Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa jijini jana Mkuu katangaza Barakoa lazima, otherwise unatakiwa ushushwee .Mkoa wako ipoje dingi?
Juzi niliona DC kapanda dala dala kukagua level saet na waliovaa barakoa cha kushangaza kwenye WAUKAE FESTIVAL Nimeona nyomi la kutosha na mziki mzito kama kawaida na hakuna polisi alopiga bomu la machozi wala kuzima mziki!! Swali ni je! Mikutano ya upinzani ndo pekee inachochea maambukizi au Kuna jambo apa katikati!?
Juzi niliona DC kapanda dala dala kukagua level saet na waliovaa barakoa cha kushangaza kwenye WAUKAE FESTIVAL Nimeona nyomi la kutosha na mziki mzito kama kawaida na hakuna polisi alopiga bomu la machozi wala kuzima mziki!! Swali ni je! Mikutano ya upinzani ndo pekee inachochea maambukizi au Kuna jambo apa katikati!?
Siasa man.Sasa Kuna haja gani ya kufanya upuuzi kama huu wakati kwenye tamasha la babu tale watu walijaa kama kawaida!!!
Fuata ushauri wa kuvaa barakoa kwenye misongamano ili kulinda uhai wako. Hiyo nyomi haikuhusu. Wewe chunga uhai wako kwanza - wale wasiotaka kufuata masharti watapata wanachokitafuta siku si nyingi.Juzi niliona DC kapanda dala dala kukagua level saet na waliovaa barakoa cha kushangaza kwenye WAUKAE FESTIVAL Nimeona nyomi la kutosha na mziki mzito kama kawaida na hakuna polisi alopiga bomu la machozi wala kuzima mziki!! Swali ni je! Mikutano ya upinzani ndo pekee inachochea maambukizi au Kuna jambo apa katikati!?