shetani atakuja lakini wapi. Kama ni chanting nimeshafanya ili nithibitishe kama Lucifer ama Shetani yupo bado niliambulia patupu.
Nimethibitisha Shetani hayupo
Kuuliza ulifanyaje namaanisha either ulifundishwa au kujua ukifuata njia na kutayarisha vitu fulani fulani na ukanuia au kuongea katika mazingira fulani ataweza kujitokeza na kuongea nae. Ndizo hizo njia ninazouliza, tusishangae labda kuna kitu ulikosea na wajuzi wakakuelekeza zaidi then baadae ukaja na ushuhuda mwengine mkuu.๐Mkuu Mimi sio mtu wa Keyboard ni mtu wa vitendo.
Nilifanya kila namna, Sijui how to call Lucifer kila aina ya majaribio ili mradi tu nimuone huyo SATAN lakini.
ndie shetani mwenyewe huyo.
Nimesoma post yako nimecheka sana then nikatafakari nikwambie nini lakini kifupi tu umewahi kusikia nyoka anakondaKama ni mishumaa nimeshawasha sana ili nione kama Shetani atakuja lakini wapi. Kama ni chanting nimeshafanya ili nithibitishe kama Lucifer ama Shetani yupo bado niliambulia patupu.
Nimethibitisha Shetani hayupo.
Pole sanaa.Kama ni mishumaa nimeshawasha sana ili nione kama Shetani atakuja lakini wapi. Kama ni chanting nimeshafanya ili nithibitishe kama Lucifer ama Shetani yupo bado niliambulia patupu.
Nimethibitisha Shetani hayupo.
Na hakuna Mungu piaNimejaribu kila namna lakini wapi.
Ila nilichogundua hii dunia ina uongo mwingi.
Ni mimi Mama.Hivi sio wewe uliesema Mungu hayupo??!...inaelekea unajiuliza sana mambo hayo...take it easy!
Sana.Tatizo la Akili linakua kwa kasi sana
Hasa kwa Watu wa Mitandaoni.
Kwahiyo kuna aliyewahi kumuona huyo Shetani?Kwenye naisha yako kuna vitu vingi sana hujawahi kuviona, kutokuviona kwako hakufanyi kwamba hicho kitu kipo au hakipo; as we speak mimi sijawahi kuona hewa, sijawahi kumuona huyo shetani, sijawahi kuona satellite, sijawahi kuona malaika, mawimbi ya sauti as well nk, now kutokuviona hivo vitu haku justify kwamba havipo. Anyway, kwani SHETANI ndio nini?
Shetani sio kiumbe...shetani ni sifa..! hata #MWInGULU ni SHETANI muite huyo utakuwa umetimiza hitaji lako๐๐๐Kama ni mishumaa nimeshawasha sana ili nione kama Shetani atakuja lakini wapi. Kama ni chanting nimeshafanya ili nithibitishe kama Lucifer ama Shetani yupo bado niliambulia patupu.
Nimethibitisha Shetani hayupo.